Ugunduzi wa zaidi ya tani 2,000,000,000 za madini adimu ya Dunia yaliyopatikana Marekani unaweza kuifanya nchi hiyo kuwa 'kiongozi mpya wa dunia'

Ugunduzi wa zaidi ya tani 2,000,000,000 za madini adimu ya Dunia yaliyopatikana Marekani unaweza kuifanya nchi hiyo kuwa 'kiongozi mpya wa dunia'

Lazima tu kuna kitu hakiko sawa mahali fulani.
Hili moja ya swali waafrika wengi hatupendi kujiuliza kwa sababu majibu yake yanaweza hata kutuumiza.

Majibu yake yanagusa sehemu nyingi sana.
 
Inaweza kubadilisha mustakabali wa utengenezaji wa bidhaa nchini Marekani. Kufuatia uchaguzi uliomalizika, bilionea Elon Musk amekuwa akionya kuwa uchumi wa Marekani unaelekea kufilisika na kumtaka Rais Donald Trump kuzingatia Bitcoin kama suluhu la deni linalozidi kuongezeka nchini humo.

Walakini, Marekani inaweza kuwa imepata njia mpya ya nguvu ya kifedha baada ya ugunduzi wa nyenzo adimu sana kufanywa nchini humo.
---


Following the election, billionaire Elon Musk has been warning that the US economy is looming towards bankruptcy and urging President Donald Trump to consider Bitcoin as a solution to the country’s ever-increasing debt.

However, America might have just found a new path to financial strength after a discovery of incredibly rare materials was made in the country.

Right now, China leads the world in manufacturing, producing 95% of all rare earth minerals and holding over 31% of global manufacturing.

Meanwhile, the US relies on importing about 74% of its minerals and holds only a 15% share in global manufacturing.

But this gap could start to close thanks to a lucky find by American Rare Earths in Wyoming that hit the jackpot with the land they drilled earlier this year.

The team uncovered a treasure trove of rare minerals, including neodymium, praseodymium, samarium, dysprosium, and terbium.

So far, American Rare Earths have only drilled 25% of land in their project so there could be much more to discover.

The kinds of minerals found are widely used in technology such as smartphones, hybrid cars and aircrafts, as well as light bulbs and lamps.

Following a ban on extraction in December 2023, American Rare Earths has been working to break China's record.

The company first started drilling in March 2023 and estimated 1.2 million metric tons of minerals in Wyoming.

In fact, American Rare Earths have actually increased its yield by over two thirds.

According to CEO Don Schwartz: “These results are illustrative of the enormous potential of the project when the resource increased by 64 percent during a developmental drilling campaign, which increased measured/indicated resources by 128 percent.

“Typically, you’ll see the resource decrease as infill drilling takes place – instead, we’re seeing the opposite, with only 25% of the project being drilled to this point."

But American Rare Earths aren't the only ones making discoveries in rare materials after Ramaco Resources came across a deposit of such near Sheridan in Wyoming, valued at around $37 billion.

Discovery of over 2,000,000,000 tons of rare Earth mineral found in US could make country the new 'world leader'
Unaweza kuta wanayaiba congo halafu wanatangaza yapo kwao. Mzungu sio mtu wa kumwamini.
 
Hivi tulivyo navyo tu vimetusaidia na nini wakati nchi kila uchao inarudi kinyumenyume kama treni ya godegode.
Kama hujui vinetusaidia nini utakuwa na matatizo makubwa sana.

Tufanye havijatusaidia,Je wengine vimewasaidiaje? Nataka nijifunze hapo
 
We are on right track,tutakuwa ni mojawapo ya Nchi Zenye hayo Madini Duniani 👇👇

View: https://x.com/mamanafanikisha/status/1856614285582987576?t=_8rAEZLSxo5hUh4v_ThNhw&s=19

Graphite japo inatumika kwenye batteries za magari, lakini siyo REE. Graphite, cobalt na manganese, japo yote yanatumika kwenye modern technology lakini siyo REE.

Halafu hizo taarifa kuwa Tanzania inaoongoza kwenye reserve ya graphite, sijui watu wanaokota wapi hizo taarifa!!

Worldwide, nchi zenye biggest reserve ni
1) Uturuki 2) Brazil 3) China 4) Magascar 5) Mozambique 6) Tanzania.

Na mzalishaji mkubwa mpaka sasa ni China ikifuatiwa na Msumbiji.
 
Graphite japo inatumika kwenye batteries za magari, lakini siyo REE. Graphite, cobalt na manganese, japo yote yanatumika kwenye modern technology lakini siyo REE.

Halafu hizo taarifa kuwa Tanzania inaoongoza kwenye reserve ya graphite, sijui watu wanaokota wapi hizo taarifa!!

Worldwide, nchi zenye biggest reserve ni
1) Uturuki 2) Brazil 3) China 4) Magascar 5) Mozambique 6) Tanzania.

Na mzalishaji mkubwa mpaka sasa ni China ikifuatiwa na Msumbiji.
Wapi imeandikwa inaongoza? Tuko top 10 tunashika namba 6.

Hata hayo mengine tunayo 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DB0b5P4tXAc/?igsh=MWYzYWt4MXBibjJhMA==
 
Kila siku Madini madini , mamaa, mamaa. lakini Nchi iko hoi. Kuna faida gani kuwa na madini, au rasilimali Tanzania?
 
Kuna manchi yamebarikiwa sio mchezo! Resources, akili, and everything else.
Mnapoambiwa kuwa Mungu alisema atambariki atakayembariki Israel mnafikiri ni hadithi. Baraka za Marekani zipo kwa Israel na ndio maana wanalikumbatia lile taifa kwa nguvu zote.

Pia alisema nitamlaani atakayekulaani Israel. Kwa hili inawezekana Ujerumani alianguka sababu ya kuwaua wayahudi million 6. Na ukifuatilia historia inaonyesha Ujerumani ndio iliyokuwa inaelekea kuwa Taifa kubwa duniani lenye nguvu kuliko yote.

Mwenye Masikio na ayasikie haya
 
Back
Top Bottom