Uhaba wa DOLA (U.S.D) Tanzania na ukimya wa Serikali

Uhaba wa DOLA (U.S.D) Tanzania na ukimya wa Serikali

Kwa ufupi Dollar nyingi zitakuja endapo tutakopa pesa zaidi au tusubirie msimu wa watalii
Kukopa sio njia nzuri, madeni yakizidi pia ni hatari kwa taifa.
Ninaamini njia nzuri na ya dharura kwa Tanzania ni kuongeza uzalishaji wa bidhaaa za kilimo na kupunguza uagizaji wa bidhaa zinazoweza kuzalishwa hapa nchini kama mafuta ya kula, mbolea, bidhaa za ngozi, bidhaa za katani, pamba, chikichi na tumbaku nk.
Njia hii itasaidia fedha za kigeni zinazoingia zisitoke kwa wingi bali kwa vitu vya lazima pekee.

Vitu hivi vikiwekewa mkazo vinaweza kuzalishwa hapa nchini kwa kiwango cha kutosheleza na kuzidi, shida ni UBINAFSI wa viongozi wetu.
 
Kihesabu; ina tafsiri ya kuwa, tunatumia sana vitu vya nje kuliko wao kutaka vya kwetu.
Ningekuwa na maamuzi; biashara zote za kuagiza vitu nje na kuingiza nchini ningezipiga chini, na kuwapa kipaumbele wale wote wanaofanya biashara ya kupeleka vitu nje.​
 
Kukopa sio njia nzuri, madeni yakizidi pia ni hatari kwa taifa.
Ninaamini njia nzuri na ya dharura kwa Tanzania ni kuongeza uzalishaji wa bidhaaa za kilimo na kupunguza uagizaji wa bidhaa zinazoweza kuzalishwa hapa nchini kama mafuta ya kula, mbolea, bidhaa za ngozi, bidhaa za katani, pamba, chikichi na tumbaku nk.
Njia hii itasaidia fedha za kigeni zinazoingia zisitoke kwa wingi bali kwa vitu vya lazima pekee.

Vitu hivi vikiwekewa mkazo vinaweza kuzalishwa hapa nchini kwa kiwango cha kutosheleza na kuzidi, shida ni UBINAFSI wa viongozi wetu.
Pia nishati ya mafuta inakula fedha ya kigeni wakati wao hawazalishi fedha za kigeni (sheli); zipunguzwe
 
Kuna siku nilienda kufanya TT benki fulani hapa Kariakoo sokoni ikawa pesa ya charge imepungua, nikawauliza dola ngapi inahitajika wakanambia dola 40 na uzuri nilikuwa na TSH nikawaambia niuzieni hizo dola 40 wakasema dola hawana, imagine dola 40 benki hawana?
 
Kumekuwa na uhaba mkubwa wa fedha za kigeni hapa Tanzania hasa USD ambayo ndio hutumika sana kwa malipo kwa biashara za kimataifa.

Pamoja na kupanda kwa dola na kushuka kwa shilingi kutoka 2375 mpaka 2405 bado imekuwa shida sana kupatikana.

Kwanza ilianza mabenki kuweka ukomo wa kununua dola mpaka 5000 USD pekee. Na sasa wameweka ukomo wa 1000 USD pekee.

Maduka ya kubadilisha fedha za kigeni hakuna dola, Benki hazina dola, wafanyabiashara hawana dola Serikali iko kimya na hakuna hatua za dharura zinazochukulia kunusuru hali hii mbaya kiuchumi.

Sasahivi ukihitaji dola 30,000 inabidi uzunguke kwenye mabenki karibu mwezi mzima ili kuzipata
Hali hii imekuwa changamoto sana kwa wafanyabiashara (Waagizaji)

Nauliza hii nchi tuna Serikali?!
Tuliambiwa tunaachana na uchumi wa mabeberu. Tutumie pesa ya China na Urusi.
 
Tanzania ina-import mpaka mpaka Kelo kuliko ku-export na Forex reserve ya hii nchi ni ndogo Sana, kuboost hayo mahitaji serikali inabidi ikope tena. Nina uhakika ni BOT ndiyo inayorestrict kiwango cha kuuza dola.

