Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
- #61
Faiza huna uzee wowote pale una ujingaKuna siku mtaelewa uzee siyo ugonjwa, ni dawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Faiza huna uzee wowote pale una ujingaKuna siku mtaelewa uzee siyo ugonjwa, ni dawa.
Leo yatakuepo
Hahahahahahaah sometimes naishia kucheka tu! Achana na mitandao, umri umeendaKumbe wenye vituo walibania mafuta wanajuwa bei itaongezeka.
Uhaba wa mafuta haukuwepo bali wauzaji waliamua kutouza baada ya kujua kuna ongezeko kubwa la bei linakuja.Kumbe wenye vituo walibania mafuta wanajuwa bei itaongezeka.
Tayari Mkuu
Kwa sasa Tsh ni 2650Thamani ya shilingi dhidi ya dola ya Kimarekani imeshuka tena? Najua Kikwete ndiye aliyeishusha sana Shillingi wakati wa mwisho wa utawala wake. Ndani ya mmiezi kumi na tano ya mwisho wa utawala wa Kikwete Shiling ilishuka kutoka 1570 kwa dola hadi 2130 kwa dola. JPM aliistabilize shilingi kwa kiasi fulani kwani ndani ya miaka yake mitano ilibakia wastani wa 2250 kwa dola pamoja na momentum aliyorithi kwa Kikwete. Mama Samia kayumba kidogo kwani muda huu mfupi tu Shilingi imetelemka tena hadi 2450 kwa dola licha ya kuipokea ikiwa na zero momentum, ni waskati wa sh 80 kwa mwaka. Trend ikiendelea hivi pasipo mabadiliko hadi kipindi cha pili cha mama basi atakapoondoka ataiachs imefikia Ths 3100 kwa dola, na hili siyo jambo zuri.
Sababu kubwa za kutelemka kwa thamani ya Shillingi kwetu ni pamoja na inflation (kunakuwa na mzunguko mkubwa fedha mitaani kuliko uchumi unavoweza kuhimili), public debt (Deni kubwa la serikali lisilohimilika), Balance of trade (tunanunua vitu vingi kutoka nje kuliko tunavyouza nje). Najua kuna factors nyingine lakini hizo tatu ndizo zinazoathiri sana Shilling yetu
Nchi ina MWANASESERE, Hatuna raisi hapoSio Siri Tena, Hali ni tete huku Mkoani. Natokea Tanga - Mombo, hakuna Mafuta ya petrol, nasikia Hadi Same!
Wenye nchi wanasema Mafuta yapo, anyway huenda Mafuta yapo hatutaki tu kujaza! Ila athari zake Kwa uchumi ni kubwa.
Hili nalo Kamati ya CCM itoe tamko watume timu mikoani ikawaelimishe wananchi kuwa mafuta yapo.
Ww bibi unashida sana kichwani kuliko ninavyofikiriaSi mnasema Waarabu wanawaibia? Kojoleeni kwenye matanki ya gari sasa muendeshe magari.
"baniani mbaya kiatu chake dawa"?
Mwende mkabadili mifumo ya magari yenu itumie Taifa Gas ya Rostam Aziz.
Unajifanya unajua kumbe ww ni kitu.kwa hiyo mafuta ya leo yamenunuliwa kipindi cha awamu ya tano sioKama ulikuwa huelewi, unaweza kwa na pesa cash ukakosa mafuta duniani. Mafuta unayotumia leo unaweza kukuta yamenunuliwa miaka miwili, mitatu mpaka mitano nyuma.
Msifikiri biashara ya mafuta ni kama ya kuuza mbege.
Fikiri; uwaminyie mikataba na kuwafungia pesa zao watu hao hao wenye kuhodhi mafuta, halafu utegemeee kila utapotaka mafuta utayapata?
Kakojoleeni mikojo yenu ya kvan muendeshee magari.
Kipondi cha magu wasingefanya huu ujinga ,wangepigwa faini za kutosha kabisa .ili akili iwakae ,ila kwa kuwa TUNAMWANASESERE PALE ,Ndo wakubwa wanafanya kama wanavyotakaUhaba wa mafuta haukuwepo bali wauzaji waliamua kutouza baada ya kujua kuna ongezeko kubwa la bei linakuja.
Haya yanasababishwa na wafanyabiashara wiokosa maadili, na pia maofisa wa EWURA waliokosa maadili. Wafanyabiashara wanakuwa na mawasiliano na wapanga bei ya mafuta wa EWURA ili kujua mafuta yatapanda bei au kushuka, na kwa kiasi gani. Na kwa mazingira kama hayo ndipo palistahili nguvu ya Serikali.
