Uhalisia wa Shetani (Utaifahamu kweli, na hiyo kweli itakuweka huru)

Uhalisia wa Shetani (Utaifahamu kweli, na hiyo kweli itakuweka huru)

Venus Star

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2018
Posts
26,519
Reaction score
78,311
Nawasalimia wote JF.

Nimeamua kuandika jumbe mbalimbali kwa lengo la kufundisha na kuwafumbua macho waliotayari.

Leo hii nitaongelea suala la huyu anayeitwa shetani. Imetokea kuogopwa sana na kuonekana ni kiumbe hatari sana (Kiumbe wa kusadikika).

Kwa kuwa nililelewa katika dini ya kikristo nimekuwa nikikaa na kuyatafakari maandiko matakatifu.

Nikiri kwamba biblia imejaa uvuvio wa roho. Ndani ya hiyo biblia kuna mambo ukiyafanya na kuyachukulia serious unafanikiwa sana.

Katika kuyasoma maandiko nimekuja kugundua kwamba:-

1. Aliye laaniwa katika bustani ya edeni siyo shetani bali ni nyoka.
Mwanzo 3 inaeleza yote kwa Nyoka alikuwa "mwelevu" kuliko wanyama wote wa mwituni. Maana yake Nyoka alikuwa na akili. Alikuwa anajua mambo mengi. Na ikumbukwe wanyama waliumbwa kabla ya watu.

Na kwa jinsi ninavyotafakari kwa kina. Mungu alipowaumba wanyama, ilipita muda, kwamba hao wanyama walipewa mafundisho mbalimbali na Mungu. Ikatokea Nyoka akawa na akili kuliko wengine. Lakini Mungu akaona aumbe mtu kwa mfano wao.

Hapa tunaona kabisa aliyeenda kuongea na Hawa ni Nyoka. Na hapa ukisoma issue Hawa ndiye aliyeongea uongo. Yeye nyoka alimuuliza Swali linaloanzia na "eti" Mungu kawakataza kula matunda ya miti yote!?

Hawa aliongezea umbea kwa mti wa kati wamekatazwa hata kuugusa.

Sehemu ya pili ni pale Mungu anatoa laana. Utakuta yule aliyelaaniwa ni Nyoka na siyo Shetani.

Mfundisho:- Yule atakayeweza kuwasiliana na Nyoka huenda akajuwa mambo mengi sana, kwa sababu yeye ni mwelevu.

2. Ayubu alikuwa akimtumikia YAHWEH kwa uelekevu. Ukisoma Ayubu Sura ya 2. Utaona wana wa Mungu walipoenda kujihudhurisha Mbele ya Yahweh Shetani naye alikuwepo.

Hapa tunaona kabisa kuwa Shetani na wana wa Yahweh hawana ugomvi wowote. Maana yake na yeye ni sehemu ya hao. Ukiendelea kusoma Yahweh alimuuliza Shetani kuwa ametoka wapi!? Na akamuuliza kuwa amemuona Ayubu, maana shetani alikuwa akipeleka taarifa kwa Mungu kuhusu Ayubu.

Kwa kukatisha Maelezo Shetani alikuwa akiripoti mara kwa mara kwa Yahweh.

Fundisho:- Shetani ni kati ya watumishi wa Yahweh.

3. Yesu alipokuwa akiwafundisha wanafunzi wake namna ya kusali. Alisema salini hivi:-

Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako kitukuzwe, ufalme wako uje, mapenzi yako tatimizwa hapa duniani kama huko mbinguni, usitutie majaribuni (Katika vishawishi)......

Sasa hapa tunaona wazi kabisa kumbe Baba aliye mbinguni ndiye anayetutia sisi katika vishawishi. Wala siyo shetani. Na ukiangalia sehemu nyingi katika Maandiko utaona namna Mungu alivyokuwa akiwatia kwenye vishawishi. Wengine alikuwa akiwatia moyo mgumu.

Mfano Farao alitiwa moyo mgumu na Mungu mwenyewe. Sauli alitiwa roho mbaya. Daudi alijazwa ushawishi na Mungu ili awahesabu wana wa Israeli.
Fundisho:- Hapa tunaona anayewaweka kwenye vishawishi huwa ni Mungu mwenyewe.

SHETANI NI NANI!?
Ukifuatilia kwa makini sana kwenye biblia utagundua, Shetani ni kati ya watumishi waaminifu wa Mungu. Kwamba shetani kazi yake ni kupeleka taarifa negative za mtu kwa Mungu. Yaani shetani ni mtumishi wa Mungu kwa kazi maalum. Yaani ni watu wasiojulikana wa Mungu.