Kilimo ndio kinachangia fedha za kigeni nyingi nyuma ya dhahabu ndio maana serikali inakumbana na ugumu kuzuia chakula kuuzwa nje.
Mazao ya biashara tumeyazingua sana
 
Kihesabu; ina tafsiri ya kuwa, tunatumia sana vitu vya nje kuliko wao kutaka vya kwetu.
Ningekuwa na maamuzi; biashara zote za kuagiza vitu nje na kuingiza nchini ningezipiga chini, na kuwapa kipaumbele wale wote wanaofanya biashara ya kupeleka vitu nje.​
Hili ndio suruhisho, mengineyo ni kuzunguka mbuyu na hii iambatane na technology upgrading ya nchi.
 
Ku import vitu vingi kuliko ku export ni tatizo namba moja lakini..

Shida kubwa iko upande wa serikali yetu, wamekosa ubunifu kabisa
Nashauri yafuatayo

1. Serikali lazima iwekeze kwenye madini iwe na migodi yake yenyewe
Yaani watanzania tuchimbe na kuuza dhahabu, gesi, chuma nk
Lakini kufanikisha hili ni lazima iwekeze kwenye utafiti wa kutosha nasisitiza
UTAFITI WA KUTOSHA.
Hii itasaidia kuingiza fedha nyingi za kigeni kwenye nchi yetu hasa uuzaji wa dhahabu.

2. Serikali iboreshe bandari ya Dar es salaam
Kwa kununua vifaa vya kisasa na kufanya kazi 24hrs lakini pia itengenezwe bandari kavu kubwa kabisa Morogoro ili mizigo inapotoka bandarini ipelekwe Morogoro wahusika wa mikoa ya kanda ya ziwa kati na nje ya nchi watachukua mizigo hapo. Hii itaongeza ufanisi wa bandari na kuwavutia wateja zaidi.

3.Serikali ni lazima iwekeze kwenye kilimo na viwanda ili kupunguza uagizaji wa bidhaa nje ya nchi, kwanza kutoa ruzuku kwenye pembejeo zakilimo na kuandaa mazingira wezeshi kwa wazawa kufungua viwanda vya bidhaa zinazozalisha kwa wingi nchini mfano mkonge, pamba, alizeti, chikichi na karafuu.

Tukifanya hivyo tutaongeza uzalishaji, tutapata fedha nyingi za kigeni na tutaongeza mzunguko wa biashara na fedha nchini.
Shida ni watu.... serikali haifanyi biashara
 
Kumekuwa na uhaba mkubwa wa fedha za kigeni hapa Tanzania hasa USD ambayo ndio hutumika sana kwa malipo kwa biashara za kimataifa.

Pamoja na kupanda kwa dola na kushuka kwa shilingi kutoka 2375 mpaka 2405 bado imekuwa shida sana kupatikana.

Kwanza ilianza mabenki kuweka ukomo wa kununua dola mpaka 5000 USD pekee. Na sasa wameweka ukomo wa 1000 USD pekee.

Maduka ya kubadilisha fedha za kigeni hakuna dola, Benki hazina dola, wafanyabiashara hawana dola Serikali iko kimya na hakuna hatua za dharura zinazochukulia kunusuru hali hii mbaya kiuchumi.

Sasahivi ukihitaji dola 30,000 inabidi uzunguke kwenye mabenki karibu mwezi mzima ili kuzipata
Hali hii imekuwa changamoto sana kwa wafanyabiashara (Waagizaji)

Nauliza hii nchi tuna Serikali?!
Team Russia ndiyo muda wenu wa kuleta currency yenu ya Russia au China Ili mpindue meza vzr
 
Kumekuwa na uhaba mkubwa wa fedha za kigeni hapa Tanzania hasa USD ambayo ndio hutumika sana kwa malipo kwa biashara za kimataifa.

Pamoja na kupanda kwa dola na kushuka kwa shilingi kutoka 2375 mpaka 2405 bado imekuwa shida sana kupatikana.

Kwanza ilianza mabenki kuweka ukomo wa kununua dola mpaka 5000 USD pekee. Na sasa wameweka ukomo wa 1000 USD pekee.

Maduka ya kubadilisha fedha za kigeni hakuna dola, Benki hazina dola, wafanyabiashara hawana dola Serikali iko kimya na hakuna hatua za dharura zinazochukulia kunusuru hali hii mbaya kiuchumi.

