Uhaba wa gesi kuitikisa Ulaya

Uhaba wa gesi kuitikisa Ulaya

Samahani MKUU
Kwauelewa ama kwauoni wako kutokana na uloliandika unahisi hili suala litamalizikaje kwamba RUBLE haitafanya kazi kama ilivyoongelewa ama inakuaje
Nakwampaka sasa jambo lilipofikia umahisi kama RUSSIA atafunga GESI kwamba EUROPE watakosa kabisa nishati mbadala
Na kwamba RUSSIA akifunga GESI jumla inaweza ikaibuka VITA hapo EUROPE !!?
Hali ni ngumu kutabirika ila wataelewana kwa vita kuisha kwa Ukraine kutojiunga na NATO na kila kitu kitarejea kama awali kwa sharti Ukraine isijiunge na NATO na Russia iyaachie yale majimbo yarejee kuwa sehemu ya Ukraine

Hayo ni mawazo tu inawezekana isiwe hivyo
 
Kinachonifurahisha kwenye mada kama hizi wengi wetu ni 😍 alafu mmoja mmoja... 💩
Sijui nguvu ya kuipinga Russia wanaitoa wapi!
 
Urusi ni kama mtoto ya yatima. Wananchi wa Urusi wamezoa ugumu wa maisha kwa taarifa yako. Wale ni kama waafrika tu. Uwezo wao wakustahimili hali ngumu ni mkubwa ukilinganisha na hawa jamaa wa Ulaya ambao wamezoea maisha mazuri.

So kuna tofauti ndo maana unaona tamaduni zao ni tofauti sana. Urusi wanaume ndo wanasauti siyo kama Ulaya ambapo mfumo jike umetawala.
Na mrusi hataki habari za ushoga shoga ambazo wazungu wa magharibi wanaendekeza
 
Amezungumzia uhaba lakini hajabadili msimamo, Russia watakula gesi yao wenyewe kama inaliwa, lakini wananchi wake wanapanga foleni kununua kilo 2 za sukari kwa mtu 1.,
Kwamba sukari inatengenezwa ulaya tu? India hakuna? China? Na nchi nyingine zinazofanya biashara na urusi? Na kwamba urusi hawana Mtibwa yao? Watu wanaopeleka vyombo sayari za mbali hawawezi zalisha sukari?
 
Safari hii watatumia maji ya bomba
Germany watatumia hii technology hapo chini mkuu.
FO8ZDkZXEAwed6v.jpg
 
Marekani tapeli, yeye kajiwekea grace period ya kuendelea kununua mafta ya mrusi kwa skku 45, leo nimeona aljazeera kuna meli ya urusi inashusha mafuta hapo Marekani yana thamani za millions of dollars [emoji1787][emoji1787].
Hivi Marekani hao wenzake kawaroga au?
Yeye akigombana na mtu anataka na wao wagombane naye kwa maslahi yake, akimhitaji analegeza vikwazo.
Imeisha hio mzee
FPFvA63aUAIZwE8.jpg
 
Kwamba sukari inatengenezwa ulaya tu? India hakuna? China? Na nchi nyingine zinazofanya biashara na urusi? Na kwamba urusi hawana Mtibwa yao? Watu wanaopeleka vyombo sayari za mbali hawawezi zalisha sukari?
Mkuu sukari russia bei imeripuka kwa 37% na wananunua kwa folen kilo 2 mbili tu?? na bidhaa nyengine naagalia TV hapa halafu nawafikiria Russia baada ya miezi 4 hali yao itakuwaje??

Au unata kunambia sasa Russia watamimina gesi kwenye kikombe cha chai badala sukar?
 
Urusi ni kama mtoto ya yatima. Wananchi wa Urusi wamezoa ugumu wa maisha kwa taarifa yako. Wale ni kama waafrika tu. Uwezo wao wakustahimili hali ngumu ni mkubwa ukilinganisha na hawa jamaa wa Ulaya ambao wamezoea maisha mazuri.

So kuna tofauti ndo maana unaona tamaduni zao ni tofauti sana. Urusi wanaume ndo wanasauti siyo kama Ulaya ambapo mfumo jike umetawala.
Utabwabwaja maneno Ila jua urusi Hadi thiki kama nchi yako
 
Mkuu sukari russia bei imeripuka kwa 37% na wananunua kwa folen kilo 2 mbili tu?? na bidhaa nyengine naagalia TV hapa halafu nawafikiria Russia baada ya miezi 4 hali yao itakuwaje??

Au unata kunambia sasa Russia watamimina gesi kwenye kikombe cha chai badala sukar?
Aliyesema Nani toka uthibitisho WA habari yako mnatoa mistari ya ukreini kupewa misaada ya kibinaadamu mnasema urusi bichwa kweli ww
 
Mkuu sukari russia bei imeripuka kwa 37% na wananunua kwa folen kilo 2 mbili tu?? na bidhaa nyengine naagalia TV hapa halafu nawafikiria Russia baada ya miezi 4 hali yao itakuwaje??

