Uhalisia wa Shetani (Utaifahamu kweli, na hiyo kweli itakuweka huru)

Uhalisia wa Shetani (Utaifahamu kweli, na hiyo kweli itakuweka huru)

Nawasalimia wote JF.

Nimeamua kuandika jumbe mbalimbali kwa lengo la kufundisha na kuwafumbua macho waliotayari.

Leo hii nitaongelea suala la huyu anayeitwa shetani. Imetokea kuogopwa sana na kuonekana ni kiumbe hatari sana (Kiumbe wa kusadikika).

Kwa kuwa nililelewa katika dini ya kikristo nimekuwa nikikaa na kuyatafakari maandiko matakatifu.

Nikiri kwamba biblia imejaa uvuvio wa roho. Ndani ya hiyo biblia kuna mambo ukiyafanya na kuyachukulia serious unafanikiwa sana.

Katika kuyasoma maandiko nimekuja kugundua kwamba:-

1. Aliye laaniwa katika bustani ya edeni siyo shetani bali ni nyoka.
Mwanzo 3 inaeleza yote kwa Nyoka alikuwa "mwelevu" kuliko wanyama wote wa mwituni. Maana yake Nyoka alikuwa na akili. Alikuwa anajua mambo mengi. Na ikumbukwe wanyama waliumbwa kabla ya watu.

Na kwa jinsi ninavyotafakari kwa kina. Mungu alipowaumba wanyama, ilipita muda, kwamba hao wanyama walipewa mafundisho mbalimbali na Mungu. Ikatokea Nyoka akawa na akili kuliko wengine. Lakini Mungu akaona aumbe mtu kwa mfano wao.

Hapa tunaona kabisa aliyeenda kuongea na Hawa ni Nyoka. Na hapa ukisoma issue Hawa ndiye aliyeongea uongo. Yeye nyoka alimuuliza Swali linaloanzia na "eti" Mungu kawakataza kula matunda ya miti yote!?

Hawa aliongezea umbea kwa mti wa kati wamekatazwa hata kuugusa.

Sehemu ya pili ni pale Mungu anatoa laana. Utakuta yule aliyelaaniwa ni Nyoka na siyo Shetani.

Mfundisho:- Yule atakayeweza kuwasiliana na Nyoka huenda akajuwa mambo mengi sana, kwa sababu yeye ni mwelevu.

2. Ayubu alikuwa akimtumikia YAHWEH kwa uelekevu. Ukisoma Ayubu Sura ya 2. Utaona wana wa Mungu walipoenda kujihudhurisha Mbele ya Yahweh Shetani naye alikuwepo.

Hapa tunaona kabisa kuwa Shetani na wana wa Yahweh hawana ugomvi wowote. Maana yake na yeye ni sehemu ya hao. Ukiendelea kusoma Yahweh alimuuliza Shetani kuwa ametoka wapi!? Na akamuuliza kuwa amemuona Ayubu, maana shetani alikuwa akipeleka taarifa kwa Mungu kuhusu Ayubu.

Kwa kukatisha Maelezo Shetani alikuwa akiripoti mara kwa mara kwa Yahweh.

Fundisho:- Shetani ni kati ya watumishi wa Yahweh.

3. Yesu alipokuwa akiwafundisha wanafunzi wake namna ya kusali. Alisema salini hivi:-

Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako kitukuzwe, ufalme wako uje, mapenzi yako tatimizwa hapa duniani kama huko mbinguni, usitutie majaribuni (Katika vishawishi)......

Sasa hapa tunaona wazi kabisa kumbe Baba aliye mbinguni ndiye anayetutia sisi katika vishawishi. Wala siyo shetani. Na ukiangalia sehemu nyingi katika Maandiko utaona namna Mungu alivyokuwa akiwatia kwenye vishawishi. Wengine alikuwa akiwatia moyo mgumu.

Mfano Farao alitiwa moyo mgumu na Mungu mwenyewe. Sauli alitiwa roho mbaya. Daudi alijazwa ushawishi na Mungu ili awahesabu wana wa Israeli.
Fundisho:- Hapa tunaona anayewaweka kwenye vishawishi huwa ni Mungu mwenyewe.

