Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie mlikuwa mnajua kumbe mapema kwanini hamkumuambia apate muda wa Kutubu? angetuambia hata Ben Sa8 alipoDah, ila ataondoka hata kwa divine intervention...tayari ni mgonjwa mgonjwa sana!
Wewe sio wa Kuwageuka CCM wenzio au wewe ni Team Msoga pekee?."...razima niseme ukweri..hii nchi ni tajiri..imeriwa sana"....kumbe 🤪🤪🤣🤣
Sasa hapo unamponda magufuli, ndungai, samia? Make wote walikua kapu moja.."...razima niseme ukweri..hii nchi ni tajiri..imeriwa sana"....kumbe [emoji2957][emoji2957][emoji1787][emoji1787]
Mwanangu Coolio huyo anakuambia " am educated fool with money on my mind..." ngoma haizeeki hii
Vipi bado umelala usingizi mzee? Shtuka.Mtazusha sana uongo, maana ndiyo njia pekee mliyobaki nayouongo kwenye mijadala baada ya kuishiwa hoja zenye nguvu.
Masikini wa Mungu TUJITEGEMEE, je bado upo au ni kiwiliwili tu! Pole sana.Mtazusha sana uongo, maana ndiyo njia pekee mliyobaki nayouongo kwenye mijadala baada ya kuishiwa hoja zenye nguvu.
Kuna cha ajabu hapo? Hivyo hivyo Wajerumani nao walishindwa kuandamana wakati wa Adolf Hitler! Hata Waganda walishindwa kuandamana wakati wa Idi Amin.Mbona mliambiwa mkaandamane mkaishia kubaki nyuma ya keayboard
Mbona leo unamtete??Ukiona mtu anataka kuhusishwa na kila kinachofanyika ujue kuna kitu anatafuta, kuna upenyo anataka kuutumia atupige.
Umejibiwa maombi yakoSio katibu wa wizara!?
Ila jiwe Mungu ampende zaidi amchukue ampe kazi nyingine huko.
Mataga nakuona."...razima niseme ukweri..hii nchi ni tajiri..imeriwa sana"....kumbe [emoji2957][emoji2957][emoji1787][emoji1787]
Wewe punguani kweli kapu gani hilo?Sasa hapo unamponda magufuli, ndungai, samia? Make wote walikua kapu moja.
Tulia Mataga weweWewe punguani kweli kapu gani hilo?
Atakufa tena[emoji23][emoji23]Atakapoondoka, Madudu yatakayoanikwa hatamaliza hata wiki anakufa kwa presha walahi
KWELI UFIPA NI WAZUSHI[emoji1787][emoji1787]Acheni kutumika vibaya na vibaraka wa magharibi vijana wenzangu,
Uzushi wa namna hii haukubaliki kabisa hasa kwa mtu unayeishi katika nchi hii
Nalaani kwa nguvu zote upotoshaji na ulimbukeni wa UFIPA kukosa hoja za kiukosoaji dhidi ya serikali iliyopo madarakani.
Nchi inajengwa na watanzania kwa kodi zao chini ya usimamizi mzuri wa kodi hizo zitumike kama ilivyokusudiwa kutumika
Kila raia mwenye macho na akili anaona jinsi kodi yake inavyotumika alafu leo unakuja na uzushi kuwa serikali hii ni ya kifisadi?
Acha kutumika kuchafua serikali yetu kwa ahadi za wa magharibi.
Miradi yote hiyo unayoitaja ulidhani ingetumia shilingi 1milion? Pesa ilotumika si halali? Una maanisha JPM na wasaidizi wake wamejikatia kilicho chao?, Au huamini kuona miradi mikubwa namna hii kufanyika Tanzania?
Unataka utuaminishe kuwa Tanzania haina uwezo wa kujijenga yenyewe?
Au ndio mlizoea kwenda kutoa macho huko ulaya kushangaa mataifa yao jinsi yalivojengeka?
