GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #21
Wewe Taifa halina Maji, Umeme na Tozo juu ila 'Mibwege' imeridhika na Kunyamaza tu wakati Wenzao Wafaransa mwaka 1789 walifanya Revolution Kubwa iliyowakomboa baada ya Bei ya Mkate kupanda huku kwa Dharau kabisa Mke wa Mfalme Louis XVI aitwae Queen Marie Antoinette akiwaambia kama hawawezi kununua Mkate basi wanunue Keki ambayo ina Gharama mara Saba ( 7 ) ya huo Mkate ambao ndiyo ulikuwa Kimbilio Kuu la Masikini wengi huko ( kule ) kama GENTAMYCINE Mimi.Ila watu mabwege kwakweli
Hujawahi Kumiliki Akili tokea Ujiunge hapa JamiiForums hivyo acha Kunipotezea muda wangu sawa?Hajawai fika Kenya ,ona kila siku magorofa yanadondoka ovyo
Usiwe na njaa ulalamikie chakula hakitoshi?!Nihame Kwenu kwenye 'Mabwege' wengi?
Naona Sindano yangu taratibu sasa inaanza kuwaingieni Mabwege na hiki ndicho nilikuwa nakitaka na Kimeshafanikiwa.Wewe Ni mpumbavu na popoma,huko Kunyaland unakowasifu sio tuu hawana maji,umeme Bali Wana maisha magumu,njaa na mfumuko wa Bei usio mfano..
Sasa Ruto toka kawa Rais anazurula na hawajafanya chochote na Sasa ameanza kusingizia Uhuru na kwenda kinyume na ahadi.
Zaidi ya ulalamishi wa nyie mapopoma usio na msingi Tanzania Hakuna huo ugumu mnaousimulia mitandaoni ndio maana mnapuuzwa kima nyie 👇
Usiwe na njaa ulalamike chakula hakitoshi?!
Bwege NaziWewe Ni mpumbavu na popoma,huko Kunyaland unakowasifu sio tuu hawana maji,umeme Bali Wana maisha magumu,njaa na mfumuko wa Bei usio mfano..
Sasa Ruto toka kawa Rais anazurula na hawajafanya chochote na Sasa ameanza kusingizia Uhuru na kwenda kinyume na ahadi.
Zaidi ya ulalamishi wa nyie mapopoma usio na msingi Tanzania Hakuna huo ugumu mnaousimulia mitandaoni ndio maana mnapuuzwa kima nyie 👇
Kazia humo humo mwamba, nipo nyuma yako na kitoroli cha kristapen zaidi kwa ajili ya mabwegeNaona Sindano yangu taratibu sasa inaanza kuwaingieni Mabwege na hiki ndicho nilikuwa nakitaka na Kimeshafanikiwa.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
Mbona unajihami mr.kidonge😄1. Sishangai sana ndiyo maana hata Kielimu tu Wakenya wamewaacha mbali sana Raia wa nchi nyingine yenye Mabwege wengi.
2. Sishangai sana ndiyo maana hata Kiakili tu Wakenya wamewazidi mbali mno Raia wa nchi nyingine yenye Mabwege wengi.
3. Sishangai sana ndiyo maana Wakenya ni Watu wenye Kujitambua mno na kujua Haki zao kuliko Raia Mabwege wa nchi nyingine.
4. Sishangai sana ndiyo maana Wakenya wakitembelea Taifa la Raia Mabwege huwashangaa wanavyochezea Fursa zilizoko na wakiendelea kuwa Masikini.
5. Sishangai sana ndiyo maana hata ukiwa Unasoma na Wakenya Darasa Moja mkiwa Darasani Wao ndiyo hupenda mno Kuuliza Maswali ili kupata Uelewa zaidi kuliko wa Taifa la Mabwege ambao wao hutamani Mwalimu / Mhadhiri amalize Kipindi waende katika Baa kupiga Umbea na Kutongozana.
6. Sishangai sana ndiyo maana hata Police wa Kenya wakienda Kumkamata Mkenya huenda na Adabu zote ila katika Taifa la Mabwege Raia wake hukamatwa kama Kuku tena kwa Kudhalilishwa kutokana na Ubwege Wao.