Nawasilisha.
 
Mhh,kuna hoja!!
Ndo maaa watu hujikuta(baada ya kukubali kushawishika)wanasema'shetani alinipitia' maana yake ushawishi unatangulia alau shaytwan akishaona huyu kauvaa mkenge ye anakuja na kukukumbusha kwamba tayari nimeku-blue tick yaani naenda kukusemea sasa nawewe ndo unaanza kumlaumu aliyekukumbusha(kumbuka sisi ni wapenda kumwanhushia yeyite jumba bovu)huku tukidhani tukimsingizia shetan tyar tutapunguza ukali wa kosa.

Daa umechambua bro!
 
Aaah kuna namna kibao tu za kumuelewa shetani.

Unaweza hata ukatumia ile ya wewe wewe ukiasi ukafanya maovu ndio shetani.

Afu kuhusu nyoka na matunda, ni lugha ya picha zaidi zaidi mzeebaba.
 
Nawasalimia wote JF.

Nimeamua kuandika jumbe mbalimbali kwa lengo la kufundisha na kuwafumbua macho waliotayari.

Leo hii nitaongelea suala la huyu anayeitwa shetani. Imetokea kuogopwa sana na kuonekana ni kiumbe hatari sana (Kiumbe wa kusadikika).

Kwa kuwa nililelewa katika dini ya kikristo nimekuwa nikikaa na kuyatafakari maandiko matakatifu.

Nikiri kwamba biblia imejaa uvuvio wa roho. Ndani ya hiyo biblia kuna mambo ukiyafanya na kuyachukulia serious unafanikiwa sana.

Katika kuyasoma maandiko nimekuja kugundua kwamba:-

1. Aliye laaniwa katika bustani ya edeni siyo shetani bali ni nyoka.
Mwanzo 3 inaeleza yote kwa Nyoka alikuwa "mwelevu" kuliko wanyama wote wa mwituni. Maana yake Nyoka alikuwa na akili. Alikuwa anajua mambo mengi. Na ikumbukwe wanyama waliumbwa kabla ya watu.

Na kwa jinsi ninavyotafakari kwa kina. Mungu alipowaumba wanyama, ilipita muda, kwamba hao wanyama walipewa mafundisho mbalimbali na Mungu. Ikatokea Nyoka akawa na akili kuliko wengine. Lakini Mungu akaona aumbe mtu kwa mfano wao.

Hapa tunaona kabisa aliyeenda kuongea na Hawa ni Nyoka. Na hapa ukisoma issue Hawa ndiye aliyeongea uongo. Yeye nyoka alimuuliza Swali linaloanzia na "eti" Mungu kawakataza kula matunda ya miti yote!?

Hawa aliongezea umbea kwa mti wa kati wamekatazwa hata kuugusa.

Sehemu ya pili ni pale Mungu anatoa laana. Utakuta yule aliyelaaniwa ni Nyoka na siyo Shetani.

Mfundisho:- Yule atakayeweza kuwasiliana na Nyoka huenda akajuwa mambo mengi sana, kwa sababu yeye ni mwelevu.

2. Ayubu alikuwa akimtumikia YAHWEH kwa uelekevu. Ukisoma Ayubu Sura ya 2. Utaona wana wa Mungu walipoenda kujihudhurisha Mbele ya Yahweh Shetani naye alikuwepo.

Hapa tunaona kabisa kuwa Shetani na wana wa Yahweh hawana ugomvi wowote. Maana yake na yeye ni sehemu ya hao. Ukiendelea kusoma Yahweh alimuuliza Shetani kuwa ametoka wapi!? Na akamuuliza kuwa amemuona Ayubu, maana shetani alikuwa akipeleka taarifa kwa Mungu kuhusu Ayubu.

Kwa kukatisha Maelezo Shetani alikuwa akiripoti mara kwa mara kwa Yahweh.

Fundisho:- Shetani ni kati ya watumishi wa Yahweh.

3. Yesu alipokuwa akiwafundisha wanafunzi wake namna ya kusali. Alisema salini hivi:-

Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako kitukuzwe, ufalme wako uje, mapenzi yako tatimizwa hapa duniani kama huko mbinguni, usitutie majaribuni (Katika vishawishi)......

