Wewe ndio umeuibia sio?Utakula za uso
Namkubali sana Q chief ni mmoja wa wanamziki kwenye list yangu yuko juu
Best song 🎵 U hali gani..... kula chuma hicho
Sawa
Nipo swahiba habari za sikuUnepotea kabisa na kunisusa
Nimekumiss we mchumbaNipo swahiba habari za siku
Mchumba tena 🙄Nimekumiss we mchumba
Je kama alishafariki! Kumbuka ni kitambo sana, enzi hizo hata kutromba sijajuaTresor Mandala uje ujibu tuhuma huku
Mkuu, kwa sasa umezeeka sana, si ndio? Hivi ule ujana wa kipindi hicho bado unauhishi hadi leo? Au ndo hivyo umewaachia vijana!?Hahahahaha
Huu uzi uli time travel. Kipindi hicho hakukuwa na dunia ya mapenziNavona furaha huu uzi umejibiwa after 10 years. Kifupi hii imaonyesha namna hizi nyuzi zitaishi as long as JF itakuwepo.
Wee unapenda nn eti? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu wanapenda kuto mbana humu
Leo hutaki kuitwa mchumba🤣Mchumba tena 🙄
Kumbe wewe ni mtoto wetu KabisaJe kama alishafariki! Kumbuka ni kitambo sana, enzi hizo hata kutromba sijajua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]AiseeeKumbe wewe ni mtoto wetu Kabisa
Huyu ukute tunamzaa huku tunacheza singeli ya Dulla makabilaKumbe wewe ni mtoto wetu Kabisa
🤣🤣🤣🙌🏿Huyu ukute tunamzaa huku tunacheza singeli ya Dulla makabila
Hahahahaha...bado kijana kabisa enzi hizo ..miaka 10 nyumaHahaha mkubwa Tresor Mandala enzi hizo una dunda.