7. Sishangai sana ndiyo maana hata Rais Ruto wa Kenya ana Nidhamu Kubwa kwa Wakenya anaowaongoza akiamini haongozi Maiti tofauti na ilivyo kwa Rais wa nchi ya Mabwege wengi ambae anawafanya atakavyo akiamini kuwa hawana la Kumfanya na Wataendelea Kuyakumbatia matatizo yao makubwa Matatu ya Ujinga, Maradhi na Umasikini mpaka pale Dunia itakapopinduka.
ONYO
Hapa nimeitaja tu nchi ninayoipenda yenye Watu ( Raia ) Werevu ( Intelligent ) pekee ya Kenya na hiyo nyingine yenye 'Mabwege' wengi sijaitaja na Kwanza nimeshaisahau hivyo Wewe njoo na Kiherehere chako ujifanye unaijua ili ukione cha Moto.
Bwege Na popoma Ni wewe ,mtalalama Sana nyie kenge wa Dad na bado..Bwege Nazi
Unahaha kupata maji na umeme afu unasema sindano imeniingia Mimi?Naona Sindano yangu taratibu sasa inaanza kuwaingieni Mabwege na hiki ndicho nilikuwa nakitaka na Kimeshafanikiwa.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
Endelea kulamba viatu mzee watoto waende uwaniBwege Na popoma Ni wewe ,mtalalama Sana nyie kenge wa Dad na bado..
Hamia Kenya Basi wanakojitambua Maisha Ni Bei rahisi Kama hivi 👇
Ndio maana wakenya wakapeleka kikosi cha jeshi pale Goma. Wanataka tall ajichanganye kinuke mazima. Wako Smart sana1. Sishangai sana ndiyo maana hata Kielimu tu Wakenya wamewaacha mbali sana Raia wa nchi nyingine yenye Mabwege wengi.
2. Sishangai sana ndiyo maana hata Kiakili tu Wakenya wamewazidi mbali mno Raia wa nchi nyingine yenye Mabwege wengi.
3. Sishangai sana ndiyo maana Wakenya ni Watu wenye Kujitambua mno na kujua Haki zao kuliko Raia Mabwege wa nchi nyingine.
4. Sishangai sana ndiyo maana Wakenya wakitembelea Taifa la Raia Mabwege huwashangaa wanavyochezea Fursa zilizoko na wakiendelea kuwa Masikini.
5. Sishangai sana ndiyo maana hata ukiwa Unasoma na Wakenya Darasa Moja mkiwa Darasani Wao ndiyo hupenda mno Kuuliza Maswali ili kupata Uelewa zaidi kuliko wa Taifa la Mabwege ambao wao hutamani Mwalimu / Mhadhiri amalize Kipindi waende katika Baa kupiga Umbea na Kutongozana.
6. Sishangai sana ndiyo maana hata Police wa Kenya wakienda Kumkamata Mkenya huenda na Adabu zote ila katika Taifa la Mabwege Raia wake hukamatwa kama Kuku tena kwa Kudhalilishwa kutokana na Ubwege Wao.
7. Sishangai sana ndiyo maana hata Rais Ruto wa Kenya ana Nidhamu Kubwa kwa Wakenya anaowaongoza akiamini haongozi Maiti tofauti na ilivyo kwa Rais wa nchi ya Mabwege wengi ambae anawafanya atakavyo akiamini kuwa hawana la Kumfanya na Wataendelea Kuyakumbatia matatizo yao makubwa Matatu ya Ujinga, Maradhi na Umasikini mpaka pale Dunia itakapopinduka.
ONYO
Hapa nimeitaja tu nchi ninayoipenda yenye Watu ( Raia ) Werevu ( Intelligent ) pekee ya Kenya na hiyo nyingine yenye 'Mabwege' wengi sijaitaja na Kwanza nimeshaisahau hivyo Wewe njoo na Kiherehere chako ujifanye unaijua ili ukione cha Moto.
aawap! litaje wewe mwenyewe, ila uhakikishe hauko ndani ya taifa hilo maana nawewe unaweza ukawa bwege sometimeLinaitwaje? Na je, ndilo Unaloishi sasa?
Wee kwenda huko! Mnayotufanyia mbona hamna huruma na sisi? Kwanini tukosoe kistaarabu? Dawa ya moto ni moto! Tena wangeruhusu matusi hard kabisa ili muelewe! ShwainiExtrovert mbona mnakuwa hamna uzalendo kiasi hiki??? Mnatuumiza jamani kuweni basi na ukosoaji wenye tija
Hao wakenya wana maisha magumu kiasi kwamba waliopo hapa Tanzania hawatamani kurudi kwao Kenya