Uhaba wa mafuta ya kula ulaya

Waambie wamlaumu Samia 😂😂
 
N juz TU mama kakopa pesa na mgawanyo wa pesa hizo sekta ya kilimo haijapata hata senti

Wakiwa majukwaan wanawaambia vijana nendeni mkalime utajir upo kwenye kilimo

Na vijana wa kitanzania n makondoo unaweza kuyatumia utakavyo yasifanye chochote yakabak yagugumia chini TU

Vijana mdawakuchukua hatua ndio huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…