Uhafidhina, Deko na kujuana kwa wana CCM, kunamkwaza Rais Mwinyi Zanzibar

Hili linchi alikuwa analiweza mwenda zake tu.
Watanzania tuna utamaduni mbovu sana kwenye swala la uwajibikaji.
Ubabaishaji na longolongo ni nyingi mno!
Watu wakitoka hapo wanawalaumu viongozi kuwa hawawaletei maendeleo wakati wakwamishaji ni hao hao wananchi.
 
Kamchagua mdogo wake kua katibu mkuu
 
MTU mwenye akili timamu hawezi kuacha kuongeza mishahara Kwa miaka mitano mfululizo.
 
Dhalimu alikuwa anaweza nini, yeye mwenyewe alikuwa ni muendesha miradi ya hasara. Alichofanikiwa ni kudhibiti vyombo vya habari na kutangazwa kwa propaganda alizozitaka yeye.
kwa hiyo saiz mnapata habar pesa ya nchi aipigwi sio
 

Wateule gani hawagusiki wakati kasimamisha wakuu wa vikosi na wakurugenzi kadhaa?

Na jana kaendeleza tena kufumua hawa wakurugenzi.



 
Una akili kweli wewe? Nchi ya watu milioni 60 unawaona wote vilaza kasoro "cult leader" wako
Hili linchi alikuwa analiweza mwenda zake tu.
Watanzania tuna utamaduni mbovu sana kwenye swala la uwajibikaji.
 
kwa hiyo saiz mnapata habar pesa ya nchi aipigwi sio

Ilipigwa wakati wake, na sasa inapigwa vile vile. Tofauti ya sasa na wakati wake ni unafuu wa habari kupatikana.
 
Ilipigwa wakati wake, na sasa inapigwa vile vile. Tofauti ya sasa na wakati wake ni unafuu wa habari kupatikana.
mm binafsi naona bora wapige msipate habari kuliko wakapiga habar m'mepata lakuwanya amna katiba inawalinda
 
mm binafsi naona bora wapige msipate habari kuliko wakapiga habar m'mepata lakuwanya amna katiba inawalinda

Tusipojua hata hasira ya kutusukuma kufanya kitu itatoka wapi?
 
Wateule gani hawagusiki wakati kasimamisha wakuu wa vikosi na wakurugenzi kadhaa? Na jana kaendeleza tena kufumua hawa wakurugenzi. View attachment 1849256 View attachment 1849260
Mkuu chama ni mwenendo, imani, utashi na utamaduni.

CCM Zanzibar ina huo mwenendo na utamaduni Wa kuleana.

Kila mmoja anamuogopa Mwenzake na kuhofu makundi. Chama kinashindwa kumpa full sapoti ya kushughulikia walaji na wazembe ma a na wote ni CCM. Wapo hapo Kwa mgongo Wa chama na kujuana Ki familia.

Ukimgusa mtu umegusa maslahi ya chama na Mapinduzi.

Huo ndio
 
Wateule gani hawagusiki wakati kasimamisha wakuu wa vikosi na wakurugenzi kadhaa?

Na jana kaendeleza tena kufumua hawa wakurugenzi.
View attachment 1849256


View attachment 1849260
Mkuu
Wateule gani hawagusiki wakati kasimamisha wakuu wa vikosi na wakurugenzi kadhaa?

Na jana kaendeleza tena kufumua hawa wakurugenzi.
View attachment 1849256


View attachment 1849260
Mkuu unaamini hao ndio wahusika? Hio ni circle ambayo Rais iko mikononi mwake ndio akajitutumua. Lkn jiulize Kwa miaka 5 Waziri aliyepita, Hazina n.k.

Hatua Ganii zimehukuliwa kuwawajibisha waliobariki haya ? Kwa sababu ya kuogopa kukipasua chama analazimika kunywea?

Hii ni miradi ya wakubwa.
 

Naelewa sana. Bora huyu anajitutumua.
Aliyepita aliambiwa kwamba kuna magendo yanafanyika uwanja wa ndege, akasema anafaham hilo lakini watu wanaohusika na huo mchezo hawezi kuwagusa.

Unakumbuka pia Mwinyi amefumua JKU, KMKM na maeneo mengine? Naelewa ugumu na changamoto zilizopo mbele yake lakini pia juhudi zake zisibezwe, tusubirie matokeo.

Nnachokubaliana na wewe mfumo wa dekezo na undugu umetamalaki sana visiwani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…