Uhaini My God!. Kuna Uwezekano Anadanganywa na Kadanganyika? I Don't Believe This!. Sitatizwi na Uongo Wao, Natatizwa na The Motives Behind Such Lies!

Kwa nini nguvu kubwa zaidi imeelekezwa kwenye kupinga suala hili la kukomesha utekaji badala ya kujielekeza kwenye kufanya uchunguzi wa kina ili kuwabaini hao watekaji?¿
 
Siku zote ninatatizika sana na ufahamu wa watanzania, awe msomi wa level yoyote hadi asiyejua a wala be, hii ni systematic incompetence utakayoikuta kila mahali, serekalini, siasani, private sector na kila idara, wakala, mashirika, hata kwenye majeshi etc. Nashindwa kujua ni kwa sababu tunasoma in English ili kujibia maswali ya mitihani tupate GPAs na vyeti tu?, je tunakua half cooked, au hatupati maarifa kwa sbb ya lugha, au ni utapiamlo wa akili zetu tu tangu tunapozaliwa??. Maafisa wetu wanaprove mediocre muda wote na tunashindwa kila kitu kwa ujumla, kwa kweli tunahitaji tafiti za kutosha, na hata hizo tafiti nani atafanya wkt maprofesa wetu hawahawa wanatuletea maji machafu yaliyofuatwa kwa ndege nchi zingine na kusema ni dawa ya covid??? Hamna mahali penye performance inayotakiwa countrywide shida nini? Hii ni moja tu ya vitu wanavyofanya wakubwa na kushauri mamlaka bila kujua impact yake in long terms kisheria, kiutawala, kisiasa etc, anatoa ushauri unaotaka umakini na analysis kubwa kwa majibu mepesi tu kama haya, huenda kwa maslahi yake tu au ulevi tu ili mtawala aache kuuliza au potelea mbali au huenda basi lipite.

Kuna muda unasikia interview za watu wakubwa kbs unaowaheshimu sawasawa unajikuta unafumba macho yani na kujiuliza huyu ndo anasema atatuletea maendeleo kweli? Au ndo mlinzi wa rasilimali za taifa huyu, au ndo mtaalam wa tiba nimpe mwili wangu aupasue? Unabaki kusikitika tu. Hatimaye unasema tu why nilizaliwa hii nchi, then unasema ah maisha mafupi tu haya ngoja niangalie yangu basi tu. Mtu aliyeshauri haya kwa sehemu kubwa sio kadanganya hapana, ni mwisho wa ufahamu wake na haelewi hivi vipengele vyote vya kisheria kuqualify uhaini. Waliokuwepo kipindi cha kesi ya uhaini watakubaliana nami namna wataalam, wahusika kwenye uhaini wenyewe na wanasheria jinsi walivyokuwa wanadadavua ile kesi hadi mtu unapenda sheria mwenyewe. Hadi ilifikia mtu kama Lt Eugene Maganga wkt anasimulia akaitwa msomi asiye na degree, caliber ya wale wanasheria kina Lakha na hata Judge Mnzavas na maafisa wa jeshi sidhani kama utawapata tena kwa wasomi wetu wa kisasa na sidhani kama kuna maafisa wa jeshi competent kama walivyokuwa wale jamaa. Wa leo wanajua kutumia mijinguvu tu, so sad!
 
Umeeleweka sana mkuu nchi imejaa vilaza Kila Kona ni majuto tu kuzaliwa Tanzania.
 
"
"Black people are not complete human beings because they don't have a good brain to govern the society as White people. They are still under the process of becoming the complete human beings."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
Hivyo mtu ukihisiwa tuu wewe ni hatari kwa usalama wa the status quo, unabambikiwa kesi, unapotezwa, na sasa hadi uhaini unazungumzwa!.
Umekua Very straightforward wala mada haina ugumu wowote. Mtuhumiwa hawezi kujichunguza.....ninachoogopa ni kwamba wanaweza kutengeneza matukio makubwa Zaidi ili wanufaike zaidi..
 
Umewaza kama nilivyowaza Mkuu.
Ni kana kwamba jana ndo tulikuwa tunapewa report rasmi na tusitarajie nyingine.
Wa kusubiria waendelee kusubiri, ila watasubiri sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…