Ugumu wa malezi: Mabinti siku hizi wanaanza mahusiano ya kingono wakiwa bado wadogo

Ugumu wa malezi: Mabinti siku hizi wanaanza mahusiano ya kingono wakiwa bado wadogo

Binafsi hili mimi naliona kama lipo sawa tu, zama hizi sio zama zile.
 
Shida nyingine ya hawa under 18, wakipata magonjwa ya zinaa huwa wanachelewa kupata tiba au wanapata tiba isiyoridhisha na kufanya magonjwa kuota sugu. Be aware of STDS kutoka KWA Hawa madogo utajuuuta si wengi mnauza games
 
Salama na utulivu ndo ipi?

Labda sirikali ipunguze muda (miaka) unaotambuliwa wa ndoa. Huko ndo angalau Kuna salama na tulivu.
Kutumia condom ili wasipate mimba na magonjwa ya zinaa ndio ngono salama.
 
Shida nyingine ya hawa under 18, wakipata magonjwa ya zinaa huwa wanachelewa kupata tiba au wanapata tiba isiyoridhisha na kufanya magonjwa kuota sugu. Be aware of STDS kutoka KWA Hawa madogo utajuuuta si wengi mnauza games
Hiyo nayo ni hatari
 
Back
Top Bottom