Mdudu halisi
JF-Expert Member
- May 7, 2014
- 2,730
- 4,768
Wenyewe wanasema nyie watumishi wa umma mko laki sita tu, hivyo hamna negative impact katika ustawi wa CCM na serikali yake. Nendeni mkafie mbele huko. Hapa Kazi Tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii inasemekana kuwa in mbinu ya ku-buy time na kuzubaisha watu. Maana mazoezi yanayoweza kufanyika pamoja yanapewa awamu.
Watumishi hawana tena imani wala morali ya kazi. Hawatamani hata kusikia sauti
za matumaini, wamekata tamaa.
Kila MTU anaibuka na mauhakikisha yake, kudanganya tu watumishi.
Hii in tetesi huko nchini
Mexico
Wenyewe wanasema nyie watumishi wa umma mko laki sita tu, hivyo hamna negative impact katika ustawi wa CCM na serikali yake. Nendeni mkafie mbele huko. Hapa Kazi Tu.
Vibaka huzalishwa na kulelewa pale lumumba, huko kwingine hupokelewa tu, selekali inayo ajiri watumishi hewa ni ya ccm tu.Vibaka ndo wamewafikisha hapo mlipo....usilaumu Serikali ya awamu ya 5
Watumishi Hoyee.ccm hoyeee
hasikii cha mtu malaika huyuToa ushauri mkuu nini kifanyike?
kwa hiyo mmekataa kuwapa wana wa nchi kazi siyo kaburi inawasubiri naona mna jeuri sana awmu hiiMshahara unaongezwa kutokana na hali halisi ya kipato cha serika,
Sasa hivi lazima mlilie kuongezewa mishahara,line zote zimekufa!
Waambie vijana nafasi za ajira ni ndogo sana,waingie tu katika kujiajiri wasisubiri ajira ya serikale
Usisubiri kuajiriwa,nafasi 20 waombaji 2000 kuna kazi hapokwa hiyo mmekataa kuwapa wana wa nchi kazi siyo kaburi inawasubiri naona mna jeuri sana awmu hii
Teh teh teh! Naona milioni 7 unazikwepa kidizaini!Hii inasemekana kuwa in mbinu ya ku-buy time na kuzubaisha watu. Maana mazoezi yanayoweza kufanyika pamoja yanapewa awamu.
Watumishi hawana tena imani wala morali ya kazi. Hawatamani hata kusikia sauti za matumaini, wamekata tamaa.
Kila MTU anaibuka na mauhakikisha yake, kudanganya tu watumishi.
Hii in tetesi huko nchini Mexico
Mil 7? Utanichangia ninunue Lasso?Teh teh teh! Naona milioni 7 unazikwepa kidizaini!
Kuisoma namba ni lazima!
Kasso ndo nini?Mil 7? Utanichangia ninunue Lasso?