Sasa hapa tunaona wazi kabisa kumbe Baba aliye mbinguni ndiye anayetutia sisi katika vishawishi. Wala siyo shetani. Na ukiangalia sehemu nyingi katika Maandiko utaona namna Mungu alivyokuwa akiwatia kwenye vishawishi. Wengine alikuwa akiwatia moyo mgumu.

Mfano Farao alitiwa moyo mgumu na Mungu mwenyewe. Sauli alitiwa roho mbaya. Daudi alijazwa ushawishi na Mungu ili awahesabu wana wa Israeli.
Fundisho:- Hapa tunaona anayewaweka kwenye vishawishi huwa ni Mungu mwenyewe.

SHETANI NI NANI!?
Ukifuatilia kwa makini sana kwenye biblia utagundua, Shetani ni kati ya watumishi waaminifu wa Mungu. Kwamba shetani kazi yake ni kupeleka taarifa negative za mtu kwa Mungu. Yaani shetani ni mtumishi wa Mungu kwa kazi maalum. Yaani ni watu wasiojulikana wa Mungu.

Nawasilisha.
Shida hapa ni hoja zako kujengwa katika msingi wa IMEANDIKWA.....

Kimsingi SHETANI HAJAWAHI KUWEPO, NI KIINI MACHO.
 
Mtoa mada umewaza vizuri sana[emoji1531][emoji1477].

Kwa maneno mengine shetani ni mshtaki wetu, anatushtakia kwa Mungu. Kwa upande mwengine Yesu ni Mtetezi wetu, Anatutetea kupitia kujitoa Kwake msalabani ndio maana Anatuambia tutubu tusamehewe na tusirudie tena dhambi.

Na kwa hali ilivyo, shetani anaenjoy sana anavyowasilisha mashtaka (negative info) kwa Mungu, akitarajia adhabu kali kwa huyo binadamu husika. Hapo ndio Anaibuka Mtetezi na sera Zake za uzima wa milele.

Wanasema shetani hana nguvu mbele ya binadamu ila ni binadamu mwenyewe kwa hiari yake anajitoa ufahamu, kisha mambo yakibumbuluka lawama kwa bob sheta..
Hebu tujitafakari wadau.
 
Mtoa mada umewaza vizuri sana[emoji1531][emoji1477].

Kwa maneno mengine shetani ni mshtaki wetu, anatushtakia kwa Mungu. Kwa upande mwengine Yesu ni Mtetezi wetu, Anatutetea kupitia kujitoa Kwake msalabani ndio maana Anatuambia tutubu tusamehewe na tusirudie tena dhambi.

Na kwa hali ilivyo, shetani anaenjoy sana anavyowasilisha mashtaka (negative info) kwa Mungu, akitarajia adhabu kali kwa huyo binadamu husika. Hapo ndio Anaibuka Mtetezi na sera Zake za uzima wa milele.

Wanasema shetani hana nguvu mbele ya binadamu ila ni binadamu mwenyewe kwa hiari yake anajitoa ufahamu, kisha mambo yakibumbuluka lawama kwa bob sheta..
Hebu tujitafakari wadau.
Duniani Kuna mitihani mingi kuhusu shetani ni mtihani usiokuwa na jawabu ni tungo tata
 
Nawasalimia wote JF.

Nimeamua kuandika jumbe mbalimbali kwa lengo la kufundisha na kuwafumbua macho waliotayari.

Leo hii nitaongelea suala la huyu anayeitwa shetani. Imetokea kuogopwa sana na kuonekana ni kiumbe hatari sana (Kiumbe wa kusadikika).

Kwa kuwa nililelewa katika dini ya kikristo nimekuwa nikikaa na kuyatafakari maandiko matakatifu.

Nikiri kwamba biblia imejaa uvuvio wa roho. Ndani ya hiyo biblia kuna mambo ukiyafanya na kuyachukulia serious unafanikiwa sana.

Katika kuyasoma maandiko nimekuja kugundua kwamba:-

1. Aliye laaniwa katika bustani ya edeni siyo shetani bali ni nyoka.
Mwanzo 3 inaeleza yote kwa Nyoka alikuwa "mwelevu" kuliko wanyama wote wa mwituni. Maana yake Nyoka alikuwa na akili. Alikuwa anajua mambo mengi. Na ikumbukwe wanyama waliumbwa kabla ya watu.

Na kwa jinsi ninavyotafakari kwa kina. Mungu alipowaumba wanyama, ilipita muda, kwamba hao wanyama walipewa mafundisho mbalimbali na Mungu. Ikatokea Nyoka akawa na akili kuliko wengine. Lakini Mungu akaona aumbe mtu kwa mfano wao.

