Uhakika wa Ubingwa wa NBC premier league 2021/22 kwa Simba unatokana na nini?

Uhakika wa Ubingwa wa NBC premier league 2021/22 kwa Simba unatokana na nini?

sawa. Tunafahamu lolote lawza kutokea. Sasa uhakika wa timu fulani kubeba ubingwa unatoka wapi ikiwa ipo nyuma? Yani hakuna sehemu watu wa Simba wanakili kuwa wanategemea Yanga ajikwae. Hapa ndipo kwenye shida
Kwenye soka lolote linaweza kutokea..Yanga anaweza kuflop simba akatake advantage..lkn kiuhalisia tayari bingwa alishapatikana tangu msimu unaanza kinachoendelea sasa hv ni ushahidi tu wa kukamilisha ratiba.
 
Simba wakimfunga Yanga watapunguza pointi 3. Sasa watakuja na mkakati gani wa kuwafanya Yanga wapoteze zaidi? Yani suala la Yanga kupoteza kwenye mechi zisizowahusisha wao linawezaje kuwa ndani ya uwezo wa Simba?
Sababu za Simba kuamini watatwaa ubingwa ni hizi....

1. Mara nyingi Yanga huwa wana rekodi nzuri katika mzunguko wa kwanza na kupotea katika mzunguko wa pili.

2. Simba wanaamini kwa uhakika watapata point tatu katika mechi yao dhidi ya Yanga.

3. Soka la Tanzania kwa sehemu kubwa limefichwa katika kichaka cha rushwa, upendeleo, ujanja ujanja na ushirikina. Hizo ndio siri za mafanikio baina ya Simba na Yanga hususani ushindani unapokuwa mkali.
 
Nadhani hakuna mwenye uhakika. Hata Yanga pia.
Sasa ni wakati wa kuongea logic na sio kishabiki
Simba wakimfunga Yanga watapunguza pointi 3. Sasa watakuja na mkakati gani wa kuwafanya Yanga wapoteze zaidi? Yani suala la Yanga kupoteza kwenye mechi zisizowahusisha wao linawezaje kuwa ndani ya uwezo wa Simba?
 
Ni ukweli Yanga wapo kwenye nafasi nzuri ya kubeba Ubingwa msimu baada ya kusanda kwa miaka minne. Ila changamoto iliyopo ni ikitokea wale key players wamepata majeruhi huwa wanapoteana sana . Kwa mfano sasa hivi Aucho, Muloko , Saido na baadhi ya first eleven ni majeruhi.
 
hata Mayele mwenyewe hajui km atafunga sembuse kuchukua ubingwa.

Ila mashabiki bhana utafikiri wao ndiyo watacheza hizo mechi, kumbe wanasubiri wachezaji wacheze.
Aliekwambia Mayele Hajui Kama Atafunga Nani? Ikiwa Tu Kabla Ya Mechi Na Geita Gold Alimuhaidi Mtoto Wake Atafunga Goli Kama Zawadi Ya Siku Ya Birthday Yake Na Wala Hata Dk Moja Haikutimia Mwanaume Akaweka Kambani [emoji23]....Na Hata Kwenye Ubingwa Pia Tunajua, Tunajua Kama Tumebakiza Mechi Kumi Tuwavue Ubingwa Makolo Nyie Then Young Africans Tuwe The New Champions Of Football In Tanzania Na Kwa Mambo Jinsi Yanavyokwenda Hili Ni Suala Ambalo Liko Wazi Kama K Ya Mbuzi [emoji41].....Wewe Kama Mastriker Wako Hawajui Kama Watafunga Au La Kabla Ya Mechi Iyo Ni Kwenu Nyie Na Timu Lenu Na Kama Pia Hamjui Kama Mtachukua Ubingwa Au La Iyo Ni Mtajua Wenyewe Na Timu Lenu Vile Vile....Ila Sisi Kama Dar Es Salaam Young Africans Mambo Yetu Tunayajua [emoji4]
 
Mmmmh
Aliekwambia Mayele Hajui Kama Atafunga Nani? Ikiwa Tu Kabla Ya Mechi Na Geita Gold Alimuhaidi Mtoto Wake Atafunga Goli Kama Zawadi Ya Siku Ya Birthday Yake Na Wala Hata Dk Moja Haikutimia Mwanaume Akaweka Kambani [emoji23]....Na Hata Kwenye Ubingwa Pia Tunajua, Tunajua Kama Tumebakiza Mechi Kumi Tuwavue Ubingwa Makolo Nyie Then Young Africans Tuwe The New Champions Of Football In Tanzania Na Kwa Mambo Jinsi Yanavyokwenda Hili Ni Suala Ambalo Liko Wazi Kama K Ya Mbuzi [emoji41].....Wewe Kama Mastriker Wako Hawajui Kama Watafunga Au La Kabla Ya Mechi Iyo Ni Kwenu Nyie Na Timu Lenu Na Kama Pia Hamjui Kama Mtachukua Ubingwa Au La Iyo Ni Mtajua Wenyewe Na Timu Lenu Vile Vile....Ila Sisi Kama Dar Es Salaam Young Africans Mambo Yetu Tunayajua [emoji4]
 
Sababu za Simba kuamini watatwaa ubingwa ni hizi....

