Ugumu wa malezi: Mabinti siku hizi wanaanza mahusiano ya kingono wakiwa bado wadogo

Ugumu wa malezi: Mabinti siku hizi wanaanza mahusiano ya kingono wakiwa bado wadogo

Quavohucho

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2020
Posts
798
Reaction score
2,028
Kipindi hiki malezi ya watoto yamekuwa magumu sana hasa wa kike walio katika foolish age, sababu ya contact kubwa ya watu tokea maeneo tofauti tofauti na utandawazi.

Yaani ni changamoto sana, watoto wengi wa kike wanaanza sex mapema sana. Yaani mtoto kike wa o level kuwa na mwanaume zaidi ya mmoja ni kawaida tu.

Unakuta kaanza kutongozwa na kushikwa shikwa tokea akiwa mdogo hiyo inapelekea sex hormone kuzalishwa kwa kiwango kama Mtu aliyekuwa kabisa, hivyo binti anaanza kuwa tamaa kubwa ya ngono. Confidence ya kulala na wanaume.

Mzee mmoja mtaani kwetu binti yake wa form 2 katoroka kaenda kwa mwanaume Dodoma na kawaambia nyumbani atarudi akipenda, bahati nzuri saizi ni likizo. Shuleni hawajashtukia.
 
Hii ni kwa watoto waliokosa malezi sahihi tu na haijalishi jinsia ya mtoto, mtoto asipopokea malezi stahiki tegemea zaidi ya hilo
 
Tusiwalaumu hao watoto, tujilaumu sisi wazazi. Tumepwaya mno kwenye nafasi zetu za malezi na utakuta ndio haohao wanaotembea na hao watoto wakiwahadaa kwa mambo mengi.

Lakini pia tuna jamii ya ajabu sana inayomjaza ujinga mtoto wa kiume na kujiona yuko sawa kufanya upuuzi wowote, mnategemea huo upuuzi wakaufanye na nani? Tunavuna tulichopanda.
 
Kipindi hiki malezi ya watato yamekuwa magumu sana hasa wa kike waliokatika foolish age, sababu ya contact kubwa ya watu tokea maeneo tofauti tofauti na utandawazi.

Yaan ni changamoto sana, watoto wengi wa kike wanaanza sex mapema sana. Yaan mtoto kike wa o level kuwa na mwanaume zaidi ya mmoja ni kawaida tu.

Unakuta kaanza kutongozwa na kushikwa shikwa tokea akiwa mdogo hyo inapelekea sex hormone kuzalishwa kwa kiwango kama Mtu aliyekuwa kabisa ,hivyo binti anaanza kuwa tamaa kubwa ya ngono. Confidence ya kulala na wanaume.

Mzee mmoja mtaani kwetu binti take wa form 2 katoloka kaenda kwa mwanaume Dodoma na kawaambia nyumbani atarudi akipenda, bahati nzuri saizi ni likizo. Shuleni hawajastukia.

Kibaya zaidi wazazi wengi hawajui kama mabinti zao wanangonoka, baadhi ya watoto wakiwa majumbani kwao na wazazi wao wanakuwa watoto wema sana kiasi kwamba mzazi hawezi dhani kama mtoto wake ana mabwana, sasa hivi ni likizo hapa Kigogo watoto wanatoka kwenda matuition ila wakitoka tu hawarudi makwao muda huo yan hayo mambo wanayofany utabaki kushangaa mwenyewe, asee hawa watoto wa O level wanafanya mapenzi balaa wakati huo wazazi wao wapo nyumban wanajua watoto wao wapo tuition wanasoma

Sent from my SM-G900I using JamiiForums mobile app
 
Kipindi hiki malezi ya watato yamekuwa magumu sana hasa wa kike waliokatika foolish age, sababu ya contact kubwa ya watu tokea maeneo tofauti tofauti na utandawazi.

Yaan ni changamoto sana, watoto wengi wa kike wanaanza sex mapema sana. Yaan mtoto kike wa o level kuwa na mwanaume zaidi ya mmoja ni kawaida tu.

