Kwenye soka lolote linaweza kutokea..Yanga anaweza kuflop simba akatake advantage..lkn kiuhalisia tayari bingwa alishapatikana tangu msimu unaanza kinachoendelea sasa hv ni ushahidi tu wa kukamilisha ratiba.
Sababu za Simba kuamini watatwaa ubingwa ni hizi....
1. Mara nyingi Yanga huwa wana rekodi nzuri katika mzunguko wa kwanza na kupotea katika mzunguko wa pili.
2. Simba wanaamini kwa uhakika watapata point tatu katika mechi yao dhidi ya Yanga.
3. Soka la Tanzania kwa sehemu kubwa limefichwa katika kichaka cha rushwa, upendeleo, ujanja ujanja na ushirikina. Hizo ndio siri za mafanikio baina ya Simba na Yanga hususani ushindani unapokuwa mkali.
Simba wakimfunga Yanga watapunguza pointi 3. Sasa watakuja na mkakati gani wa kuwafanya Yanga wapoteze zaidi? Yani suala la Yanga kupoteza kwenye mechi zisizowahusisha wao linawezaje kuwa ndani ya uwezo wa Simba?
Aliekwambia Mayele Hajui Kama Atafunga Nani? Ikiwa Tu Kabla Ya Mechi Na Geita Gold Alimuhaidi Mtoto Wake Atafunga Goli Kama Zawadi Ya Siku Ya Birthday Yake Na Wala Hata Dk Moja Haikutimia Mwanaume Akaweka Kambani [emoji23]....Na Hata Kwenye Ubingwa Pia Tunajua, Tunajua Kama Tumebakiza Mechi Kumi Tuwavue Ubingwa Makolo Nyie Then Young Africans Tuwe The New Champions Of Football In Tanzania Na Kwa Mambo Jinsi Yanavyokwenda Hili Ni Suala Ambalo Liko Wazi Kama K Ya Mbuzi [emoji41].....Wewe Kama Mastriker Wako Hawajui Kama Watafunga Au La Kabla Ya Mechi Iyo Ni Kwenu Nyie Na Timu Lenu Na Kama Pia Hamjui Kama Mtachukua Ubingwa Au La Iyo Ni Mtajua Wenyewe Na Timu Lenu Vile Vile....Ila Sisi Kama Dar Es Salaam Young Africans Mambo Yetu Tunayajua [emoji4]hata Mayele mwenyewe hajui km atafunga sembuse kuchukua ubingwa.
Ila mashabiki bhana utafikiri wao ndiyo watacheza hizo mechi, kumbe wanasubiri wachezaji wacheze.
Aliekwambia Mayele Hajui Kama Atafunga Nani? Ikiwa Tu Kabla Ya Mechi Na Geita Gold Alimuhaidi Mtoto Wake Atafunga Goli Kama Zawadi Ya Siku Ya Birthday Yake Na Wala Hata Dk Moja Haikutimia Mwanaume Akaweka Kambani [emoji23]....Na Hata Kwenye Ubingwa Pia Tunajua, Tunajua Kama Tumebakiza Mechi Kumi Tuwavue Ubingwa Makolo Nyie Then Young Africans Tuwe The New Champions Of Football In Tanzania Na Kwa Mambo Jinsi Yanavyokwenda Hili Ni Suala Ambalo Liko Wazi Kama K Ya Mbuzi [emoji41].....Wewe Kama Mastriker Wako Hawajui Kama Watafunga Au La Kabla Ya Mechi Iyo Ni Kwenu Nyie Na Timu Lenu Na Kama Pia Hamjui Kama Mtachukua Ubingwa Au La Iyo Ni Mtajua Wenyewe Na Timu Lenu Vile Vile....Ila Sisi Kama Dar Es Salaam Young Africans Mambo Yetu Tunayajua [emoji4]
Hyo namba 2 ya uhakika wa kupata point 3 dhidi ya Yanga Simba wanautoa wapi ..? Kipindi ambacho Simba anajinadi kuwa na kikosi kipana hajawahi kumfunga Yanga kwenye ligi kuu Sasa ni kama msimu wa 3 au 4 Simba hajawahi kushindi dhidi ya Yanga..Sababu za Simba kuamini watatwaa ubingwa ni hizi....
1. Mara nyingi Yanga huwa wana rekodi nzuri katika mzunguko wa kwanza na kupotea katika mzunguko wa pili.
2. Simba wanaamini kwa uhakika watapata point tatu katika mechi yao dhidi ya Yanga.
3. Soka la Tanzania kwa sehemu kubwa limefichwa katika kichaka cha rushwa, upendeleo, ujanja ujanja na ushirikina. Hizo ndio siri za mafanikio baina ya Simba na Yanga hususani ushindani unapokuwa mkali.
