Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli hata mimi sijawahi kumsikia na kibaya zaidi sijawahi kusoma hiyo theory popote pale ingawaje nimesoma physics.
japo mimi sio mzuri sana wa kiingereza lkni hapo umekosea kidogo kwani mtu anayesoma fizikia kwa lugha ya kiingereza anitwa physicists na sio physician, nafikiri physician ni mganga, na hivyo ni vitu viwili TOFAUTI kabisa.....tumia lugha ya kwetu bro hautachemsha.....
Nashukru hii hoja imeibuka tena.Maana niliiweka hapa JF 06.11.07 Elimu na haikupata mchango.
Sasa naambiwa wapo wengine Kama;
1.Prof Shaba huyu ni Profesa wa medicine,Muhimbili ambae sasa kastaafu.Alikuwa mtu wa kwanza kueleza mabadiliko ya chembechembe kwenye ini linalosinyaa kutokana na madhara ya pombe(hepatocyte changes in Liver Cirhosis,1984)..
Huyo mtu mnamsema mbona sioni alichokigundua,zaidi ya hadisi za wauza ice cream ambao nao wanalijua hilo,sababu gani imfanye awe katika kundi la wanasayansi hata aenziwe na Serikali au kama mlivyowakilisha wanasiasa.
Kama angeendelea na kutoa sababu ya msingi hapo angekubalika lakini kila nionapo zaidi amekuwa akihoji kwa nini jua halitoki magaribu na kuelekea mashariki.
Huyo mtu mnamsema mbona sioni alichokigundua,zaidi ya hadisi za wauza ice cream ambao nao wanalijua hilo,sababu gani imfanye awe katika kundi la wanasayansi hata aenziwe na Serikali au kama mlivyowakilisha wanasiasa.
Kama angeendelea na kutoa sababu ya msingi hapo angekubalika lakini kila nionapo zaidi amekuwa akihoji kwa nini jua halitoki magaribu na kuelekea mashariki.
Hii habari nimeisoma tokea mwanzo,huyo jamaa alipofika kwa wauza ice cream ,aliwakuta wanaijua hali hiyo zamani.Mwaiba,
Nafikiri wewe sio mwanasayansi, unafikiri wanaogundua vitu
wanaumba mtu kwa udongo? Uvumbuzi ni mambo haya haya madogo ambayo tunayo kila siku. Siku hizi kuna usemi kwamba haijalishi unajua nini bali umejua lini, mwenzetu aliona kile ambacho wengi walikuwa hawana uwezo wa kukiona.
Huyo mtu mnamsema mbona sioni alichokigundua,zaidi ya hadisi za wauza ice cream ambao nao wanalijua hilo,sababu gani imfanye awe katika kundi la wanasayansi hata aenziwe na Serikali au kama mlivyowakilisha wanasiasa.
Kama angeendelea na kutoa sababu ya msingi hapo angekubalika lakini kila nionapo zaidi amekuwa akihoji kwa nini jua halitoki magaribu na kuelekea mashariki.
Hii tulishawahi kuiongelea hapa, the ancients wa enzi za Ugiriki ya kale walilijua hili lakini sayansi ya leo ililipoteza, na Mtanzania akaja kulivumbua upya.
Ile library ya Alexandria inge survive tungekuwa mbali sana.
Ona
Mpemba effect - Wikipedia, the free encyclopedia
Mpemba Effect: Hot Water Freezes before Cold - Succeed in Physical Science: School for Champions
Jana katika mizunguko ya hapa mjini, nimekutana na mzee mmoja anaitwa Mpemba...ktk mazungumzo nilipomuambia nilisoma MKWAWA alistuka na kuniuliza kama nimewahi kusikia anything about MPEMBA EFFECT?kilikuwa ni kitu kigeni sana kwangu....akaanza kunisimulia kuwa kuna siku akiwa O'level aligombana na rafiki yake baada ya kuchukua maji yaliyoganda kwenye freezer wakati alichelewa kuyaweka na aliweka yakiwa ya moto....aliyefanya pachimbike ni rafiki yake ambaye aliweka maji ya baridi kwenye freezer na kwa mapema zaidi...huyu bwana kila alipojitetea alionekana mzushi mpaka mwalimu wake FIZIKIA akamtandika kwa kudai hajui fizikia na ameiba maji ya mwenzake bila kuconsider facts kupoa kwa maji hayo.
kwa kuwa alikuwa na uhakika kuwa maji aliyochukua ni ya kwake akaamua kufanya experiment peke yake na kugundua kuwa MAJI YA MOTO YANAGANDA HARAKA KULIKO YALE YALIYOPO ROOM TEMP. alipowaambia walimu wake na wanafunzi waliishia kumcheka bila kujaribu pia....
alipofika A'level Mkwawa sec akaamua kufanya tena na kuandika paper na prof mmoja kutoka UD akamuona na alimshangaa sana na kuipublish paper
hiyo....na mpaka leo ugunduzi huo unaitwa ''mpemba effect'' watu wengi wanashangaa na hawaamini lakini its real......
for more info google ''mpemba effect''