Nshonzi
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 3,057
- 1,882
Mungu ataingilia katiWatafaidi makada tu wa lumumba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu ataingilia katiWatafaidi makada tu wa lumumba
Siyo kwa kufoji vyeti na ukikamatwa uanze kulialiaMtoa mada Acha unafiki, hata ungekuwa wewe ni mzazi lazima uhakikishe mwanao anakaa sehem nzuri
Kaka yangu lizabon sina uhakika kama kabila Fulani wakiwa wengi basi wamefoji no
Hiyo ndiyo akili ya Lizaboni. Cheki post zake utamjua alivyo. Ana wivu wa kitoto na kwa bahati mbaya sana anaamini anajua kila kitu. Poor him/ her.
Kwa hiyo?wanaowalalmikia wachaga ni wengi humu sio Mkuu lizaboni pekeyake
Lakin pia tanzania mpya haiji kwa kusaka vyeti feki ingawa nalo lina mchango kidogoAsante Rais Magufuli. Jitihada zako zinaenda kuzaa matunda kwa watoto masikini..
Baada ya lile sakata la NSSF kupiga chini zaidi ya wafanyakazi 200+ waliofoji vyeti, wiki hii TRA inatarajia kupiga chini watumishi wake zaidi ya 400 (437). Hawa ni walioingia bila sifa, waliofoji vyeti, walioingizwa na ndugu zao ambao waliokuwa vigogo...
Pamoja na hatua hiyo nzuri ila tunaomba serikali kuu isimamie hili zoezi kwa TRA, kwani kuna rushwa, na harufu ya kubebana ili kubakiza baadhi ya watumishi ambao hawana sifa...
Naomba nikuambie wazi kamishna Mkuu wa TRA, Ndugu Kidata ofisi ya HR inadhamiria kukudanganya katika hili zoezi. Wameamua kwa makusudi kulichukulia hili zoezi kimazoea. Hawajui hizi ni zama za Magufuli... Tafadhali Kamishna chukua hatua haraka sana.... Utadanganywa katika namba halisi...
My take: Naiona Tanzania Mpya chini ya Rais Magufuli
Kuna wakati zaidi ya robo tatu ya wafanyakazi wa TRA walikuwa wachagga. Sijui kama wote walikuwa na vyeti halisi