Dah! Unapoteza kumbukumbu kiasi hicho mkuu? Hukumbuki goli la Kagere ?( Simba 1 , Yanga 0). Hukumbuki goli la Nyoni kwa kichwa ( simba 1, Yanga 0). Achana na hiyo . Hata magoli 4 , 1 kombe la shirikisho na huko umesahau? kule kigoma nako umeshasahau?Hyo namba 2 ya uhakika wa kupata point 3 dhidi ya Yanga Simba wanautoa wapi ..? Kipindi ambacho Simba anajinadi kuwa na kikosi kipana hajawahi kumfunga Yanga kwenye ligi kuu Sasa ni kama msimu wa 3 au 4 Simba hajawahi kushindi dhidi ya Yanga..
Simuoni Simba akishinda mbele ya Yanga hii zaidi ya kuingia kwa tahadhari iliYale ya 25 September yasijirudie..
Nimekuwa nasikia tambo na majigambo toka kwa viongozi, makocha na hata mashabiki wa Simba juu ya uhakika walionao kubeba ubingwa wa NBC premier league msimu huu.
Lakini mimi kwa uelewa wangu ni kwamba NI LAZIMA Yanga apoteze points zaidi ya mchezo wa watani (assuming that Simba will win that match) ndipo Simba atakuwa na uhakika (kama yeye atafanya vizuri).
Sasa ikiwa hivyo ndivyo, na ikiwa timu hizi mbili zitakutana mara moja tu katika raundi ya pili, je uhakika wa Simba kutwaa ubingwa msimu huu unatokana na nini?
Hakuna hata uhakika wa Yanga kuchukua, let alone Simba, its not over until its over.... (ingawa kuna high probability ya Yanga kuchukua)
Hayo ni maneno motivational ili wasikate tamaa (huenda hata Yanga wanawaambia watu wao kwamba Bado hatujachukua ndoo ili wasiwe overconfident)
Binadamu niwasahaulifu sanaDah! Unapoteza kumbukumbu kiasi hicho mkuu? Hukumbuki goli la Kagere ?( Simba 1 , Yanga 0). Hukumbuki goli la Nyoni kwa kichwa ( simba 1, Yanga 0). Achana na hiyo . Hata magoli 4 , 1 kombe la shirikisho na huko umesahau? kule kigoma nako umeshasahau?
Vp game ya janaNi ukweli Yanga wapo kwenye nafasi nzuri ya kubeba Ubingwa msimu baada ya kusanda kwa miaka minne. Ila changamoto iliyopo ni ikitokea wale key players wamepata majeruhi huwa wanapoteana sana . Kwa mfano sasa hivi Aucho, Muloko , Saido na baadhi ya first eleven ni majeruhi.
Wamekaririshwa wao ni mabingwa wa kihistoriaDah! Unapoteza kumbukumbu kiasi hicho mkuu? Hukumbuki goli la Kagere ?( Simba 1 , Yanga 0). Hukumbuki goli la Nyoni kwa kichwa ( simba 1, Yanga 0). Achana na hiyo . Hata magoli 4 , 1 kombe la shirikisho na huko umesahau? kule kigoma nako umeshasahau?
Mlipoteana shukuruni tuu goli alilootea mayeleVp game ya jana
Ndo mmeanza kujua ubingwa mtachukua baada ya kuona nini labda? Miaka yote 4 hamkua na hyo tabia eeeAliekwambia Mayele Hajui Kama Atafunga Nani? Ikiwa Tu Kabla Ya Mechi Na Geita Gold Alimuhaidi Mtoto Wake Atafunga Goli Kama Zawadi Ya Siku Ya Birthday Yake Na Wala Hata Dk Moja Haikutimia Mwanaume Akaweka Kambani [emoji23]....Na Hata Kwenye Ubingwa Pia Tunajua, Tunajua Kama Tumebakiza Mechi Kumi Tuwavue Ubingwa Makolo Nyie Then Young Africans Tuwe The New Champions Of Football In Tanzania Na Kwa Mambo Jinsi Yanavyokwenda Hili Ni Suala Ambalo Liko Wazi Kama K Ya Mbuzi [emoji41].....Wewe Kama Mastriker Wako Hawajui Kama Watafunga Au La Kabla Ya Mechi Iyo Ni Kwenu Nyie Na Timu Lenu Na Kama Pia Hamjui Kama Mtachukua Ubingwa Au La Iyo Ni Mtajua Wenyewe Na Timu Lenu Vile Vile....Ila Sisi Kama Dar Es Salaam Young Africans Mambo Yetu Tunayajua [emoji4]
Tukutane Tar 30Ndo mmeanza kujua ubingwa mtachukua baada ya kuona nini labda? Miaka yote 4 hamkua na hyo tabia eee
Mlipoteana shukuruni tuu goli alilootea mayele
Vp game ya jana