Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2013 ukiwa kwenye penzi jipya🥴Hahahahahaha..ku comment ni uamuzi wa mtu unajua ya mwaka gani hiyo
Kabisa yaanNavona furaha huu uzi umejibiwa after 10 years. Kifupi hii imaonyesha namna hizi nyuzi zitaishi as long as JF itakuwepo.
We kijana wa kambo upo?Le don king kibokolo Tresor Mandala
Hahahahahaha2013 ukiwa kwenye penzi jipya🥴
🤣🤣🤣Duuuh mbona mda sanaaa, ila nilistukaaa nkajua kapost leo, nlishangaaa mnoo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahaha..sawa sawa mkuuKipindi hiko mjomba Tresor Mandala anadata na miandiko ya ID za kike
Mlengwa alikuwa nani 😁😁😁?...mboni ichafukapo jicho huwa mashakani...
...Ni mbali we uliko nasijui..UHALI GANI...
..nikumbuke kwa PM hata wa kucomment post hii
wazima wana JF...
Uhali Gani - YouTube
Kumbe na yeye alishapitia Hizo?I hope hata ERoni atakuwa na Uzi wake wa kupenda ID enzi za ujana wake.Kipindi hiko mjomba Tresor Mandala anadata na miandiko ya ID za kike
😁 Mwanzon kudata muhimu, ila inafika muda unaona ni upuuzi tuKumbe na yeye alishapitia Hizo?I hope hata ERoni atakuwa na Uzi wake wa kupenda ID enzi za ujana wake.
Hahahaha..hakuna mlengwa ni verse tu...Mlengwa alikuwa nani 😁😁😁?
Hahahahahaha..huu ujumbe umeishapita wakati wake ni dèpuis 2013
NimeliaWatu wana roho mbaya kweli yani toma 2013 hakuna aliyejibu hii post
Ha haaa sema kweli au nije mimi PM?😁😁😁Hahahaha..hakuna mlengwa ni verse tu...
Internet haisahau bwana😁Hahahahahaha..huu ujumbe umeishapita wakati wake ni dèpuis 2013