Uhaba wa Maji na Umeme ungetokea katika Taifa lenye Raia 'wanaojitambua' la Kenya Rais Ruto asingekuwa anazurula zurula tu kama nzi

Uhaba wa Maji na Umeme ungetokea katika Taifa lenye Raia 'wanaojitambua' la Kenya Rais Ruto asingekuwa anazurula zurula tu kama nzi

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Sishangai sana ndiyo maana hata Kielimu tu Wakenya wamewaacha mbali sana Raia wa nchi nyingine yenye Mabwege wengi.

2. Sishangai sana ndiyo maana hata Kiakili tu Wakenya wamewazidi mbali mno Raia wa nchi nyingine yenye Mabwege wengi.

3. Sishangai sana ndiyo maana Wakenya ni Watu wenye Kujitambua mno na kujua Haki zao kuliko Raia Mabwege wa nchi nyingine.

4. Sishangai sana ndiyo maana Wakenya wakitembelea Taifa la Raia Mabwege huwashangaa wanavyochezea Fursa zilizoko na wakiendelea kuwa Masikini.

5. Sishangai sana ndiyo maana hata ukiwa Unasoma na Wakenya Darasa Moja mkiwa Darasani Wao ndiyo hupenda mno Kuuliza Maswali ili kupata Uelewa zaidi kuliko wa Taifa la Mabwege ambao wao hutamani Mwalimu / Mhadhiri amalize Kipindi waende katika Baa kupiga Umbea na Kutongozana.

6. Sishangai sana ndiyo maana hata Police wa Kenya wakienda Kumkamata Mkenya huenda na Adabu zote ila katika Taifa la Mabwege Raia wake hukamatwa kama Kuku tena kwa Kudhalilishwa kutokana na Ubwege Wao.

7. Sishangai sana ndiyo maana hata Rais Ruto wa Kenya ana Nidhamu Kubwa kwa Wakenya anaowaongoza akiamini haongozi Maiti tofauti na ilivyo kwa Rais wa nchi ya Mabwege wengi ambae anawafanya atakavyo akiamini kuwa hawana la Kumfanya na Wataendelea Kuyakumbatia matatizo yao makubwa Matatu ya Ujinga, Maradhi na Umasikini mpaka pale Dunia itakapopinduka.

ONYO

Hapa nimeitaja tu nchi ninayoipenda yenye Watu ( Raia ) Werevu ( Intelligent ) pekee ya Kenya na hiyo nyingine yenye 'Mabwege' wengi sijaitaja na Kwanza nimeshaisahau hivyo Wewe njoo na Kiherehere chako ujifanye unaijua ili ukione cha Moto.
 
1. Sishangai sana ndiyo maana hata Kielimu tu Wakenya wamewaacha mbali sana Raia wa nchi nyingine yenye Mabwege wengi.

2. Sishangai sana ndiyo maana hata Kiakili tu Wakenya wamewazidi mbali mno Raia wa nchi nyingine yenye Mabwege wengi.

3. Sishangai sana ndiyo maana Wakenya ni Watu wenye Kujitambua mno na kujua Haki zao kuliko Raia Mabwege wa nchi nyingine.

4. Sishangai sana ndiyo maana Wakenya wakitembelea Taifa la Raia Mabwege huwashangaa wanavyochezea Fursa zilizoko na wakiendelea kuwa Masikini.

5. Sishangai sana ndiyo maana hata ukiwa Unasoma na Wakenya Darasa Moja mkiwa Darasani Wao ndiyo hupenda mno Kuuliza Maswali ili kupata Uelewa zaidi kuliko wa Taifa la Mabwege ambao wao hutamani Mwalimu / Mhadhiri amalize Kipindi waende katika Baa kupiga Umbea na Kutongozana.

6. Sishangai sana ndiyo maana hata Police wa Kenya wakienda Kumkamata Mkenya huenda na Adabu zote ila katika Taifa la Mabwege Raia wake hukamatwa kama Kuku tena kwa Kudhalilishwa kutokana na Ubwege Wao.

7. Sishangai sana ndiyo maana hata Rais Ruto wa Kenya ana Nidhamu Kubwa kwa Wakenya anaowaongoza akiamini haongozi Maiti tofauti na ilivyo kwa Rais wa nchi ya Mabwege wengi ambae anawafanya atakavyo akiamini kuwa hawana la Kumfanya na Wataendelea Kuyakumbatia matatizo yao makubwa Matatu ya Ujinga, Maradhi na Umasikini mpaka pale Dunia itakapopinduka.

