Abraham Lincolnn JF-Expert Member Joined Apr 12, 2018 Posts 2,754 Reaction score 4,975 Feb 11, 2025 #1 Kabla ya uchaguzi mambo huwa hivi ππ½ Baada ya Uchaguzi mambo huwa hivi ππ½ AKILI KUMKICHWA π
Kabla ya uchaguzi mambo huwa hivi ππ½ Baada ya Uchaguzi mambo huwa hivi ππ½ AKILI KUMKICHWA π
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 33,092 Reaction score 96,127 Feb 11, 2025 #2 Hii kitaalam inaitwa mtumikie Kaffir upate ujira wako.
Allen Kilewella JF-Expert Member Joined Sep 30, 2011 Posts 21,470 Reaction score 40,593 Feb 11, 2025 #3 Hivi watu wanaopumbazwa na CCM kuwapigia magoti wakati wa chaguzi akili zao huwaje?
KENZY JF-Expert Member Joined Dec 27, 2015 Posts 32,529 Reaction score 76,691 Feb 11, 2025 #4 Tate Mkuu said: Hii kitaalam inaitwa mtumikie Kaffir upate ujira wako. Click to expand... Hapana hiyo inaitwa "amrish kapul".
Tate Mkuu said: Hii kitaalam inaitwa mtumikie Kaffir upate ujira wako. Click to expand... Hapana hiyo inaitwa "amrish kapul".
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Feb 11, 2025 #5 Inasikitisha sana... Cc: Mahondaw
NGOSWE2 JF-Expert Member Joined Dec 19, 2013 Posts 1,323 Reaction score 1,608 Feb 11, 2025 #6 Ipo siku, Mungu anawaona. Sijapenda hiyo kitu.
M O N S T E R JF-Expert Member Joined Sep 26, 2022 Posts 2,818 Reaction score 8,465 Feb 11, 2025 #7 Allen Kilewella said: Hivi watu wanaopumbazwa na CCM kuwapigia magoti wakati wa chaguzi akili zao huwaje? Click to expand... Mtu mwenye akili timamu hawezi kupumbazwa na mwanasiasa yoyote, they're one and the same. Yaani kabisa na akili zako timamu unasimama foleni kumpigia mtu kura, labda kama inajipigia mwenyewe au unampigia mkeo au mzazi wako au mtoto wako.
Allen Kilewella said: Hivi watu wanaopumbazwa na CCM kuwapigia magoti wakati wa chaguzi akili zao huwaje? Click to expand... Mtu mwenye akili timamu hawezi kupumbazwa na mwanasiasa yoyote, they're one and the same. Yaani kabisa na akili zako timamu unasimama foleni kumpigia mtu kura, labda kama inajipigia mwenyewe au unampigia mkeo au mzazi wako au mtoto wako.