Tetesi: Uhakiki vyeti TRA; 437 kupigwa chini

Tetesi: Uhakiki vyeti TRA; 437 kupigwa chini

Kaka yangu lizabon sina uhakika kama kabila Fulani wakiwa wengi basi wamefoji no

kwa hiyo application ilikuwa wao ni asilimia 99 na makabila mengine ni asilimia 1 tu?? sasa inawezekana vipi kila kazi apate mchaga hapo TRA wengine walikuwa hawaombi??? au vyeti halisi wanavyuo wao tu
 
Hiyo ndiyo akili ya Lizaboni. Cheki post zake utamjua alivyo. Ana wivu wa kitoto na kwa bahati mbaya sana anaamini anajua kila kitu. Poor him/ her.

wanaowalalmikia wachaga ni wengi humu sio Mkuu lizaboni pekeyake
 
Asante Rais Magufuli. Jitihada zako zinaenda kuzaa matunda kwa watoto masikini..

Baada ya lile sakata la NSSF kupiga chini zaidi ya wafanyakazi 200+ waliofoji vyeti, wiki hii TRA inatarajia kupiga chini watumishi wake zaidi ya 400 (437). Hawa ni walioingia bila sifa, waliofoji vyeti, walioingizwa na ndugu zao ambao waliokuwa vigogo...

Pamoja na hatua hiyo nzuri ila tunaomba serikali kuu isimamie hili zoezi kwa TRA, kwani kuna rushwa, na harufu ya kubebana ili kubakiza baadhi ya watumishi ambao hawana sifa...

Naomba nikuambie wazi kamishna Mkuu wa TRA, Ndugu Kidata ofisi ya HR inadhamiria kukudanganya katika hili zoezi. Wameamua kwa makusudi kulichukulia hili zoezi kimazoea. Hawajui hizi ni zama za Magufuli... Tafadhali Kamishna chukua hatua haraka sana.... Utadanganywa katika namba halisi...

My take: Naiona Tanzania Mpya chini ya Rais Magufuli
Lakin pia tanzania mpya haiji kwa kusaka vyeti feki ingawa nalo lina mchango kidogo
 
Vyeti watu wengine wapo muhimbili na tra wapo jina moja.mwingine bruweries na kaka mtu tra jina hilohilo.wacha watumbuliwe.
 
Back
Top Bottom