ONYO

Hapa nimeitaja tu nchi ninayoipenda yenye Watu ( Raia ) Werevu ( Intelligent ) pekee ya Kenya na hiyo nyingine yenye 'Mabwege' wengi sijaitaja na Kwanza nimeshaisahau hivyo Wewe njoo na Kiherehere chako ujifanye unaijua ili ukione cha Moto.
Uhaba wa maji hakuna,ni Dar tu ndio mna hio shida,mna rundikana watu milioni 7 sehemu moja kwa nini msipatwe na ukame,joto Kali,miti mmekata yote

Tokeni huko mje katavi,Acheni kujifanya watu wa mbele kuona magorofa,umjini unawatesa mmebanana,kuna maisha mazuri maeneo mengine Tz sio Dar tu

Tanzania kuna maji ya kutosha hakuna shida
 
1. Sishangai sana ndiyo maana hata Kielimu tu Wakenya wamewaacha mbali sana Raia wa nchi nyingine yenye Mabwege wengi.

2. Sishangai sana ndiyo maana hata Kiakili tu Wakenya wamewazidi mbali mno Raia wa nchi nyingine yenye Mabwege wengi.

3. Sishangai sana ndiyo maana Wakenya ni Watu wenye Kujitambua mno na kujua Haki zao kuliko Raia Mabwege wa nchi nyingine.

4. Sishangai sana ndiyo maana Wakenya wakitembelea Taifa la Raia Mabwege huwashangaa wanavyochezea Fursa zilizoko na wakiendelea kuwa Masikini.

5. Sishangai sana ndiyo maana hata ukiwa Unasoma na Wakenya Darasa Moja mkiwa Darasani Wao ndiyo hupenda mno Kuuliza Maswali ili kupata Uelewa zaidi kuliko wa Taifa la Mabwege ambao wao hutamani Mwalimu / Mhadhiri amalize Kipindi waende katika Baa kupiga Umbea na Kutongozana.

6. Sishangai sana ndiyo maana hata Police wa Kenya wakienda Kumkamata Mkenya huenda na Adabu zote ila katika Taifa la Mabwege Raia wake hukamatwa kama Kuku tena kwa Kudhalilishwa kutokana na Ubwege Wao.

7. Sishangai sana ndiyo maana hata Rais Ruto wa Kenya ana Nidhamu Kubwa kwa Wakenya anaowaongoza akiamini haongozi Maiti tofauti na ilivyo kwa Rais wa nchi ya Mabwege wengi ambae anawafanya atakavyo akiamini kuwa hawana la Kumfanya na Wataendelea Kuyakumbatia matatizo yao makubwa Matatu ya Ujinga, Maradhi na Umasikini mpaka pale Dunia itakapopinduka.

ONYO

Hapa nimeitaja tu nchi ninayoipenda yenye Watu ( Raia ) Werevu ( Intelligent ) pekee ya Kenya na hiyo nyingine yenye 'Mabwege' wengi sijaitaja na Kwanza nimeshaisahau hivyo Wewe njoo na Kiherehere chako ujifanye unaijua ili ukione cha Moto.
Wewe Ni mpumbavu na popoma,huko Kunyaland unakowasifu sio tuu hawana maji,umeme Bali Wana maisha magumu,njaa na mfumuko wa Bei usio mfano..

Sasa Ruto toka kawa Rais anazurula na hawajafanya chochote na Sasa ameanza kusingizia Uhuru na kwenda kinyume na ahadi.

Zaidi ya ulalamishi wa nyie mapopoma usio na msingi Tanzania Hakuna huo ugumu mnaousimulia mitandaoni ndio maana mnapuuzwa kima nyie 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221028-083007.png
    Screenshot_20221028-083007.png
    198.9 KB · Views: 2
Hao wakenya wana maisha magumu kiasi kwamba waliopo hapa Tanzania hawatamani kurudi kwao Kenya

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni kweli,Wakenya wanasema TZ maisha ni mepesi,chakula bei chini
Wkend nenda mipakani iliyo karibu na kenya,utashuhudia hiki,wanatoka kwao na familia wanakuja Tz kula maisha,mipakani wkend ni sherehe za kutosha za Wakenya kuja Tz kula maisha
 
Niliwahi kusikia Kenya mapema tu magazeti yanayoongelea mambo muhimu kusuhu nchi na mambo ya uchumi yanawahi kuisha , lakini nchi nyingine ya udaku na michezo yanapewa kipaumbele kikubwa na raia wake.
 
Niliwahi kusikia Kenya mapema tu magazeti yanayoongelea mambo muhimu kusuhu nchi na mambo ya uchumi yanawahi kuisha , lakini nchi nyingine ya udaku na michezo yanapewa kipaumbele kikubwa na raia wake.
Mkuu ( Brainiac Mwenzangu ) tuwaonee sana Huruma Wenzetu wanaishi huko katika Taifa hilo la 'Mabwege' wengi.
 
Back
Top Bottom