MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,727
- 6,615
Atamkumbuka mamakoMtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atamkumbuka mamakoMtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya
Hivi huyu mwendazake ameifanyia nini nchi hii ,kama miundo mbinu hakua anatoa pesa mfukoni mwake ,na bado alipiga cha juu , tuheshimianeKuadimika kwa Dola ya Marekani katika soko la Kariakoo kumewafanya Wafanyabiashara kumkumbuka Hayati Rais Magufuli, Dola Moja inabadilishwa kea tzs 2,430 lakini Dola hiyo haipatikani mtaani Kariakoo,wachache waliipata asubuhi kwa 3450 uagizaji wa mizigo China umesimama, kutumia pesa ya China RMB ni hasara kwa mfanyabiashara,wakati wa Magufuli, Bureau zilizuiwa lakini Dola ilipatikana bank tena kwa wingi lakini hivi sasa bureau zipo na bank zipo lakini Dola haipo,inawawia vigumu kuagiza bidhaa kwa kutuma transfer bank ambapo inawapasa watume Dola na bank hazina hizo dollar,
Kawaulize Kariakoo.Acha uongo