Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,497
- 16,180
Ramadhan kareem kwa ndugu zangu waislamu,
Wakuu kuna hiki kitu nimekutana nacho huenda ni kawaida ila kwa miongo zaidi ya mitatu niliyopo hapa duniani ndio naona kwa mara ya kwanza.
Ni hivi, mke wangu kajifungua na ninavyojua (huenda nikawa sipo sahihi) kuna ile chanjo ya begani hua hua mtoto anachomwa pindi nanapozaliwa.
Sasa kwenye hiyo hospitali nimeambiwa chanjo hazipo tusubiri hadi tutakapotaarifiwa! Nikicheki naelekea wiki ya tatu sasa na hakuna taarifa yoyote juu ya uwepo wa chanjo hiyo na inasemekana hii ni kwa chanjo zote za watoto kwenye hiyo hospitali (hospitali ya wilaya) hazipo.
Sasa wasiwasi wangu ni Je! mtoto asipopata hizi chanjo KWA WAKATI au ASIPOPATA KABISA kunaweza kuwa na madhara gani?
cc Wizara ya Afya Tanzania
Wakuu kuna hiki kitu nimekutana nacho huenda ni kawaida ila kwa miongo zaidi ya mitatu niliyopo hapa duniani ndio naona kwa mara ya kwanza.
Ni hivi, mke wangu kajifungua na ninavyojua (huenda nikawa sipo sahihi) kuna ile chanjo ya begani hua hua mtoto anachomwa pindi nanapozaliwa.
Sasa kwenye hiyo hospitali nimeambiwa chanjo hazipo tusubiri hadi tutakapotaarifiwa! Nikicheki naelekea wiki ya tatu sasa na hakuna taarifa yoyote juu ya uwepo wa chanjo hiyo na inasemekana hii ni kwa chanjo zote za watoto kwenye hiyo hospitali (hospitali ya wilaya) hazipo.
Sasa wasiwasi wangu ni Je! mtoto asipopata hizi chanjo KWA WAKATI au ASIPOPATA KABISA kunaweza kuwa na madhara gani?
cc Wizara ya Afya Tanzania