SHETANI NI NANI!?
Ukifuatilia kwa makini sana kwenye biblia utagundua, Shetani ni kati ya watumishi waaminifu wa Mungu. Kwamba shetani kazi yake ni kupeleka taarifa negative za mtu kwa Mungu. Yaani shetani ni mtumishi wa Mungu kwa kazi maalum. Yaani ni watu wasiojulikana wa Mungu.

Nawasilisha.
Kwanza lazima ujue shetani aliumbwa na Mungu.
Kazi kubwa ya shetani ni kuwashitaki wanadamu kwa Mungu wale wanaovunja Sheria ama torati.
Ukisoma inaonekana kama shetani kazi yake ni Ku prove kuwa binadamu hana haki ya kuishi kwa vile hawezi kushika sheria za Mungu,kitu ambacho ni ukweli mchungu ni kuwa ni kweli binadamu mwenye mwili huu hawezi kushika sheria ya Mungu.

Kosa la mwanadamu ni kutamani maarifa ya ujuzi wa mema na mabaya.
Awali aliumbwa kujua mema tu hadi hapo alipokula tunda la mti wa ujuzi wa mema na mabaya.

Mungu akijua wazi kuwa kwa kosa hilo ambalo linamgharimu binadamu kifo,ambapo shetani ni kama alikuwa na wivu wa kuona mwanadamu anapendwa na Mungu alistahili afe kwa makosa yake,Mungu huyu huyu anayetupenda alifanya mpango wa wokovu wa mwanadamu.
Ndipo alimtoa mwanaye wa pekee afe kwa ajili ya mwanadamu,na kila amwaminiye asipotee,Bali awe na uzima wa milele.

Kwa hiyo imeandikwa katika warumi 8:1 ya kuwa "Hakuna hukumu ya adhabu juu ya aliye katika Kristo Yesu.

Wote waaminio tunahesabiwa haki bure kwa neema tu.Mungu mwenyewe aliyetuumba upya,ata install application na updates za kutufanya tuwe watakatifu.Sisi kazi yetu ni kumwamini Kristo naye ataikamilisha kazi aliyoianza ndani yetu.
 
Mtoa mada umewaza vizuri sana[emoji1531][emoji1477].

Kwa maneno mengine shetani ni mshtaki wetu, anatushtakia kwa Mungu. Kwa upande mwengine Yesu ni Mtetezi wetu, Anatutetea kupitia kujitoa Kwake msalabani ndio maana Anatuambia tutubu tusamehewe na tusirudie tena dhambi.

Na kwa hali ilivyo, shetani anaenjoy sana anavyowasilisha mashtaka (negative info) kwa Mungu, akitarajia adhabu kali kwa huyo binadamu husika. Hapo ndio Anaibuka Mtetezi na sera Zake za uzima wa milele.

Wanasema shetani hana nguvu mbele ya binadamu ila ni binadamu mwenyewe kwa hiari yake anajitoa ufahamu, kisha mambo yakibumbuluka lawama kwa bob sheta..
Hebu tujitafakari wadau.
Una hoja[emoji106]
 
ili warumi wapige jackpot au kwa malengo yapi???
Kueneza utumwa na kalitawala bara la afrika, kiufupi Ni ili wapige Ela.

Hakuna dhehebu tajiri duniani Kama waroma, wanamiliki robo ya utajiri wa Dunia nzima[emoji4]
 
Nawasalimia wote JF.

Nimeamua kuandika jumbe mbalimbali kwa lengo la kufundisha na kuwafumbua macho waliotayari.

Leo hii nitaongelea suala la huyu anayeitwa shetani. Imetokea kuogopwa sana na kuonekana ni kiumbe hatari sana (Kiumbe wa kusadikika).

Kwa kuwa nililelewa katika dini ya kikristo nimekuwa nikikaa na kuyatafakari maandiko matakatifu.

Nikiri kwamba biblia imejaa uvuvio wa roho. Ndani ya hiyo biblia kuna mambo ukiyafanya na kuyachukulia serious unafanikiwa sana.

Katika kuyasoma maandiko nimekuja kugundua kwamba:-

1. Aliye laaniwa katika bustani ya edeni siyo shetani bali ni nyoka.
Mwanzo 3 inaeleza yote kwa Nyoka alikuwa "mwelevu" kuliko wanyama wote wa mwituni. Maana yake Nyoka alikuwa na akili. Alikuwa anajua mambo mengi. Na ikumbukwe wanyama waliumbwa kabla ya watu.

