Ugunduzi binafsi: Tunapigwa kiujanja kwa kuikabidhi miradi chini ya Jeshi, haikidhi Vigezo kabisa

Dah, ila ataondoka hata kwa divine intervention...tayari ni mgonjwa mgonjwa sana!
Nyie mlikuwa mnajua kumbe mapema kwanini hamkumuambia apate muda wa Kutubu? angetuambia hata Ben Sa8 alipo
 
."...razima niseme ukweri..hii nchi ni tajiri..imeriwa sana"....kumbe [emoji2957][emoji2957][emoji1787][emoji1787]
Sasa hapo unamponda magufuli, ndungai, samia? Make wote walikua kapu moja.
 
Kuhusu ufisadi wa jiwe tulionya sana...sijui kama mnakumbuka tulivyopiga kelele kuhusu uuzwaji wa nyumba za serikali. Ule ukali wote, uminyaji wa demokrasia, utekaji, utesaji, mauaji, uteuaji wa wahuni kama Makonda, Mnyeti, Gambo, Sabaya, Chalamila na wengieno, wala hamkushtuka?

Mimi nawashukuru wazalendo popote walipo kwa kusimama kidete kumkoma nyani ngedere toka siku ya kwanza pamoja na hatari, vitisho na machungu hawajatetereka! Baada ya dhiki faraja na tuzidi kumuomba Mungu azidishe faraja baada ya kupitia bonde la mauti na kubahatika kutoka salama.
 
Mtazusha sana uongo, maana ndiyo njia pekee mliyobaki nayouongo kwenye mijadala baada ya kuishiwa hoja zenye nguvu.
Masikini wa Mungu TUJITEGEMEE, je bado upo au ni kiwiliwili tu! Pole sana.
Mbona mliambiwa mkaandamane mkaishia kubaki nyuma ya keayboard
Kuna cha ajabu hapo? Hivyo hivyo Wajerumani nao walishindwa kuandamana wakati wa Adolf Hitler! Hata Waganda walishindwa kuandamana wakati wa Idi Amin.
 
Ukiona mtu anataka kuhusishwa na kila kinachofanyika ujue kuna kitu anatafuta, kuna upenyo anataka kuutumia atupige.
Mbona leo unamtete??
Mkiitwa wanafiki mnalia??
Mpumbavu mkubwa wewe
 
."...razima niseme ukweri..hii nchi ni tajiri..imeriwa sana"....kumbe [emoji2957][emoji2957][emoji1787][emoji1787]
Mataga nakuona
Hayo mabega lazima tuyashushe kwa nyundo
 
KWELI UFIPA NI WAZUSHI[emoji1787][emoji1787]
 
 
Tulia Mataga wewe
Mnafiki mkubwa wewe si ndiyo ulikua team
Praise and worship ya jiwe
Unifahamu ndiyo maana nakuuita punguani, wanaonifahamu JF wanakushangaa unavyodania pipe kwa mbele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…