Don't mislead ppl.Kilolo hiyo bwashee kwa mchungaji Msigwa wa Chadema!
Tunanunua ndege na kushona suti kila siku ili asafiri kwenda rwanda,burundi,uganda,zambia...hana analoweza kufanya ccm miaka 60 imeshindwa kuleta maendeleoWalimu wawili wakifundisha katika jengo moja lenye wanafunzi wa madarasa tofauti, la pili na la tatu katika Shule ya Msingi Ifua, Kitongoji cha Ifua wilayani Kilolo, mkoani Iringa
Jengo lenyewe choka mbaya, limejengwa kwa matope, hamna Cha sakafu Wala Nini! Ni Kama karne ya 17 duuh!..View attachment 1879465
Labda msigwa msemaji wa wajinga wa lumumbaKilolo hiyo bwashee kwa mchungaji Msigwa wa Chadema!
No nasikia Mbunge Justin Lazaro Nyamoga mke wake alikuwa DC chamwino.Kilolo hiyo bwashee kwa mchungaji Msigwa wa Chadema!
Duh. Kuumbe na Msola alikua mbunge wa Kilolo. Kumbe ndio maana kuko hivyo.No nasikia Mbunge Justin Lazaro Nyamoga mke wake alikuwa DC chamwino.
Mwendelezo wa Prof Msola
Haaaaa ulipotaja Hai tu nakukumbia,Betri na gunzi ilikuwa inawaka vipi,wakati Jumbo LA kilolo zote zilikuwa BetriDuh. Kuumbe na Msola alikua mbunge wa Kilolo. Kumbe ndio maana kuko hivyo.
Webu wabunge wa huko waje huku Hai wajionee madarasa na nyumba za walimu zilivyo.
Mkuu endelea kuishi kwenye AC zako, yaani wewe ni typical middle class unayeshangaa shule zetu nyingi kuwa na vyoo vya mashimoHiyo nini?