SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Kutokana na utata unaoendelea kuhusu mafanikio ya Simba na Yanga kimataifa, nimeshirikiana na wataalamu wa TEHAMA kutengeneza jedwali linaloonyesha vizuri mzania wa mafanikio ya timu hizi mbili katika mashindano yote ya CAF.
Nadhani jedwali hili litatupa picha kamili ya mafanikio ya timu hizi na kumaliza utata wowote uliokuwepo.
Nawashukuru wataalamu wa TEHAMA waliowezesha zoezi hili kukamilika na pia Bwana Magori maana jedwali lake lilitusukuma kutengeneza hili.
Usisikilize matapeli watakupoteza.
Nadhani jedwali hili litatupa picha kamili ya mafanikio ya timu hizi na kumaliza utata wowote uliokuwepo.
Nawashukuru wataalamu wa TEHAMA waliowezesha zoezi hili kukamilika na pia Bwana Magori maana jedwali lake lilitusukuma kutengeneza hili.
Usisikilize matapeli watakupoteza.