Uhakika: Jinsi Vita ya Urusi na Ukraine Itakavyokwamisha Upandishaji wa Mishahara ya Wafanyakazi

Tutajiharibia taifa letu, Rushwa, wizi na ufisadi wa mali za umma utaongezeka mno ukizingatia serikali ya sasa haina uwezo wa kukemea maovu haya basi tujiandae kuliangamiza taifa
 
Really?The dogs? Scavengers?
 
So watumishi waumie on the expense of wapigakura
 
Asil
Asilimia ngapi
 
Hata Vita visingeweko bado Serikali haijawa na utashi wa kupandisha mishahara wafanyakazi!
Vita vya Russia na Ukraine vimeleta ahuweni kwa Serikali yetu! Vimeisadia Serikali kukwepa kutatua changamoto za wananchi kwa kisingizio cha Vita.
Mkuu vita imesababisha mfumuko wa bei ya mafuta na bei za kila kitu. Serikali ni sikivu, wallah kungekuwa hakuna vita wafanyakazi wote waneongezwa mishahara, niamini mimi.
 
Tutajiharibia taifa letu, Rushwa, wizi na ufisadi wa mali za umma utaongezeka mno ukizingatia serikali ya sasa haina uwezo wa kukemea maovu haya basi tujiandae kuliangamiza taifa
Mkuu usiwe na wasiwasi; mahakama zipo. kama mtu akikutikana amefanya ufisadi kwa makusudi, atapelekwa mahakamani na kufunguliwa mashtaka na hata kufungwa jela au kunyongwa.
 
Hata Vita visingeweko bado Serikali haijawa na utashi wa kupandisha mishahara wafanyakazi!
Vita vya Russia na Ukraine vimeleta ahuweni kwa Serikali yetu! Vimeisadia Serikali kukwepa kutatua changamoto za wananchi kwa kisingizio cha Vita.
Msisahau bado takribani siku 5 tu serikali itoe msimamo wake huu hapa mnano siku ya Mei Mosi 1/5/2022
 
Mpuuzi wewe eti taarifa umeipata serikalini, umeokoteza taarifa toka puani kwako unaweka humu,
Eti kikundi kidogo cha watu, yaani bila wafanyakazi hata kujua ulichoandika usingejua,

Fikiria ungeenda shule na kufundishwa na mwalimu ambae anatakiwa alipwe mshahara na hakulipwa kama akili zako zinavyofikiri ungepata elimu?
 
Mkuu mimi nimetoa uchambuzi yakinifu; kama wewe unaona uchambuzi wangu una uhusiano na viroba, sawa tu mkuu.
Syo viroba tu na Bangi pia,

Sasa wewe kakutuma nani kufanya uchambuzi juu ya suala la mishahara ya wafanyakazi.

Tumia akli acha bangi
 
Mkuu vita imesababisha mfumuko wa bei ya mafuta na bei za kila kitu. Serikali ni sikivu, wallah kungekuwa hakuna vita wafanyakazi wote waneongezwa mishahara, niamini mimi.
Sasa nani kasema hawaongezewi na iko ktk bajeti ambayo waziri wa fedha wakati wa kuwasilisha plan alisema wameweka kipaombele ktk hilo?
Tena kasema wameweka fungu nono we ni nani wa kusemea serikali?
 
Fikiria kwanza kabla ya kuandika mkuu. Huyo mwalimu bila sisi walalahoi kukamuliwa kodi serikali ingepata wapi pesa za kumlipa mshahara? Sasa unapaswa ujue kwamba hali ya uchumi ni mbaya kutokana na vita hivyo serikali haiwezi kuongeza mishahara. Umeelewa?
 
Syo viroba tu na Bangi pia,

Sasa wewe kakutuma nani kufanya uchambuzi juu ya suala la mishahara ya wafanyakazi.

Tumia akli acha bangi
Nimewanukuu vigogo wakubwa waliomo serikalini. Sasa wewe endelea kubana pua ikifika mei mosi ndipo utajua hujui.
 
Sasa nani kasema hawaongezewi na iko ktk bajeti ambayo waziri wa fedha wakati wa kuwasilisha plan alisema wameweka kipaombele ktk hilo?
Tena kasema wameweka fungu nono we ni nani wa kusemea serikali?
Bajeti iliyoongezwa ni kwa ajili ya ujenzi wa reli ya mwnedokasi sio kufanyia mchezo mchafu wa kuwaongezea wafanyakazi mishahara wakati tayari wana maisha mauzri ukilinganisha na wananchi wengine wa kawaida. Kaa ukijua hilo.
 
Ukitaka mshahara mnene, hamia Uingereza.

Your browser is not able to display this video.
 
Ukitaka mshahara mnene, hamia Uingereza.

View attachment 2201478
Hapa Rais Nyerere aliongea ukweli tupu bila chenga wala kutia chumvi. Wafanyakazi wake zao wamejaza miguo kwenye mikabati halafu wanataka wongezewe mshahara? Huo ni ubinafsi mkubwa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…