Na kwa jinsi ninavyotafakari kwa kina. Mungu alipowaumba wanyama, ilipita muda, kwamba hao wanyama walipewa mafundisho mbalimbali na Mungu. Ikatokea Nyoka akawa na akili kuliko wengine. Lakini Mungu akaona aumbe mtu kwa mfano wao.

Hapa tunaona kabisa aliyeenda kuongea na Hawa ni Nyoka. Na hapa ukisoma issue Hawa ndiye aliyeongea uongo. Yeye nyoka alimuuliza Swali linaloanzia na "eti" Mungu kawakataza kula matunda ya miti yote!?

Hawa aliongezea umbea kwa mti wa kati wamekatazwa hata kuugusa.

Sehemu ya pili ni pale Mungu anatoa laana. Utakuta yule aliyelaaniwa ni Nyoka na siyo Shetani.

Mfundisho:- Yule atakayeweza kuwasiliana na Nyoka huenda akajuwa mambo mengi sana, kwa sababu yeye ni mwelevu.

2. Ayubu alikuwa akimtumikia YAHWEH kwa uelekevu. Ukisoma Ayubu Sura ya 2. Utaona wana wa Mungu walipoenda kujihudhurisha Mbele ya Yahweh Shetani naye alikuwepo.

Hapa tunaona kabisa kuwa Shetani na wana wa Yahweh hawana ugomvi wowote. Maana yake na yeye ni sehemu ya hao. Ukiendelea kusoma Yahweh alimuuliza Shetani kuwa ametoka wapi!? Na akamuuliza kuwa amemuona Ayubu, maana shetani alikuwa akipeleka taarifa kwa Mungu kuhusu Ayubu.

Kwa kukatisha Maelezo Shetani alikuwa akiripoti mara kwa mara kwa Yahweh.

Fundisho:- Shetani ni kati ya watumishi wa Yahweh.

3. Yesu alipokuwa akiwafundisha wanafunzi wake namna ya kusali. Alisema salini hivi:-

Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako kitukuzwe, ufalme wako uje, mapenzi yako tatimizwa hapa duniani kama huko mbinguni, usitutie majaribuni (Katika vishawishi)......

Sasa hapa tunaona wazi kabisa kumbe Baba aliye mbinguni ndiye anayetutia sisi katika vishawishi. Wala siyo shetani. Na ukiangalia sehemu nyingi katika Maandiko utaona namna Mungu alivyokuwa akiwatia kwenye vishawishi. Wengine alikuwa akiwatia moyo mgumu.

Mfano Farao alitiwa moyo mgumu na Mungu mwenyewe. Sauli alitiwa roho mbaya. Daudi alijazwa ushawishi na Mungu ili awahesabu wana wa Israeli.
Fundisho:- Hapa tunaona anayewaweka kwenye vishawishi huwa ni Mungu mwenyewe.

SHETANI NI NANI!?
Ukifuatilia kwa makini sana kwenye biblia utagundua, Shetani ni kati ya watumishi waaminifu wa Mungu. Kwamba shetani kazi yake ni kupeleka taarifa negative za mtu kwa Mungu. Yaani shetani ni mtumishi wa Mungu kwa kazi maalum. Yaani ni watu wasiojulikana wa Mungu.

Nawasilisha.
Mtoa mada nenda hospitali iliyo karibu nawe kwa ajili ya vipimo vya mkojo.
It seems kama sio kichocho basi ni U.T.I sugu inakuandama.
Sasa shetani atakuwaje ni mtumishi wa Mungu wakati kwa mujibu wa maandiko yeye kafukuzwa kwenye rehma za Mungu

?
?
?
 
Katika dini ya ISLAMIC huyo kiumbe muasi alikuwa anaitwa IBILIS baada ya kuasi ndio akaitwa SHETANI.


MUNGU mmoja aliwaita Malaika mbele yake na akiwepo IBILISI ambaye yeye pia alikuwa ni miongoni mwa malaika maana kabla ya kufanywa kuwa malaika alikuwa ni JINI.

Kwahiyo MUNGU mmoja akaweka vitu mbele yao wale Malaika na akawaambia wavitaje majina ya vitu vile...Hakaki walishindwa na hapo MUNGU mmoja akamwambia ADAM awatajie majina ya vile vitu na kwale Adam alivitaja vyote maana tayali alishapewa elimu ya kujua majina ya vitu.

