Kukopa sio njia nzuri, madeni yakizidi pia ni hatari kwa taifa.Kwa ufupi Dollar nyingi zitakuja endapo tutakopa pesa zaidi au tusubirie msimu wa watalii
Pia nishati ya mafuta inakula fedha ya kigeni wakati wao hawazalishi fedha za kigeni (sheli); zipunguzweKukopa sio njia nzuri, madeni yakizidi pia ni hatari kwa taifa.
Ninaamini njia nzuri na ya dharura kwa Tanzania ni kuongeza uzalishaji wa bidhaaa za kilimo na kupunguza uagizaji wa bidhaa zinazoweza kuzalishwa hapa nchini kama mafuta ya kula, mbolea, bidhaa za ngozi, bidhaa za katani, pamba, chikichi na tumbaku nk.
Njia hii itasaidia fedha za kigeni zinazoingia zisitoke kwa wingi bali kwa vitu vya lazima pekee.
Vitu hivi vikiwekewa mkazo vinaweza kuzalishwa hapa nchini kwa kiwango cha kutosheleza na kuzidi, shida ni UBINAFSI wa viongozi wetu.
Tuliambiwa tunaachana na uchumi wa mabeberu. Tutumie pesa ya China na Urusi.Kumekuwa na uhaba mkubwa wa fedha za kigeni hapa Tanzania hasa USD ambayo ndio hutumika sana kwa malipo kwa biashara za kimataifa.
Pamoja na kupanda kwa dola na kushuka kwa shilingi kutoka 2375 mpaka 2405 bado imekuwa shida sana kupatikana.
Kwanza ilianza mabenki kuweka ukomo wa kununua dola mpaka 5000 USD pekee. Na sasa wameweka ukomo wa 1000 USD pekee.
Maduka ya kubadilisha fedha za kigeni hakuna dola, Benki hazina dola, wafanyabiashara hawana dola Serikali iko kimya na hakuna hatua za dharura zinazochukulia kunusuru hali hii mbaya kiuchumi.
Sasahivi ukihitaji dola 30,000 inabidi uzunguke kwenye mabenki karibu mwezi mzima ili kuzipata
Hali hii imekuwa changamoto sana kwa wafanyabiashara (Waagizaji)
Nauliza hii nchi tuna Serikali?!
Mazao ya biashara tumeyazingua sanaTanzania ina-import mpaka mpaka Kelo kuliko ku-export na Forex reserve ya hii nchi ni ndogo Sana, kuboost hayo mahitaji serikali inabidi ikope tena. Nina uhakika ni BOT ndiyo inayorestrict kiwango cha kuuza dola.
Kilimo ndio kinachangia fedha za kigeni nyingi nyuma ya dhahabu ndio maana serikali inakumbana na ugumu kuzuia chakula kuuzwa nje.
Hili ndio suruhisho, mengineyo ni kuzunguka mbuyu na hii iambatane na technology upgrading ya nchi.Kihesabu; ina tafsiri ya kuwa, tunatumia sana vitu vya nje kuliko wao kutaka vya kwetu.
Ningekuwa na maamuzi; biashara zote za kuagiza vitu nje na kuingiza nchini ningezipiga chini, na kuwapa kipaumbele wale wote wanaofanya biashara ya kupeleka vitu nje.
Shida ni watu.... serikali haifanyi biasharaKu import vitu vingi kuliko ku export ni tatizo namba moja lakini..
Shida kubwa iko upande wa serikali yetu, wamekosa ubunifu kabisa
Nashauri yafuatayo
1. Serikali lazima iwekeze kwenye madini iwe na migodi yake yenyewe
Yaani watanzania tuchimbe na kuuza dhahabu, gesi, chuma nk
Lakini kufanikisha hili ni lazima iwekeze kwenye utafiti wa kutosha nasisitiza
UTAFITI WA KUTOSHA.
Hii itasaidia kuingiza fedha nyingi za kigeni kwenye nchi yetu hasa uuzaji wa dhahabu.
2. Serikali iboreshe bandari ya Dar es salaam
Kwa kununua vifaa vya kisasa na kufanya kazi 24hrs lakini pia itengenezwe bandari kavu kubwa kabisa Morogoro ili mizigo inapotoka bandarini ipelekwe Morogoro wahusika wa mikoa ya kanda ya ziwa kati na nje ya nchi watachukua mizigo hapo. Hii itaongeza ufanisi wa bandari na kuwavutia wateja zaidi.
3.Serikali ni lazima iwekeze kwenye kilimo na viwanda ili kupunguza uagizaji wa bidhaa nje ya nchi, kwanza kutoa ruzuku kwenye pembejeo zakilimo na kuandaa mazingira wezeshi kwa wazawa kufungua viwanda vya bidhaa zinazozalisha kwa wingi nchini mfano mkonge, pamba, alizeti, chikichi na karafuu.
Tukifanya hivyo tutaongeza uzalishaji, tutapata fedha nyingi za kigeni na tutaongeza mzunguko wa biashara na fedha nchini.
