DOKEZO Uhalifu umezidi sana mji wa Tunduma, Serikali iingilie kati

DOKEZO Uhalifu umezidi sana mji wa Tunduma, Serikali iingilie kati

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Tunduma ni mji wa kibiashara na mji mdogo sema unakuwa kwa kasi sana maeneo ukifika mda wa usiku usipende kutembea kwa miguu tumia usafiri kama pikipiki, gari au bajaji ingawa wahalifu wengi ni watoto walio zaliwa hapo hapo

Maenei hatari ni Manguruweni, Danida, Makambini na baadhi ya maeneo jambo la kuzingatia ukirudi home usiku tumia usafiri otherwise it is a good place of hustling kingine jiepushe na uzizi maana ile transit point madareva wa truck wanamwagilia mwagilia mauwa hapo kwa sana.
 
Jeshi la Wananchi sio kazi yake kuzuia vibaka acha kujitoa ufahamu. Kazi za migambo inayoshika rungu na kuvaa tisheti ndio unataka ijengwe kambi ya jeshi. Yani tujenge kambi kisa vibaka wanaopiga roba? Kuwa serious na vipaumbele vya nchi.
Hao wote wameshindwa,sasa bora Jeshi liingilie kati,uzuri jeshi halinaga cha rushwa km polisi na migambo.
 
Kutokuwa na kazi maalum siyo kigezo Cha kuwa mhalifu. Wapo wenye mahela Yao lakini ni wahalifu wakuu, ndiyo wenye makundi hayo.

Kwa hiyo tutumie vigezo vya kuwabaini wahalifu wenyewe. Tusikate vidole kwasababu ya Funza Mkuu.
Sasa km huna kazi utawezaje kumudu maisha ktk mji huu?,Yaani upange chumba,ulipe bili za umeme,ununue maji,chakula,matibabu,nguo,vocha,uhonge,halafu huna kazi,kweli?!.
 
Sasa km huna kazi utawezaje kumudu maisha ktk mji huu?,Yaani upange chumba,ulipe bili za umeme,ununue maji,chakula,matibabu,nguo,vocha,uhonge,halafu huna kazi,kweli?!.
Kuna vijana wale ambayo hawana kazi rasimi, wao ni all weather. Sasa huyu huwezi kusema anafanya kazi Fulani. Au kimtaa tunasema anafanya vibarua.

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Kuna vijana wale ambayo hawana kazi rasimi, wao ni all weather. Sasa huyu huwezi kusema anafanya kazi Fulani. Au kimtaa tunasema anafanya vibarua.

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Achana na hao sasa,kuna wale wanaamkia kwenye Pool table na kushinda huko hadi jioni,riziki zao wanazitafuta muda gani?
 
Sasa km jeshi la Polisi limezidiwa, kuna ubaya gani wa kuomba jeshi litusaidie?
Mkuu jukumu la ulinzi na usalama wa raia na mali zao ni kazi ya Police, sio jeshi mkuu. Pengine waunde kanda maalum ya ki Police.
 
Back
Top Bottom