Mama pretty
JF-Expert Member
- May 1, 2020
- 2,082
- 4,103
Wakuu habari,
Inatambulika kuwa inapotokea shida ya kutoelewana kwa wanandoa wawili na kutaka kusuluhisha migogoro yao, hushauriwa kuendea mabaraza ya usuluhishi ya ndoa;
BAKWATA (kwa ndoa iliyofungwa kwa sheria za kiislamu) na Taasisi za kikristo au kanisani ( kwa ndoa iliyofungwa kwa sheria za kikristo)
Sasa je, ni upi uhalali wa cheti kutoka hayo mabaraza ya usuluhushi kwa ajili ya kupeleka mahakamani inapotokea kushindwa kusulihisha mgogoro kwa wanandoa kwa ndoa yenye viashiria ya kuvunjika?
Je, barua kutoka hayo mabaraza inaweza kutambulika kama ushahidi/ cheti kwa mahakama?
Je, ni nani anatakiwa kusaini hivyo vyeti?
Je, ni taratibu zipi za kufuatwa kisheria kwa uhalali wa cheti kutoka mabaraza ya usuluhushi ya ndoa?
Inatambulika kuwa inapotokea shida ya kutoelewana kwa wanandoa wawili na kutaka kusuluhisha migogoro yao, hushauriwa kuendea mabaraza ya usuluhishi ya ndoa;
BAKWATA (kwa ndoa iliyofungwa kwa sheria za kiislamu) na Taasisi za kikristo au kanisani ( kwa ndoa iliyofungwa kwa sheria za kikristo)
Sasa je, ni upi uhalali wa cheti kutoka hayo mabaraza ya usuluhushi kwa ajili ya kupeleka mahakamani inapotokea kushindwa kusulihisha mgogoro kwa wanandoa kwa ndoa yenye viashiria ya kuvunjika?
Je, barua kutoka hayo mabaraza inaweza kutambulika kama ushahidi/ cheti kwa mahakama?
Je, ni nani anatakiwa kusaini hivyo vyeti?
Je, ni taratibu zipi za kufuatwa kisheria kwa uhalali wa cheti kutoka mabaraza ya usuluhushi ya ndoa?