Hata kama Ingekuwa ni Mwalimu mmoja ni aibu sana kuwa na shule za tope kama hizi karne hii hali tunalipa kodi.Nini maana ya kodi zetu kugharamia anasa za wanasiasa au kutuletea maendeleo yetu.Pia hata community ya sehemu hio inatakiwa ichapwe viboko hii ni aibu yao.