SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,797
- 25,177
Hivi unasoma ukaelewa au wakurupuka? Hapa tunamwongelea USA au Ujerumani?acha kutunga story , lin USA alikuwa na mpango wa kuvamia mataifa makubwa?
Mkuu sasa tuko 2022, umeleta habari ya wheat exports 2020 sijui hoja yako iko wapi, tunataka tuiangalie russia baada ya kuivamia Ukraine ataweza vipi kupunguza foleni ya raia wake wakilazimishwa kinunua sukari 2kg kwa mtu 1 tu., lakini em tupia hapa uangalie exchange rate ya ya fedha russia rub kwa $Huna akili we mtoto angalia hio hapo chini au tumia hata Google kuelewa mambo sio unapayuka tu
View attachment 2170191
Kila mtu ale chakula chake Unasema Rssia ana njaa ni biggest exporter wa ngano dunia kwaio ndani ya mwezi mmoja chakula kimeisha??Mkuu sasa tuko 2022, umeleta habari ya wheat exports 2020 sijui hoja yako iko wapi, tunataka tuiangalie russia baada ya kuivamia Ukraine ataweza vipi kupunguza foleni ya raia wake wakilazimishwa kinunua sukari 2kg kwa mtu 1 tu., lakini em tupia hapa uangalie exchange rate ya ya fedha russia rub kwa $
View attachment 2170221
Anawatandika kwenye duara dogoMchezo ndio unaenda kuanza rasmi ,Putin the master ndio steringi
Kila mtu ale chakula chake Unasema Rssia ana njaa ni biggest exporter wa ngano dunia kwaio ndani ya mwezi mmoja chakula kimeisha??
View attachment 2170238
Takwimu za siku 4 zilizopita hizi hapa
Angalia hii attachment yapiliView attachment 2170245
Mkuu siku 4 vipi na kwa mujibu wa bandiko lako mwenyewe ni tokea 2020? usilamishe utakavyo wewe tena ilibidi wende kwenye Wikipedia., hii ni history tu lete habari ya sasa kuhusu Putini na aila zake.
Hujui kwamba mbadala wa Gas ni Makaa ya Mawe ambayo ni rahisi na nafuu kuliko gas?Mrusi ana vyakula vya kutosha na nishati ya kutosha.Mambo yataenda tu kwa kukaza mkanda.Lakini Ujerumani na wenzao wa Ulaya lazima hatimae watanywea.
Tumaini lipo kuziburuza nchi za mashariki ya kati .Pindi na wao wakiacha ujinga wa kukokotwa kutimiza malengo ya watu basi Ulaya hamna kitu.
Hii unajifanya hujaiona eeehView attachment 2170245
Mkuu siku 4 vipi na kwa mujibu wa bandiko lako mwenyewe ni tokea 2020? usilamishe utakavyo wewe tena ilibidi wende kwenye Wikipedia., hii ni history tu lete habari ya sasa kuhusu Putini na aila zake.
Wachumi uchwara wa Jamiiforums,huyo Russia anauza Gas na Mafuta kiasi gani kwenye soko la Dunia kuwashinda Waarabu na Marekani?Hii ndo itakua mwanzo wa mwisho wa petrodollars....
US kwa miaka mingi amekua akifaidika kwa matumizi ya ela yake kutumika ktk transaction za kimataifa...
Putin anaweza tetereka Ila ni kwa muda tu.
Russia ni li nchi limoja kuuuuubwa km Africa... Lina watu wachache sana takriban 145Milion uku nchi ikiwa kubwa km Africa.. Russia wana Ardhi ya kutosha kulisha nusu ya Dunia... Russia wana Nishati na Mafuta na Gas yakutosha, Mafuta ni wapili baada ya Saudi Arabia... Russia wana Metal km Aluminum, Copper za kutosha.
Russia wana Gold,Uranium nk za kutosha.
Russia ni mzalishaji mkuu wa Grain, soya Bean, ngano na analisha nchi kibao za Africa na Arabuni hivo pata picha...
So ktk aya yanayoendelea Russia ataumia kwa kiasi Ila naziona Nchi za Ulaya maisha yakipagalanyika,maandamano na mizozo...
Huu ndoutakua mwanzo wa Petrodollars kwani nchi ndogo zilizojaribu kutaka kuachana na matumizi ya Dollars kwenye mauzo ya Nishati yao aidha zilipinduliwa au kuletewa zengwe na US ila kwa Russia nchi namba Moja kwa nguvu za Nuclear nadhani atakua ametuondolea kisiki cha dollars
Ondoa 'w' kwenye sentesi tugonge likeKila mmoja akaze tuone Nani atasanda....mim naona Russia akishindwa kwenye hili
Hii haina kidhibiti chochote nimeweka kwa dustbin.,
Sasa kwann wanahangaikaga na gesi wakati makaa ya mawe ya nafuu zaidi wanayo?Hujui kwamba mbadala wa Gas ni Makaa ya Mawe ambayo ni rahisi na nafuu kuliko gas?
Mada ilikuwa watakufa na njaa sasa naona unahamaHii haina kidhibiti chochote nimeweka kwa dustbin.,
Labda niongezee tu utakuta hiyo 2020 Russia ikisafirisha ngano ulaya zaidi lakini tokea hii ban ianze utakuta sasa ulaya inapokea ngano kutoka washrika wengine wa ulaya kama canada na nchi nyeinge., lazima ufahamu russia wana hali ngumu
Niko hapo hapo wanapanga foleni kununua sukari 2kgs kwa mtu, sasa kama unapanga folen leo mwezi 1 toka vikwanzo waekewe baada miezi 4 mbele itakuaje? njaa tu mkuuMada ilikuwa watakufa na njaa sasa naona unahama
Nitafutie nchi ya ulaya hapoNiko hapo hapo wanapanga foleni kununua sukari 2kgs kwa mtu, sasa kama unapanga folen leo mwezi 1 toka vikwanzo waekewe baada miezi 4 mbele itakuaje? njaa tu mkuu
Kama ni rahisi kuliko gas kilichomfanya mgermany aachane nayo ahamie kwenye gas ni nini? Maana before alikuwa anategemea hayo makaa?Hujui kwamba mbadala wa Gas ni Makaa ya Mawe ambayo ni rahisi na nafuu kuliko gas?
Week ijayo siku kama ya leo uje tenaHakuna kitu hapo Russia atadoda na gesi yake hakuna mtu mwenye akili timamu atakayenunua nishati yenye masharti huku Russia mwenyewe akiwa ameshachoka vibaya kiasi kwamba hata vita vyake alivyovianzisha mwenyewe vimeshamshinda.
Options are there concerning the Europe's energy saga to which the Russian gas is not indispensable.