Kipondi cha kikwete mbona nilinunua dolla kwa tsh 2210 na risi ninayo .huyu mama ataiacha 5250 huku sio kwa kasi hii aiseeThamani ya shilingi dhidi ya dola ya Kimarekani imeshuka tena? Najua Kikwete ndiye aliyeishusha sana Shillingi wakati wa mwisho wa utawala wake. Ndani ya mmiezi kumi na tano ya mwisho wa utawala wa Kikwete Shiling ilishuka kutoka 1570 kwa dola hadi 2130 kwa dola. JPM aliistabilize shilingi kwa kiasi fulani kwani ndani ya miaka yake mitano ilibakia wastani wa 2250 kwa dola pamoja na momentum aliyorithi kwa Kikwete. Mama Samia kayumba kidogo kwani muda huu mfupi tu Shilingi imetelemka tena hadi 2450 kwa dola licha ya kuipokea ikiwa na zero momentum, ni waskati wa sh 80 kwa mwaka. Trend ikiendelea hivi pasipo mabadiliko hadi kipindi cha pili cha mama basi atakapoondoka ataiachs imefikia Ths 3100 kwa dola, na hili siyo jambo zuri.
Sababu kubwa za kutelemka kwa thamani ya Shillingi kwetu ni pamoja na inflation (kunakuwa na mzunguko mkubwa fedha mitaani kuliko uchumi unavoweza kuhimili), public debt (Deni kubwa la serikali lisilohimilika), Balance of trade (tunanunua vitu vingi kutoka nje kuliko tunavyouza nje). Najua kuna factors nyingine lakini hizo tatu ndizo zinazoathiri sana Shilling yetu
Kuna mgomo wa chini chini wa wafanyabiashara ya mafuta.Sio Siri Tena, Hali ni tete huku Mkoani. Natokea Tanga - Mombo, hakuna Mafuta ya petrol, nasikia Hadi Same!
Wenye nchi wanasema Mafuta yapo, anyway huenda Mafuta yapo hatutaki tu kujaza! Ila athari zake Kwa uchumi ni kubwa.
Hili nalo Kamati ya CCM itoe tamko watume timu mikoani ikawaelimishe wananchi kuwa mafuta yapo.
Mjane bado unaomboleza kifo cha lile shetani lenu la Chato.Kipondi cha magu wasingefanya huu ujinga ,wangepigwa faini za kutosha kabisa .ili akili iwakae ,ila kwa kuwa TUNAMWANASESERE PALE ,Ndo wakubwa wanafanya kama wanavyotaka
Majungu haya yanakusaidia niniKuna mgomo wa chini chini wa wafanyabiashara ya mafuta.
Wanadai makamba anakula rushwa hatari. Bila bilion moja hatoi kibali cha kuingiza mafuta nchini
Massive balls 🤣🤣🤣🤣
Kikwete alipoingia madarakani aliikuta dola ikiwa TSh 1250 huku ikitelemka, kwan hiyo alopokea momentum ya kutelemka kwa muda mfupi na alipoanza safari za kujitambulisha nayo ikaanza kupanda na haikurudi nyuma. Kipindi cha mwisho wa utawala wakiwa kwenye safari za kuaga ndipo ikalipuka kabisa. Wakati wa safari za kuaga mara kadhaa bajeti ya ikulu ilikuwa inaishiwa hela inabidi wachukue supplementary budget hazina ambayo ilisababisha wingi wa pesa mitaani na kupunguza sana thamani ya shillingi.Kipondi cha kikwete mbona nilinunua dolla kwa tsh 2210 na risi ninayo .huyu mama ataiacha 5250 huku sio kwa kasi hii aisee
Hili nalo Kamati ya CCM itoe tamko watume timu mikoani ikawaelimishe wananchi kuwa mafuta yapo.[emoji23]Sio Siri Tena, Hali ni tete huku Mkoani. Natokea Tanga - Mombo, hakuna Mafuta ya petrol, nasikia Hadi Same!
Wenye nchi wanasema Mafuta yapo, anyway huenda Mafuta yapo hatutaki tu kujaza! Ila athari zake Kwa uchumi ni kubwa.
Hili nalo Kamati ya CCM itoe tamko watume timu mikoani ikawaelimishe wananchi kuwa mafuta yapo.
Kikao cha dharura kati EWURA na waagizaji wa mafuta hakijafua dafu baada ya kutawaliwa na shutuma dhidi ya mkurugenzi wa EWURA na waziri wa nishati na jinsi wanavyoharibu mfumo mzima wa bulk procurement na upendeleo na rushwa zinazofanywa kuwapa watu vibaliSio Siri Tena, Hali ni tete huku Mkoani. Natokea Tanga - Mombo, hakuna Mafuta ya petrol, nasikia Hadi Same!
Wenye nchi wanasema Mafuta yapo, anyway huenda Mafuta yapo hatutaki tu kujaza! Ila athari zake Kwa uchumi ni kubwa.
Hili nalo Kamati ya CCM itoe tamko watume timu mikoani ikawaelimishe wananchi kuwa mafuta yapo.