Sasahivi ukihitaji dola 30,000 inabidi uzunguke kwenye mabenki karibu mwezi mzima ili kuzipata
Hali hii imekuwa changamoto sana kwa wafanyabiashara (Waagizaji)

Nauliza hii nchi tuna Serikali?!
Chawa wapo humu kusema kumkimgia saa100 kifua kuwa ni swala la kidunia
 
Ku import vitu vingi kuliko ku export ni tatizo namba moja lakini..

Shida kubwa iko upande wa serikali yetu, wamekosa ubunifu kabisa
Nashauri yafuatayo

1. Serikali lazima iwekeze kwenye madini iwe na migodi yake yenyewe
Yaani watanzania tuchimbe na kuuza dhahabu, gesi, chuma nk
Lakini kufanikisha hili ni lazima iwekeze kwenye utafiti wa kutosha nasisitiza
UTAFITI WA KUTOSHA.
Hii itasaidia kuingiza fedha nyingi za kigeni kwenye nchi yetu hasa uuzaji wa dhahabu.

2. Serikali iboreshe bandari ya Dar es salaam
Kwa kununua vifaa vya kisasa na kufanya kazi 24hrs lakini pia itengenezwe bandari kavu kubwa kabisa Morogoro ili mizigo inapotoka bandarini ipelekwe Morogoro wahusika wa mikoa ya kanda ya ziwa kati na nje ya nchi watachukua mizigo hapo. Hii itaongeza ufanisi wa bandari na kuwavutia wateja zaidi.

3.Serikali ni lazima iwekeze kwenye kilimo na viwanda ili kupunguza uagizaji wa bidhaa nje ya nchi, kwanza kutoa ruzuku kwenye pembejeo zakilimo na kuandaa mazingira wezeshi kwa wazawa kufungua viwanda vya bidhaa zinazozalisha kwa wingi nchini mfano mkonge, pamba, alizeti, chikichi na karafuu.

Tukifanya hivyo tutaongeza uzalishaji, tutapata fedha nyingi za kigeni na tutaongeza mzunguko wa biashara na fedha nchini.
Wakati bandari tu mama anataka kuziuza maana zimeshaamshinda itakuwa hiyi migodi
 
Kihesabu; ina tafsiri ya kuwa, tunatumia sana vitu vya nje kuliko wao kutaka vya kwetu.
Ningekuwa na maamuzi; biashara zote za kuagiza vitu nje na kuingiza nchini ningezipiga chini, na kuwapa kipaumbele wale wote wanaofanya biashara ya kupeleka vitu nje.​
Utaitwa dictata Na kupewa Kila aina baya kuwa unaua biashara za watu
 
Utaitwa dictata Na kupewa Kila aina baya kuwa unaua biashara za watu
Kama mikakati itapangiliwa vizuri, wengi wataacha biashara ya uchuuzi na kuwekeza kwenye uzalishaji na kusafirisha nje
 
Jana nimekwenda NMB wananiambia kununua dola mwisho USD 500
 
Shida ni watu.... serikali haifanyi biashara
Nathani kuna jambo hulielewi mkuu,
Serikali inatumia zaidi ya 70% ya fedha za kigeni nchini.
Gharama za ujenzi wa reli zaidi ya trillion 10
Gharama za ujenzi daraja la Busisi zaidi ya 700 billion

Gharama za ujenzi wa bwawa la Umeme
La Nyerere zaidi ya trillioni 7

Ujenzi wa barabara na madaraja unaofanywa na kampuni za nje
Uagizaji wa mafuta ( petrol, diesel nk)
Ulipaji wa deni la taifa

Hayo yote yanafanywa na serikali kwa fedha za kigeni sio Tsh.
 
Hivi haya mahundi nakadharika vinavyoenda nchi za afrika mashariki mfano Kenya, wafanyabiashara wetu wanauza kwa dola kweli?
 
Hivi haya mahundi nakadharika vinavyoenda nchi za afrika mashariki mfano Kenya, wafanyabiashara wetu wanauza kwa dola kweli?
Wananunua kwa pesa ya Kenya
 
Back
Top Bottom