Tuache uzandiki na kukosa akili kwa kutumika kuivuruga nchi kupitia uongo wa kundi la UFIPA lililokosa hoja mbadala zaidi ya kupinga kila kitu na kwa bahati mbaya mmevuna matunda ya upingaji wenu.
Hata Libya nakumbuka kulikuwa na makundi kama haya ya vibaraka wa magharibi ndani ya nchi yao yakihubiri chuki kwa wana nchi dhidi ya serikali ya Muamal Gaddafi.
Ondoeni ujinga wenu wa upingaji wa kila kitu ndipo huenda mkaja kuwa wapinzani wa kweli katika taifa hili.
Rais wetu ni mtu mwenye dgamira njema kuijenga nchi yake ifanane na huko tulikokuzoea kuwa ndiko maendeleo yaliko, kila mtu anashuhudia kile kinachofanywa na rais wao.
Uzi mzima una kundi la wapinga maendeleo kweli?
Naona watu makini wanapita tu maana wanaona ni ujinga tu uliouandika mtoa mada.
We need a real Africanist leaders not puppets like UFIPA ganges
Acheni kutumika vibaya na vibaraka wa magharibi vijana wenzangu,
Uzushi wa namna hii haukubaliki kabisa hasa kwa mtu unayeishi katika nchi hii
Nalaani kwa nguvu zote upotoshaji na ulimbukeni wa UFIPA kukosa hoja za kiukosoaji dhidi ya serikali iliyopo madarakani.
Nchi inajengwa na watanzania kwa kodi zao chini ya usimamizi mzuri wa kodi hizo zitumike kama ilivyokusudiwa kutumika
Kila raia mwenye macho na akili anaona jinsi kodi yake inavyotumika alafu leo unakuja na uzushi kuwa serikali hii ni ya kifisadi?
Acha kutumika kuchafua serikali yetu kwa ahadi za wa magharibi.
Miradi yote hiyo unayoitaja ulidhani ingetumia shilingi 1milion? Pesa ilotumika si halali? Una maanisha JPM na wasaidizi wake wamejikatia kilicho chao?, Au huamini kuona miradi mikubwa namna hii kufanyika Tanzania?
Unataka utuaminishe kuwa Tanzania haina uwezo wa kujijenga yenyewe?
Au ndio mlizoea kwenda kutoa macho huko ulaya kushangaa mataifa yao jinsi yalivojengeka?
Tuache uzandiki na kukosa akili kwa kutumika kuivuruga nchi kupitia uongo wa kundi la UFIPA lililokosa hoja mbadala zaidi ya kupinga kila kitu na kwa bahati mbaya mmevuna matunda ya upingaji wenu.
Hata Libya nakumbuka kulikuwa na makundi kama haya ya vibaraka wa magharibi ndani ya nchi yao yakihubiri chuki kwa wana nchi dhidi ya serikali ya Muamal Gaddafi.
Ondoeni ujinga wenu wa upingaji wa kila kitu ndipo huenda mkaja kuwa wapinzani wa kweli katika taifa hili.
Rais wetu ni mtu mwenye dgamira njema kuijenga nchi yake ifanane na huko tulikokuzoea kuwa ndiko maendeleo yaliko, kila mtu anashuhudia kile kinachofanywa na rais wao.
Uzi mzima una kundi la wapinga maendeleo kweli?
Naona watu makini wanapita tu maana wanaona ni ujinga tu uliouandika mtoa mada.
We need a real Africanist leaders not puppets like UFIPA ganges
YametimiaRais ajaye atakuwa na kazi ya Ziada kukabiliana na wizi wa Magufuli
Unifahamu ndiyo maana nakuuita punguani, wanaonifahamu JF wanakushangaa unavyodania pipe kwa mbele.Tulia Mataga wewe
Mnafiki mkubwa wewe si ndiyo ulikua team
Praise and worship ya jiwe