Uhalali wa cheti kutoka Marriage Conciliation Board ni upi?

Husainiwa na watu wawili ambao ni
1. Mwenyeki wa baraza hilo(Chairperson or chairman)
2. Katibu wa baraza( Secretary).

Kwa sasa sheria anamtaka muomba talaka aambatanishe nakala ya cheti wakati wa kufungua maombi ya talaka halafu ile original certificate itolewe wakati wa kusikilizwa hayo maombi ya talaka. Lengo ni kwamba inabidi mahakama ijiridhishe kwamba hiyo certificate imepatikana kihalali na sheria zote zimefuatwa.

Zamani watu walikuwa wanagushi sana hizo certificate na kuzipeleka mahakamani ambapo sasa mahakama zilikuwa hazichukui muda kufanya utafiti kwamba hii certificate imepatikana kihalali au lah!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…