Ugumu wa maisha ni jambo la kusadikika halipo kiuhalisia na sijawahi kuliona na halitatokea

Ugumu wa maisha ni jambo la kusadikika halipo kiuhalisia na sijawahi kuliona na halitatokea

Ushajijibu mwenyewe kwamba maisha magumu hayana kipimo unataka nipruvu nini zaidi!

Jambo ambalo halina kipimo maana yake halipo!
Na lisipokuwepo maana yake ni la kufikirika! Halipo
Una majibu simple sana.

Sija-jijibu mimi. Bali umejijibu mwenyewe. Unajichanganya na kujikanyaga. Kichwa cha habari kinasema
"

Ugumu wa maisha ni jambo la "kusadikika" halipo "kiuhalisia" na sijawahi kuliona na halitatokea​

"

Mada kuu hapa ni "uhalisia." "Maisha magumu." Simply ni subdivision. Je unaweza kupima "uhalisia" wa "muono" wako huo? Hapana, hauwezi. Je kunaondoa "uhalisia" wa huo "muono" wako kwako? Hapana vilevile, na ndio maana umeanzisha hii thread kwa kujiamini.

Kusema "jambo ambalo halina kipimo ni halipo." Sio fact. Bali ni muono na uhalisia wako wewe, proof ni wewe kuanzisha hii thread. Unakumbuka ulisema "simama mwenyewe"? Hicho ndicho ulichokifanya hapo. Na wengine wana haki ya "kusimama wenyewe" kama wewe.

Hapo itabidi tujue maana yako ya "uhalisia." Swali ambalo huwezi kulijibu na nina uhakika hulielewi. Lakini haijalishi. Sababu kwa kukusoma wewe, inaonekana bila kujua, unaamini "uhalisia ni kitu binafsi." Kitu ambacho ni sahihi.

Kwa maana hiyo, hata: kwa mujibu wa uhalisia wako, ambao ni "halisia za wengine ni za kufikirika." ni kitu kinachofanya uhalisia wako uwe ni kitu cha kufikirika vilevile. Maana yake "uhalisia" wako hauna maana yoyote kwa wengine. Sababu kila mtu ana wake.

Vinginevyo itabidi useme ni kitu gani kinachofanya "uhalisia" wako uwe halisi kwa wote na sio kwamba ni "fikra" zako tu.
Na utajuaje kama huo "uhalisia" wako ni halisi na sio wa kufikirika kwa asilimia 100%?

Kitu ambacho kamwe hautoweza kukifanya sababu the human consciousness has always been individualistic, never absolute, nor physically definable. Kitu kinachofanya "Uhalisia" always uwe kitu ambacho ni personally defined. Kama unavyofanya wewe hapa. Kitu ambacho hauko aware nacho.

Nimejaribu kuandika wazi kwa kiswahili chepesi na bado umeshindwa kuelewa ninachokiongelea wala unachokiongelea.

Kuna kitu wanaita Metacognition. Ni hali ya kufikiria, unachokifiria. Yaani uwezo wa kuona mawazo yako mwenyewe, na ya watu wengine, wanafikiria nini na kwanini. Metacognition ndio kitu ambacho bila shaka huna. Uwezo wako wa kufikiri bado ni mdogo sana, naive na personally limited. Hali inayofanya ushindwe kuelewa ninachokiongelea.

Mada ya "uhalisia" na nini ni "halisi" na nini sio "halisi" sio ya kitoto kiasi cha kuja na superficial pseudo-intellectual arguments, especially personally limited ones.

Kama umeshindwa kuelewa na kumake simple abstract reasoning. Then hauko kwenye nafasi ya kusema chochote juu ya kipi ni "uhalisia." Na kipi sio "uhalisia."

Sababu hata hivyo, siku zote huo utabaki kuwa "uhalisia" wako tu.
 
Maisha halisi ni unatumia kilichopo kuishi sasa hapo kuna ugumu gani?
Hii ndio ilibidi iwe title head yako pale juu pia ulitakiwa usitoke kwenye hio point kwamba unatumia kilichopo uwe umepata au umekosa na ukikosa sasa ugumu ndio unaanzia hapo na sio kufanya justification zako za kishubwada, ushawahi kuugua au kuuguliwa na huna pesa za matibabu? Achilia mbali masuala ya ada ulipoenda kusomea umeme ulisoma bure kabla kusomea umeme pesa za kulipia mafunzo ulikua nazo? Usielezee jambo juu juu tu bila kufanya uchunguzi wa kina wewe ulienda kuchunga sababu pesa za kwenda kusoma huna na wazazi wakaweka ngumu pesa hawana umeenda kuchunga ng'ombe wa Bibi yako huko amekupa baadhi ya ng'ombe umeuza umepata pesa za kulipia mafunzo basi tayari unakuja na conclusion hakuna maisha magumu, think twice
 
Una majibu simple sana.

