lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
Tarehe 08 Juni 2023 nilienda katika benki moja kubwa TU hapa nchini,ambayo kwa miaka yote ya kazi zangu hua naitumia kwa ajili ya malipo ya ununuzi wa nje ya nchi.
Nikiwa na fomu zangu za TT kwa ajili ya kufanya malipo kwa fedha ya USD niliambiwa,"unafahamu kua hakuna usd?".
Hakuna USA Kwa zaidi ya wiki mbili Sasa"je unaweza kulipa kwa Yuan? Maana hizo tunazo nyingi".
Niliwaeleza umuhimu wa shida yangu,wakaanza kupigana simu ofisini,mazungumzo yalikua ni kua hakuna USD.
Maneno waliyokua wakiongea hawakujua kama najua kinachoendelea duniani.
Sitaki kusema mengi lakini USD imeadimika.
Nasikia hata wabunge walihoji Hali hiyo.
Je Putin ndio chanzo Cha kuadimika Dola au,wachumi naomba mje mtoe ufafanuzi plz.
Nikiwa na fomu zangu za TT kwa ajili ya kufanya malipo kwa fedha ya USD niliambiwa,"unafahamu kua hakuna usd?".
Hakuna USA Kwa zaidi ya wiki mbili Sasa"je unaweza kulipa kwa Yuan? Maana hizo tunazo nyingi".
Niliwaeleza umuhimu wa shida yangu,wakaanza kupigana simu ofisini,mazungumzo yalikua ni kua hakuna USD.
Maneno waliyokua wakiongea hawakujua kama najua kinachoendelea duniani.
Sitaki kusema mengi lakini USD imeadimika.
Nasikia hata wabunge walihoji Hali hiyo.
Je Putin ndio chanzo Cha kuadimika Dola au,wachumi naomba mje mtoe ufafanuzi plz.