Uhaba wa DOLA (U.S.D) Tanzania na ukimya wa Serikali

Tarehe 08 Juni 2023 nilienda katika benki moja kubwa TU hapa nchini,ambayo kwa miaka yote ya kazi zangu hua naitumia kwa ajili ya malipo ya ununuzi wa nje ya nchi.
Nikiwa na fomu zangu za TT kwa ajili ya kufanya malipo kwa fedha ya USD niliambiwa,"unafahamu kua hakuna usd?".
Hakuna USA Kwa zaidi ya wiki mbili Sasa"je unaweza kulipa kwa Yuan? Maana hizo tunazo nyingi".
Niliwaeleza umuhimu wa shida yangu,wakaanza kupigana simu ofisini,mazungumzo yalikua ni kua hakuna USD.
Maneno waliyokua wakiongea hawakujua kama najua kinachoendelea duniani.

Sitaki kusema mengi lakini USD imeadimika.
Nasikia hata wabunge walihoji Hali hiyo.
Je Putin ndio chanzo Cha kuadimika Dola au,wachumi naomba mje mtoe ufafanuzi plz.
 
Hivi kuna U.S.A
U.S.B
na
U.S.D?
sasa wew bank ulifata nin U.S.D au U.S.C
maana nikiangalia hapo kinachokosekana bank ni U.S.C pekee
 
Tuanze kuzoea kuuza na kununua kwa fedha yetu!
 
Hapa sasa umeongea kisomi na sio story za hawa wengine.
 
Asipokuelewa na hapa mchape kibao.
 
Hii paragraph ya mwisho umemalizia vizuri.
 
Yuan kama unataka kuagiza kitu China tu lakini nchi nyingi hawaitambui.
 
Mi nazan tuiombe marekani baada ya tsh tutumie dollar shiling tuikane kwa muda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…