Team Russia ndiyo muda wenu wa kuleta currency yenu ya Russia au China Ili mpindue meza vzrKumekuwa na uhaba mkubwa wa fedha za kigeni hapa Tanzania hasa USD ambayo ndio hutumika sana kwa malipo kwa biashara za kimataifa.
Pamoja na kupanda kwa dola na kushuka kwa shilingi kutoka 2375 mpaka 2405 bado imekuwa shida sana kupatikana.
Kwanza ilianza mabenki kuweka ukomo wa kununua dola mpaka 5000 USD pekee. Na sasa wameweka ukomo wa 1000 USD pekee.
Maduka ya kubadilisha fedha za kigeni hakuna dola, Benki hazina dola, wafanyabiashara hawana dola Serikali iko kimya na hakuna hatua za dharura zinazochukulia kunusuru hali hii mbaya kiuchumi.
Sasahivi ukihitaji dola 30,000 inabidi uzunguke kwenye mabenki karibu mwezi mzima ili kuzipata
Hali hii imekuwa changamoto sana kwa wafanyabiashara (Waagizaji)
Nauliza hii nchi tuna Serikali?!
Chawa wapo humu kusema kumkimgia saa100 kifua kuwa ni swala la kiduniaKumekuwa na uhaba mkubwa wa fedha za kigeni hapa Tanzania hasa USD ambayo ndio hutumika sana kwa malipo kwa biashara za kimataifa.
Pamoja na kupanda kwa dola na kushuka kwa shilingi kutoka 2375 mpaka 2405 bado imekuwa shida sana kupatikana.
Kwanza ilianza mabenki kuweka ukomo wa kununua dola mpaka 5000 USD pekee. Na sasa wameweka ukomo wa 1000 USD pekee.
Maduka ya kubadilisha fedha za kigeni hakuna dola, Benki hazina dola, wafanyabiashara hawana dola Serikali iko kimya na hakuna hatua za dharura zinazochukulia kunusuru hali hii mbaya kiuchumi.
Sasahivi ukihitaji dola 30,000 inabidi uzunguke kwenye mabenki karibu mwezi mzima ili kuzipata
Hali hii imekuwa changamoto sana kwa wafanyabiashara (Waagizaji)
Nauliza hii nchi tuna Serikali?!
Kuna imeamza kuimport juzi hizo foodstuffSasa nchi yako bado ina import mpaka foodstuff, hapo lazima dola iadimike tu
Wakati bandari tu mama anataka kuziuza maana zimeshaamshinda itakuwa hiyi migodiKu import vitu vingi kuliko ku export ni tatizo namba moja lakini..
Shida kubwa iko upande wa serikali yetu, wamekosa ubunifu kabisa
Nashauri yafuatayo
1. Serikali lazima iwekeze kwenye madini iwe na migodi yake yenyewe
Yaani watanzania tuchimbe na kuuza dhahabu, gesi, chuma nk
Lakini kufanikisha hili ni lazima iwekeze kwenye utafiti wa kutosha nasisitiza
UTAFITI WA KUTOSHA.
Hii itasaidia kuingiza fedha nyingi za kigeni kwenye nchi yetu hasa uuzaji wa dhahabu.
2. Serikali iboreshe bandari ya Dar es salaam
Kwa kununua vifaa vya kisasa na kufanya kazi 24hrs lakini pia itengenezwe bandari kavu kubwa kabisa Morogoro ili mizigo inapotoka bandarini ipelekwe Morogoro wahusika wa mikoa ya kanda ya ziwa kati na nje ya nchi watachukua mizigo hapo. Hii itaongeza ufanisi wa bandari na kuwavutia wateja zaidi.
3.Serikali ni lazima iwekeze kwenye kilimo na viwanda ili kupunguza uagizaji wa bidhaa nje ya nchi, kwanza kutoa ruzuku kwenye pembejeo zakilimo na kuandaa mazingira wezeshi kwa wazawa kufungua viwanda vya bidhaa zinazozalisha kwa wingi nchini mfano mkonge, pamba, alizeti, chikichi na karafuu.
Tukifanya hivyo tutaongeza uzalishaji, tutapata fedha nyingi za kigeni na tutaongeza mzunguko wa biashara na fedha nchini.
Utaitwa dictata Na kupewa Kila aina baya kuwa unaua biashara za watuKihesabu; ina tafsiri ya kuwa, tunatumia sana vitu vya nje kuliko wao kutaka vya kwetu.
Ningekuwa na maamuzi; biashara zote za kuagiza vitu nje na kuingiza nchini ningezipiga chini, na kuwapa kipaumbele wale wote wanaofanya biashara ya kupeleka vitu nje.
Kama mikakati itapangiliwa vizuri, wengi wataacha biashara ya uchuuzi na kuwekeza kwenye uzalishaji na kusafirisha njeUtaitwa dictata Na kupewa Kila aina baya kuwa unaua biashara za watu
Nathani kuna jambo hulielewi mkuu,Shida ni watu.... serikali haifanyi biashara