Ugunduzi wa Erasto Mpemba, (Maji ya moto kuganda haraka kuliko ya baridi) 'The Mpemba Effect' kwanini hatukufundishwa mashuleni?

Ugunduzi wa Erasto Mpemba, (Maji ya moto kuganda haraka kuliko ya baridi) 'The Mpemba Effect' kwanini hatukufundishwa mashuleni?

We unashangaa watu hawamjui Nyerere?

Ushawahi kukutana na Waghana, Wanigeria, na Waafrika wengine ambao hata hawaijui Tanzania?

Mi nimeshakutana nao wa kutosha tu.


Hahaha noo fam...!

wengi wanaijua Kenya though na katika kujitambulisha kwangu huwa napenda kuongezea, "If you don't know nothing at all about my country - Tanzania - then I hope y'all leave with this knowledge: It's in my country where you find the second highest mountain after Everest, Mount Kilimanjaro."

Then all of a sudden people give you that 'aha' look...
 
Hahaha noo fam...!

wengi wanaijua Kenya though na katika kujitambulisha kwangu huwa napenda kuongezea, "If you don't know nothing at all about my country - Tanzania - then I hope y'all leave with this knowledge: It's in my country where you find the second highest mountain after Everest, Mount Kilimanjaro."

Then all of a sudden people give you that 'aha' look...

Mentor,

Mlima Kilimanjaro haipo namba mbili. Nepal, Pakistan, India na China wanachukua top 50.

Kilimanjaro ni namba 120 na.

After Everest, it's K2 in Pakistan.
 
Mentor,

Mlima Kilimanjaro haipo namba mbili. Nepal, Pakistan, India na China wanachukua top 50.

Kilimanjaro ni namba 120 na.

After Everest, it's K2 in Pakistan.

umenifanya nisomeeee...halafu nikakutana na hii: Ten Interesting Facts about Mt. Kilimanjaro | Blog Posts | WWF

"Mount Kilimanjaro is the tallest mountain on the African continent and the highest free-standing mountain in the world."

Nikaendelea na research nikakutana na hii: Six interesting facts about Mt. Kilimanjaro

"Measuring in at 19,341 feet (5,895m) tall, not only is Mount Kilimanjaro the tallest mountain in Africa, but it is also the highest free-standing mountain in the world. Japan’s highest free-standing mountain, Mt. Fuji, stands at 12,388 feet (3,776m) by comparison."

Nikaanza kujiuliza, ni wapi nilifundishwa hili la "mlima Kilimanjaro ni wa pili kwa ukubwa duniani baada ya Mt. Everest?"

Kabla sijapata jibu nikakutana na kituko ambacho ni sawa na tunayoyaongelea kwenye hii thread, kuwa mtu wa kwanza kupanda mlima Kilimanjaro alikuwa Mjerumani anaitwa Hans Meyer.

Kumbe wakati akipanda mlima alikuwa na babu yetu anaitwa Yohani Kinyala Lauwo!!! Kwa nini huyu kwa kuwa ni mwenyeji asiandikwe kuwa mtu wa kwanza kupanda mlima? Na kwa kuwa alikuwa guide wao si sahihi kuona kuwa alishawahi kuupanda kabla ndipo alipokuja huyu Hans yeye akampeleka?

Halafu huyu Lauwo ana bonge la historia ambayo wala hatufundishwi, kuwa, "he also went on to become one of the oldest people ever — living to the ripe old age of 124!"


Bado najiuliza ni mwalimu au ni nani alinidanganyaga kuwa mlima KLM ni wa pili...baada ya Everest..adios!!!
 
Hii makala safi sana.Natamani nijue sababu hasa ya huko kupoa haraka kwa maji mojo kuliko maji baridi.
 
umenifanya nisomeeee...halafu nikakutana na hii: Ten Interesting Facts about Mt. Kilimanjaro | Blog Posts | WWF

"Mount Kilimanjaro is the tallest mountain on the African continent and the highest free-standing mountain in the world."

Nikaendelea na research nikakutana na hii: Six interesting facts about Mt. Kilimanjaro

"Measuring in at 19,341 feet (5,895m) tall, not only is Mount Kilimanjaro the tallest mountain in Africa, but it is also the highest free-standing mountain in the world. Japan’s highest free-standing mountain, Mt. Fuji, stands at 12,388 feet (3,776m) by comparison."