1. Mara nyingi Yanga huwa wana rekodi nzuri katika mzunguko wa kwanza na kupotea katika mzunguko wa pili.

2. Simba wanaamini kwa uhakika watapata point tatu katika mechi yao dhidi ya Yanga.

3. Soka la Tanzania kwa sehemu kubwa limefichwa katika kichaka cha rushwa, upendeleo, ujanja ujanja na ushirikina. Hizo ndio siri za mafanikio baina ya Simba na Yanga hususani ushindani unapokuwa mkali.
Hyo namba 2 ya uhakika wa kupata point 3 dhidi ya Yanga Simba wanautoa wapi ..? Kipindi ambacho Simba anajinadi kuwa na kikosi kipana hajawahi kumfunga Yanga kwenye ligi kuu Sasa ni kama msimu wa 3 au 4 Simba hajawahi kushindi dhidi ya Yanga..
Simuoni Simba akishinda mbele ya Yanga hii zaidi ya kuingia kwa tahadhari iliYale ya 25 September yasijirudie..
 
Hyo namba 2 ya uhakika wa kupata point 3 dhidi ya Yanga Simba wanautoa wapi ..? Kipindi ambacho Simba anajinadi kuwa na kikosi kipana hajawahi kumfunga Yanga kwenye ligi kuu Sasa ni kama msimu wa 3 au 4 Simba hajawahi kushindi dhidi ya Yanga..
Simuoni Simba akishinda mbele ya Yanga hii zaidi ya kuingia kwa tahadhari iliYale ya 25 September yasijirudie..
Dah! Unapoteza kumbukumbu kiasi hicho mkuu? Hukumbuki goli la Kagere ?( Simba 1 , Yanga 0). Hukumbuki goli la Nyoni kwa kichwa ( simba 1, Yanga 0). Achana na hiyo . Hata magoli 4 , 1 kombe la shirikisho na huko umesahau? kule kigoma nako umeshasahau?
 
Swali hili bado halijajibiwa kitaalam
Nimekuwa nasikia tambo na majigambo toka kwa viongozi, makocha na hata mashabiki wa Simba juu ya uhakika walionao kubeba ubingwa wa NBC premier league msimu huu.

Lakini mimi kwa uelewa wangu ni kwamba NI LAZIMA Yanga apoteze points zaidi ya mchezo wa watani (assuming that Simba will win that match) ndipo Simba atakuwa na uhakika (kama yeye atafanya vizuri).

Sasa ikiwa hivyo ndivyo, na ikiwa timu hizi mbili zitakutana mara moja tu katika raundi ya pili, je uhakika wa Simba kutwaa ubingwa msimu huu unatokana na nini?
 
Ni sahihi
Hakuna hata uhakika wa Yanga kuchukua, let alone Simba, its not over until its over.... (ingawa kuna high probability ya Yanga kuchukua)

Hayo ni maneno motivational ili wasikate tamaa (huenda hata Yanga wanawaambia watu wao kwamba Bado hatujachukua ndoo ili wasiwe overconfident)
 
Dah! Unapoteza kumbukumbu kiasi hicho mkuu? Hukumbuki goli la Kagere ?( Simba 1 , Yanga 0). Hukumbuki goli la Nyoni kwa kichwa ( simba 1, Yanga 0). Achana na hiyo . Hata magoli 4 , 1 kombe la shirikisho na huko umesahau? kule kigoma nako umeshasahau?
Binadamu niwasahaulifu sana
 
Ni ukweli Yanga wapo kwenye nafasi nzuri ya kubeba Ubingwa msimu baada ya kusanda kwa miaka minne. Ila changamoto iliyopo ni ikitokea wale key players wamepata majeruhi huwa wanapoteana sana . Kwa mfano sasa hivi Aucho, Muloko , Saido na baadhi ya first eleven ni majeruhi.
Vp game ya jana
 
Dah! Unapoteza kumbukumbu kiasi hicho mkuu? Hukumbuki goli la Kagere ?( Simba 1 , Yanga 0). Hukumbuki goli la Nyoni kwa kichwa ( simba 1, Yanga 0). Achana na hiyo . Hata magoli 4 , 1 kombe la shirikisho na huko umesahau? kule kigoma nako umeshasahau?
Wamekaririshwa wao ni mabingwa wa kihistoria
 
Aliekwambia Mayele Hajui Kama Atafunga Nani? Ikiwa Tu Kabla Ya Mechi Na Geita Gold Alimuhaidi Mtoto Wake Atafunga Goli Kama Zawadi Ya Siku Ya Birthday Yake Na Wala Hata Dk Moja Haikutimia Mwanaume Akaweka Kambani [emoji23]....Na Hata Kwenye Ubingwa Pia Tunajua, Tunajua Kama Tumebakiza Mechi Kumi Tuwavue Ubingwa Makolo Nyie Then Young Africans Tuwe The New Champions Of Football In Tanzania Na Kwa Mambo Jinsi Yanavyokwenda Hili Ni Suala Ambalo Liko Wazi Kama K Ya Mbuzi [emoji41].....Wewe Kama Mastriker Wako Hawajui Kama Watafunga Au La Kabla Ya Mechi Iyo Ni Kwenu Nyie Na Timu Lenu Na Kama Pia Hamjui Kama Mtachukua Ubingwa Au La Iyo Ni Mtajua Wenyewe Na Timu Lenu Vile Vile....Ila Sisi Kama Dar Es Salaam Young Africans Mambo Yetu Tunayajua [emoji4]
Ndo mmeanza kujua ubingwa mtachukua baada ya kuona nini labda? Miaka yote 4 hamkua na hyo tabia eee
 
Back
Top Bottom