Unakuta kaanza kutongozwa na kushikwa shikwa tokea akiwa mdogo hyo inapelekea sex hormone kuzalishwa kwa kiwango kama Mtu aliyekuwa kabisa ,hivyo binti anaanza kuwa tamaa kubwa ya ngono. Confidence ya kulala na wanaume.

Mzee mmoja mtaani kwetu binti take wa form 2 katoloka kaenda kwa mwanaume Dodoma na kawaambia nyumbani atarudi akipenda, bahati nzuri saizi ni likizo. Shuleni hawajastukia.
Hadi kufikia mtoto wa form two kutoa jibu kama hilo kwa wazazi basi tatizo ni hao wazazi na si mtoto.
 
Hii ni kwa watoto waliokosa malezi sahihi tu na haijaloshi jinsia ya mtoto, mtoto asipopokea malezi stahik tegemea zaidi ya hilo
mkuu mtoto wa kike utajitahid kumlea lkn vishawishi kwao ni vingi mno na ukijumlisha na akili zao za kitoto hawawez kuvimudu kabisa mwisho wa siku lazma tu atanasa kwa mtu apigwe spana, hiyo mzazi kuizuia ni ngumu sana hata ujitahid vip rabda tu ukae usijue mamb yake anayofanya lkn ni ngumu san kwa mtoto wa kike kuepuka hayo mambo hasa kwa haya maisha ya sasa

Sent from my SM-G900I using JamiiForums mobile app
 
ila watoto wakike wanakua sn siku hzi unakuna anaumri mdogo lakin chura na kifua ameshatoka alafu nguo wanazovaa lazim umtaman
ila ss wanaume hatuna aibu kwakwel kuwatongoza hawa watoto bila kufikir na ww unamtoto watamfanya hvy hvy

dah nakumbuka nilikuwa offisi moja
kulikuwa na mzee na mvi zake kabisa kuna sehemu kweny mgahawa kuna mama na binti yake wa shule ya msingi hyo mzee anatafuna binti siku amini hadi nilipo ambiwa na hy binti mwenyw nilimzarau sn ule mzee kwan ule ni mjukuu kabisa.
tatizo kubwa nn ss wanaume watongozaji.
 
Hii ni kwa watoto waliokosa malezi sahihi tu na haijalishi jinsia ya mtoto, mtoto asipopokea malezi stahiki tegemea zaidi ya hilo
Siku hiz watoto wanapat vishawishi vingi sana kwahy kucontrol ni ngumu sana
 
ila watoto wakike wanakua sn siku hzi unakuna anaumri mdogo lakin chura na kifua ameshatoka alafu nguo wanazovaa lazim umtaman
ila ss wanaume hatuna aibu kwakwel kuwatongoza hawa watoto bila kufikir na ww unamtoto watamfanya hvy hvy

dah nakumbuka nilikuwa offisi moja
kulikuwa na mzee na mvi zake kabisa kuna sehemu kweny mgahawa kuna mama na binti yake wa shule ya msingi hyo mzee anatafuna binti siku amini hadi nilipo ambiwa na hy binti mwenyw nilimzarau sn ule mzee kwan ule ni mjukuu kabisa.
tatizo kubwa nn ss wanaume watongozaji.
Siku mjini mtoto wa shule ya msingi anakuwa ashaanza kufanya sex, hatari sana
 
Na mtoto akianza kutongozwa ndio ndo stimulation ya ngono inaongezeka kwake ,kwahyo atakaza mwanzoni tu ila mwisha wa siku yemwenyew ataanza kutaka
mkuu mtoto wa kike utajitahid kumlea lkn vishawishi kwao ni vingi mno na ukijumlisha na akili zao za kitoto hawawez kuvimudu kabisa mwisho wa siku lazma tu atanasa kwa mtu apigwe spana, hiyo mzazi kuizuia ni ngumu sana hata ujitahid vip rabda tu ukae usijue mamb yake anayofanya lkn ni ngumu san kwa mtoto wa kike kuepuka hayo mambo hasa kwa haya maisha ya sasa

Sent from my SM-G900I using JamiiForums mobile app
 
Watoto wa form 3 wakiwa photo shoot

Screenshot_20210618-204349.png


Screenshot_20210618-204349.png
 
Back
Top Bottom