Hapa tunaona kabisa aliyeenda kuongea na Hawa ni Nyoka. Na hapa ukisoma issue Hawa ndiye aliyeongea uongo. Yeye nyoka alimuuliza Swali linaloanzia na "eti" Mungu kawakataza kula matunda ya miti yote!?

Hawa aliongezea umbea kwa mti wa kati wamekatazwa hata kuugusa.

Sehemu ya pili ni pale Mungu anatoa laana. Utakuta yule aliyelaaniwa ni Nyoka na siyo Shetani.

Mfundisho:- Yule atakayeweza kuwasiliana na Nyoka huenda akajuwa mambo mengi sana, kwa sababu yeye ni mwelevu.

2. Ayubu alikuwa akimtumikia YAHWEH kwa uelekevu. Ukisoma Ayubu Sura ya 2. Utaona wana wa Mungu walipoenda kujihudhurisha Mbele ya Yahweh Shetani naye alikuwepo.

Hapa tunaona kabisa kuwa Shetani na wana wa Yahweh hawana ugomvi wowote. Maana yake na yeye ni sehemu ya hao. Ukiendelea kusoma Yahweh alimuuliza Shetani kuwa ametoka wapi!? Na akamuuliza kuwa amemuona Ayubu, maana shetani alikuwa akipeleka taarifa kwa Mungu kuhusu Ayubu.

Kwa kukatisha Maelezo Shetani alikuwa akiripoti mara kwa mara kwa Yahweh.

Fundisho:- Shetani ni kati ya watumishi wa Yahweh.

3. Yesu alipokuwa akiwafundisha wanafunzi wake namna ya kusali. Alisema salini hivi:-

Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako kitukuzwe, ufalme wako uje, mapenzi yako tatimizwa hapa duniani kama huko mbinguni, usitutie majaribuni (Katika vishawishi)......

Sasa hapa tunaona wazi kabisa kumbe Baba aliye mbinguni ndiye anayetutia sisi katika vishawishi. Wala siyo shetani. Na ukiangalia sehemu nyingi katika Maandiko utaona namna Mungu alivyokuwa akiwatia kwenye vishawishi. Wengine alikuwa akiwatia moyo mgumu.

Mfano Farao alitiwa moyo mgumu na Mungu mwenyewe. Sauli alitiwa roho mbaya. Daudi alijazwa ushawishi na Mungu ili awahesabu wana wa Israeli.
Fundisho:- Hapa tunaona anayewaweka kwenye vishawishi huwa ni Mungu mwenyewe.

SHETANI NI NANI!?
Ukifuatilia kwa makini sana kwenye biblia utagundua, Shetani ni kati ya watumishi waaminifu wa Mungu. Kwamba shetani kazi yake ni kupeleka taarifa negative za mtu kwa Mungu. Yaani shetani ni mtumishi wa Mungu kwa kazi maalum. Yaani ni watu wasiojulikana wa Mungu.

Nawasilisha.
Huyu Mwanetu shetani vitu vizuri vyote vya duniani ni vyake.
 
Shida hapa ni hoja zako kujengwa katika msingi wa IMEANDIKWA.....

Kimsingi SHETANI HAJAWAHI KUWEPO, NI KIINI MACHO.
Shetani yupo ni mshikaji flani hivi kumwelewa uwe na uwezo mkubwa wa kuchanganua mambo.
 
Shetani ni mshitaki wetu asiyelala muda wote yuko macho kuona tunakosea wapi ili apeleke taarifa zetu kwa Mungu.

Mungu pia anashikwa kwa neno lake,Mungu ni wa haki na husikiliza mashtaka ya kila mmoja na kutoa hukumu sawa sawa na mashtaka yalivyokuja kwake.

Lakini pia Mungu anaweza kuamua lolote kwa yeyote pasipo kumsikiliza malaika, wanadamu wala shetani mwenyewe mshataki. Anasema alichokikasa Yeye mtu asiseme najisi.

Wanadamu hatutakiwi kuiga makosa ya mwingine kwasababu kosa unaloliona wewe kwa mwenzako linaweza kuwa si kosa kwa Mungu. Kila mmoja wetu ana kazi maalumu hapa duniani, cha msingi ni kuisikiliza sauti ndani yako na amani ya moyo wako inakuongoza kufanya nini.
 
Haya mambo yanaitaji snaa utulivuu wa akili na sio mihemko kama watu wanavofanyaga... twenden kaziii nipate vitu vipya
 
Back
Top Bottom