Nikaanza kujiuliza, ni wapi nilifundishwa hili la "mlima Kilimanjaro ni wa pili kwa ukubwa duniani baada ya Mt. Everest?"

Kabla sijapata jibu nikakutana na kituko ambacho ni sawa na tunayoyaongelea kwenye hii thread, kuwa mtu wa kwanza kupanda mlima Kilimanjaro alikuwa Mjerumani anaitwa Hans Meyer.

Kumbe wakati akipanda mlima alikuwa na babu yetu anaitwa Yohani Kinyala Lauwo!!! Kwa nini huyu kwa kuwa ni mwenyeji asiandikwe kuwa mtu wa kwanza kupanda mlima? Na kwa kuwa alikuwa guide wao si sahihi kuona kuwa alishawahi kuupanda kabla ndipo alipokuja huyu Hans yeye akampeleka?

Halafu huyu Lauwo ana bonge la historia ambayo wala hatufundishwi, kuwa, "he also went on to become one of the oldest people ever — living to the ripe old age of 124!"


Bado najiuliza ni mwalimu au ni nani alinidanganyaga kuwa mlima KLM ni wa pili...baada ya Everest..adios!!!

Mentor,

Umeandika vitu vingi sana na pia nimejifunza kitu kwako.

Mlima Kilimanjaro nimeupanda nikiwa shule. Pia nimeupanda Mlima Fuji wa Japan. Kuna vitu vingi tunajifunza tukipanda milima.

Tulifundishwa kuwa Edmund Hillary wa New Zealand ndiyo mtu wa kwanza kupanda Everest wakati mwenyeji wa Nepal, Tenzing Norgay, ndiye aliyemsaidia kujua njia ya mlima wake mpaka wakafika juu kabisa. Juzi ndiyo walianza kumtaja huyu msaidizi. Spotlight yote alichukua Mzungu kabla ya hapo.

Tulifundishwa kuwa Amerigo Vespucci ndiyo mtu wa kwanza kuvuka bahari ya Pacific na kuona ardhi ya Marekani ya leo mwaka 1500 (jina la "America" limetoka kwake) , lakini Viking wa Skandinavia anaitwa Leif Erikson alishafika mwaka 1000 A.D na meli zake.

Wachina pia walishavuka miaka hiyo hiyo ya 1000 - 1300.

Kwa wale tuliosoma kabla ya Google Search, tunategemea mwalimu anajua kila jibu la swali na kila kitu katika somo lake. Lakini tusisahau kuwa hatukuwa na uhuru kamili wa kufunzwa kila kitu na access ya vitabu tofauti vilikuwa kidogo.

Kama utapenda kujua zaidi kuhusu urefu wa milima tofauti duniani, angalia hapa:


Highest Mountains in the world
 
Mentor,

Umeandika vitu vingi sana na pia nimejifunza kitu kwako.

Mlima Kilimanjaro nimeupanda nikiwa shule. Pia nimeupanda Mlima Fuji wa Japan. Kuna vitu vingi tunajifunza tukipanda milima.

Tulifundishwa kuwa Edmund Hillary wa New Zealand ndiyo mtu wa kwanza kupanda Everest wakati mwenyeji wa Nepal, Tenzing Norgay, ndiye aliyemsaidia kujua njia ya mlima wake mpaka wakafika juu kabisa. Juzi ndiyo walianza kumtaja huyu msaidizi. Spotlight yote alichukua Mzungu kabla ya hapo.

Tulifundishwa kuwa Amerigo Vespucci ndiyo mtu wa kwanza kuvuka bahari ya Pacific na kuona ardhi ya Marekani ya leo mwaka 1500 (jina la "America" limetoka kwake) , lakini Viking wa Skandinavia anaitwa Leif Erikson alishafika mwaka 1000 A.D na meli zake.

Wachina pia walishavuka miaka hiyo hiyo ya 1000 - 1300.

Kwa wale tuliosoma kabla ya Google Search, tunategemea mwalimu anajua kila jibu la swali na kila kitu katika somo lake. Lakini tusisahau kuwa hatukuwa na uhuru kamili wa kufunzwa kila kitu na access ya vitabu tofauti vilikuwa kidogo.

Kama utapenda kujua zaidi kuhusu urefu wa milima tofauti duniani, angalia hapa:


Highest Mountains in the world
asante sana mkuu for the knowledge...!

