Kama ambavyo biashara zinazomilikiwa na serikali zinavyofail, uwekezaji huo ungeishia kwenye mifuko ya watu ikiwemo mbolea, pembejeo na mauzoKuliko kuwekeza kwenye ndege bora tungewekeza kwenye estate za kilimo cha mawese mashamba makubwa,
Kuliko kuwekeza kwenye ndege bora tungewekeza kwenye estate za kilimo cha mawese mashamba makubwa,
Ni kuwawezesha wakulima sio serikaliKama ambavyo biashara zinazomilikiwa na serikali zinavyofail, uwekezaji huo ungeishia kwenye mifuko ya watu ikiwemo mbolea, pembejeo na mauzo
Umesahau kilimo kwanza? Watu ela walikula hakuna kilichoongezeka. Yani kila kitu ni siasa tuNi kuwawezesha wakulima sio serikali
Tutumie tu mafuta ya kitimoto, mbona poa tu wananzengo wenzangu, yaani ukichanganya na mafuta ya mkia wa kondoo unatendeneza bonge la Korie, haligandiMzuka wanajamvi!
Kwaanzia Uingereza, Ujerumani na nchi zote za skendinevia kuna uhaba wa mafuta ya kula. Kuadimika huko kumesababisha hadi bei kupaa. Bei ilishaanza kupaa kabala lakin vita ya Ukraine imeipaisha zaidi. Na yale ambayo bado yapo kwenye shelves za supermarket huruusiwi kuchukua zaidi ya chupa mbili.
Uncle Vladimir alitahadharisha huenda akawa mkweli.
Huyu kapigwa take la mapwido?Aisee inabidi mtaalamu wa maridhiano aende kuokoa Jahazi, ampatanishe Putin na Mabeberu
View attachment 2191048