Au unata kunambia sasa Russia watamimina gesi kwenye kikombe cha chai badala sukar?
Ndo nimekuuliza Urusi hana washirika wa biashara wanaotengeneza sukari? Nikakuuliza tena Urusi kama wana uwezo wa kupeleka vyombo sayari za mbali huko hawana technology ya kutengeneza sukari? Kama ulikuwa hujui Urusi ni mojawapo ya wazalishaji wakubwa wa sukari pamoja na Brazil, India, Thailand, China, Marekani na umoja wa ulaya. Hata kama tuseme uzalishaji umeyumba kidogo katika hizo nchi nilizokutajia hapo ngapi zimeiwekea Urusi vikwazo? Hizi habari ukisikiliza unaongeza na akili yako kidogo ( habari zote tu ziwe Imetoka mashirika ya utangazaji ya Urusi au ziwe Zimetoka mashirika ya Ulaya na Marekani)
 
Ndo nimekuuliza Urusi hana washirika wa biashara wanaotengeneza sukari? Nikakuuliza tena Urusi kama wana uwezo wa kupeleka vyombo sayari za mbali huko hawana technology ya kutengeneza sukari? Kama ulikuwa hujui Urusi ni mojawapo ya wazalishaji wakubwa wa sukari pamoja na Brazil, India, Thailand, China, Marekani na umoja wa ulaya. Hata kama tuseme uzalishaji umeyumba kidogo katika hizo nchi nilizokutajia hapo ngapi zimeiwekea Urusi vikwazo? Hizi habari ukisikiliza unaongeza na akili yako kidogo ( habari zote tu ziwe Imetoka mashirika ya utangazaji ya Urusi au ziwe Zimetoka mashirika ya Ulaya na Marekani)
Tena mshirika mwenzie wa BRICS , Brazil upande huo yupo vizuri sana
 
Mkuu sukari russia bei imeripuka kwa 37% na wananunua kwa folen kilo 2 mbili tu?? na bidhaa nyengine naagalia TV hapa halafu nawafikiria Russia baada ya miezi 4 hali yao itakuwaje??

Au unata kunambia sasa Russia watamimina gesi kwenye kikombe cha chai badala sukar?
Fikiria na ulaya baada ya wiki moja hari itakuwaje msimu wa baridi pia unaingia gas inakatwa

Kuna uwezekano wa selikal baadhi zikaangushwa na wananchi

Tayar kuna nchi wameanza maandamano ya kumuondoa rais na hao huenda wakaambukiza bara la ulaya

Vikwazo walivyomuwekea urus kavipokea Ola wanaoumia zaid ulaya

USA sarafu yake inazid kushuka pia
 
Russia imeminya kabisa raia wake kuzungumza vitu negatives kuhusiana na vita hii. Kama Ulaya inapigika kiasi hiki, basi hata huko Russia pia kunamenyeka haswa.
video zipo nyingi warusi wanalalamika
 
Protesters - both for and against Peru's President Castillo - marched in the streets of Lima as the country’s leader survived an impeachment vote in Congress

Party members failed to pass enough votes to oust him, with 55 lawmakers out of 130 voting in favor of impeachment.
 
Mrusi ana vyakula vya kutosha na nishati ya kutosha.Mambo yataenda tu kwa kukaza mkanda.Lakini Ujerumani na wenzao wa Ulaya lazima hatimae watanywea.
Tumaini lipo kuziburuza nchi za mashariki ya kati .Pindi na wao wakiacha ujinga wa kukokotwa kutimiza malengo ya watu basi Ulaya hamna kitu.
ndo maana hamuez hata kutengenez toothstick , mnaish kwa mihemko , warusi wanalalamika hali sio nzur ila serikali ya Urusi ni km serikali za waafrika , media zimebanwa sana licha ya kuwa video binafsi zipo nying zinaonesha jinsi ndani ya urusi kulivyo na mgawanyiko mkubwa kwenye huu uvamiz
 
Fikiria na ulaya baada ya wiki moja hari itakuwaje msimu wa baridi pia unaingia gas inakatwa

Kuna uwezekano wa selikal baadhi zikaangushwa na wananchi

Tayar kuna nchi wameanza maandamano ya kumuondoa rais na hao huenda wakaambukiza bara la ulaya

Vikwazo walivyomuwekea urus kavipokea Ola wanaoumia zaid ulaya

USA sarafu yake inazid kushuka pia
USA $ kupanda na kushuka ni kawaida ungeeka hapa rate ya leo $ na Ruble ya russia, tuone $ inavyoshuka
 
Back
Top Bottom