Sija-jijibu mimi. Bali umejijibu mwenyewe. Unajichanganya na kujikanyaga. Kichwa cha habari kinasema
"

Ugumu wa maisha ni jambo la "kusadikika" halipo "kiuhalisia" na sijawahi kuliona na halitatokea​

"

Mada kuu hapa ni "uhalisia." "Maisha magumu." Simply ni subdivision. Je unaweza kupima "uhalisia" wa "muono" wako huo? Hapana, hauwezi. Je kunaondoa "uhalisia" wa huo "muono" wako kwako? Hapana vilevile, na ndio maana umeanzisha hii thread kwa kujiamini.

Kusema "jambo ambalo halina kipimo ni halipo." Sio fact. Bali ni muono na uhalisia wako wewe, proof ni wewe kuanzisha hii thread. Unakumbuka ulisema "simama mwenyewe"? Hicho ndicho ulichokifanya hapo. Na wengine wana haki ya "kusimama wenyewe" kama wewe.

Hapo itabidi tujue maana yako ya "uhalisia." Swali ambalo huwezi kulijibu na nina uhakika hulielewi. Lakini haijalishi. Sababu kwa kukusoma wewe, inaonekana unaamini "uhalisia ni kitu binafsi." Bila kujua. Kitu ambacho ni sahihi.

Kwa maana hiyo, hata: kwa mujibu wa uhalisia wako, ambao ni "halisia za wengine ni za kufikirika." ni kitu kinachofanya uhalisia wako uwe ni kitu cha kufikirika vilevile. Maana yake "uhalisia" wako hauna maana yoyote kwa wengine. Sababu kila mtu ana wake.

Vinginevyo itabidi useme ni kitu gani kinachofanya "uhalisia" wako uwe halisi kwa wote na sio kwamba ni "fikra" zako tu.
Na utajuaje kama huo "uhalisia" wako ni halisi na sio wa kufikirika kwa asilimia 100%?

Kitu ambacho kamwe hautoweza kukifanya sababu the human consciousness has always been individualistic, never absolute, nor physically definable. Kitu kinachofanya "Uhalisia" always uwe kitu ambacho ni personally defined. Kama unavyofanya wewe hapa. Kitu ambacho hauko aware nacho.

Nimejaribu kuandika wazi kwa kiswahili chepesi na bado umeshindwa kuelewa ninachokiongelea wala unachokiongelea.

Kuna kitu wanaita Metacognition. Ni hali ya kufikiria, unachokifiria. Yaani uwezo wa kuona mawazo yako mwenyewe, na ya watu wengine, wanafikiria nini na kwanini. Metacognition ndio kitu ambacho bila shaka huna. Uwezo wako wa kufikiri bado ni mdogo sana, naive na personally limited. Hali inayofanya ushindwe kuelewa ninachokiongelea.

Mada ya "uhalisia" na nini ni "halisi" na nini sio "halisi" sio ya kitoto kiasi cha kuja na superficial pseudo-intellectual arguments, especially personally limited ones.

Kama umeshindwa kuelewa na kumake simple abstract reasoning. Then hauko kwenye nafasi ya kusema chochote juu ya kipi ni "uhalisia." Na kipi sio "uhalisia."

Sababu hata hivyo, siku zote huo utabaki kuwa "uhalisia" wako tu.
Maelezo yako hayaeleweki na hayavutii jitahidi kuyapunguza yanachosha
 
Maelezo yako hayaeleweki na hayavutii jitahidi kuyapunguza yanachosha
Soma hivyo hivyo usitafute kuonewa huruma na jambo umelianzishia uzi mwenyewe sasa unaogopa nini kusoma hizo paragraphs unakimbia spana unazoletewa?
 
Nikiwa polini maisha yalikuwa matamu sana, nilikula matunda aina nyingi, nilichoma nyama nipendayo, nilicheza michezo ambayo binadamu ilinipa furaha, nilifunza dawa nyingi mno karibia 1200 za kutibu magonjwa mbalimbali!

Mara zote huwa nasema to each their own..., ila hapa unaongelea utamu wa maisha kwahio kama uliweza ku experience utamu wake lazima kwenye ubongo wako ulijua kwamba kuna uchungu pia....

Kwa taarifa yako kuna needs and wants..., huwezi ukakosa needs alafu useme kwamba kuna urahisi wowote..., achana na basic needs za chakula malazi na mavazi..., kuna watu wapo katika abusive life, hawana sense of security kila dakika wana uoga hadi kutamani kifo..., sasa hao sijui unawaweka kwenye kundi gani....
 
Back
Top Bottom