Ninachofurahi bado itakuwa unique kuwaelezea watu: tallest in Africa and highest free standing mountain in the world..I think that's cool!!!
 
asante sana mkuu for the knowledge...!

Ninachofurahi bado itakuwa unique kuwaelezea watu: tallest in Africa and highest free standing mountain in the world..I think that's cool!!!

I agree. And that's what I tell folks in Japan. Bila kusahau the great Serengeti National Park
 
I agree. And that's what I tell folks in Japan. Bila kusahau the great Serengeti National Park

Yani ukianza kuwaambia watu about the great things found in Tanzania hutaweza kumaliza. Most opportunities I got were from introductions (2 minutes) and some follow up questions after a session or so. So siwezi kumaliza vyote. Huwa napenda kuwaambia 'kuanzia Kaskazini to South, East to West; practically every region you visit in TZ kuna something unique and beautiful'.

Nashukuru tu the facts I said about Lake Tanganyika and Victoria nilikuwa nimezi google kabla ya kuzisema.
 
Asante sana Davesto kwa andiko hili, natamani watokee wengine wenye kumbu kumbu za matukio mfanano na hili.
Asante tena...kuna mengi ya kujifunza na kufikirisha...

Sent from mTalk
 
Hiki kisa kinatakiwa kitngenezewe kijarida ili kujenga muamko waugunduzi kwa watoto wetu. Ni changamoto kwa Wizara ya Elimu na Ufundi ambao wamejikita zaidi katika utukuzaji wa mafundisho ya kiulaya, na utastaajabu hata ukiwauliza wakuu wa wizara kuhusu Mpemba Effect watakuambia usituletee mambo ya CUF na Lipumba!
 
Theories for the Mpemba effect have included faster evaporation of hot water, therefore reducing the volume left to freeze; formation of a frost layer on cold water, insulating it; and different concentrations of solutes such as carbon dioxide, which is driven off when the water is heated. Unfortunately the effect doesn’t always appear - cold water often does actually freeze faster than hot, as you would expect. But this Mpemba effect occurs regularly, and no one has ever been able to definitively answer why.

Now a team of physicists from the Nanyang Technological University in Singapore, led by Xi Zhang, have found evidence that it is the chemical bonds that hold water together that provide the effect. Each water molecule is composed of one oxygen atom bonded covalently to two hydrogen molecules. These bonds involve atoms sharing electrons and are well understood. The separate water molecules are also bound together by weaker forces generated by hydrogen bonds. These forces occur when a hydrogen atom from one molecule of water sits close to an oxygen atom from another.

The team now suggest it is these bonds that cause the Mpemba effect. They propose that when the water molecules are brought into close contact, a natural repulsion between the molecules causes the covalent bonds to stretch and store energy. When the liquid warms up, the hydrogen bonds stretch as the water gets less dense and the molecules move further apart.

The stretching in the hydrogen bonds allows the covalent bonds to relax and shrink somewhat, which causes them to give up their energy. The process of covalent bonds giving up their energy is essentially the same as cooling, and so warm water should in theory cool faster than cold. The team’s calculations suggest that the magnitude of the covalent bond relaxation accounts for the experimental differences in the time it takes for hot and cold water to freeze.
 
Awezi pewa ati miliki hakuna ugunduzi hapo ndugu
Hii ni nadharia (theory) tu ,haijathibitishwa (proven) na pia sio ugunduzi yaani Invention kwa hiyo sielewi comment zako zinalenga nini hasa wakati hata jina la hiyo observation wameipa la huyo jamaa.
 
Safi sana, hivi huyu Mpemba kabla ya hapo si aliwauliza watengeneza ice cream na wakamwambia wanaweka kwenye jokofu ikiwa ya moto.. Je unadhani hao watengeneza ice cream hawakuwai kuweka ya baridi lkn ikachelewa kuliko ya moto? Mpemba nadhani mchango weke ni pale alipoweza kuujurisha umma kuhusu ilo ila nadhani watengeneza Ice cream ndo chanzo
 
Kwa kweli ugunduzi huu wa mpemba kama ungetiliwa mkazo, najua angekuwa mbali sana na katika vitabu vya wagunduzi basi angekuwa mmoja wao..tena wagunduzi nguli wa fizikia
 
Back
Top Bottom