Sasa hivi wamekuja na mpya. Wanalazimisha watoto wote wa darasa la saba mwaka huu wenye uwezo mdogo kurudia darasa la sita. Maafisaelimu wilaya wanawakoromea walimu wakuu kuwakaririsha watoto. Kwa ufupi hali ni mbaya kwani watoto wanakataa wenzao wanawazomea, wao wenyewe hawakujiandaa kisaikologia. My take: hivi sheria ya kutokaririsha watoto ilitenguliwa lini? Je kwa watoto kurudia itawabadilisha kwa muda wa mwaka mmoja bila serikali kuangalia changamoto gani zinasababisha?