MUNGU mmoja akawaambia malaika wamsujudie Adam yaani kuumpa heshima kweli malaika wakafanya vile ispokuwa IBILIS alikataa.

Hapo sasa balaa ndio lilipo anzia 😂😂😂😂😂😂😂

Baada ya kulaniwa sasa ndio akaitwa SHETANI.
 
Isaiah 45:7
1674377728305.jpeg


7 I form the light, and create darkness:
I make peace, and create evil:
I the Lord do all these things.
 
Nawasalimia wote JF.

Nimeamua kuandika jumbe mbalimbali kwa lengo la kufundisha na kuwafumbua macho waliotayari.

Leo hii nitaongelea suala la huyu anayeitwa shetani. Imetokea kuogopwa sana na kuonekana ni kiumbe hatari sana (Kiumbe wa kusadikika).

Kwa kuwa nililelewa katika dini ya kikristo nimekuwa nikikaa na kuyatafakari maandiko matakatifu.

Nikiri kwamba biblia imejaa uvuvio wa roho. Ndani ya hiyo biblia kuna mambo ukiyafanya na kuyachukulia serious unafanikiwa sana.

Katika kuyasoma maandiko nimekuja kugundua kwamba:-

1. Aliye laaniwa katika bustani ya edeni siyo shetani bali ni nyoka.
Mwanzo 3 inaeleza yote kwa Nyoka alikuwa "mwelevu" kuliko wanyama wote wa mwituni. Maana yake Nyoka alikuwa na akili. Alikuwa anajua mambo mengi. Na ikumbukwe wanyama waliumbwa kabla ya watu.

Na kwa jinsi ninavyotafakari kwa kina. Mungu alipowaumba wanyama, ilipita muda, kwamba hao wanyama walipewa mafundisho mbalimbali na Mungu. Ikatokea Nyoka akawa na akili kuliko wengine. Lakini Mungu akaona aumbe mtu kwa mfano wao.

Hapa tunaona kabisa aliyeenda kuongea na Hawa ni Nyoka. Na hapa ukisoma issue Hawa ndiye aliyeongea uongo. Yeye nyoka alimuuliza Swali linaloanzia na "eti" Mungu kawakataza kula matunda ya miti yote!?

Hawa aliongezea umbea kwa mti wa kati wamekatazwa hata kuugusa.

Sehemu ya pili ni pale Mungu anatoa laana. Utakuta yule aliyelaaniwa ni Nyoka na siyo Shetani.

Mfundisho:- Yule atakayeweza kuwasiliana na Nyoka huenda akajuwa mambo mengi sana, kwa sababu yeye ni mwelevu.

2. Ayubu alikuwa akimtumikia YAHWEH kwa uelekevu. Ukisoma Ayubu Sura ya 2. Utaona wana wa Mungu walipoenda kujihudhurisha Mbele ya Yahweh Shetani naye alikuwepo.

Hapa tunaona kabisa kuwa Shetani na wana wa Yahweh hawana ugomvi wowote. Maana yake na yeye ni sehemu ya hao. Ukiendelea kusoma Yahweh alimuuliza Shetani kuwa ametoka wapi!? Na akamuuliza kuwa amemuona Ayubu, maana shetani alikuwa akipeleka taarifa kwa Mungu kuhusu Ayubu.

Kwa kukatisha Maelezo Shetani alikuwa akiripoti mara kwa mara kwa Yahweh.

Fundisho:- Shetani ni kati ya watumishi wa Yahweh.

3. Yesu alipokuwa akiwafundisha wanafunzi wake namna ya kusali. Alisema salini hivi:-

Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako kitukuzwe, ufalme wako uje, mapenzi yako tatimizwa hapa duniani kama huko mbinguni, usitutie majaribuni (Katika vishawishi)......

Sasa hapa tunaona wazi kabisa kumbe Baba aliye mbinguni ndiye anayetutia sisi katika vishawishi. Wala siyo shetani. Na ukiangalia sehemu nyingi katika Maandiko utaona namna Mungu alivyokuwa akiwatia kwenye vishawishi. Wengine alikuwa akiwatia moyo mgumu.

Mfano Farao alitiwa moyo mgumu na Mungu mwenyewe. Sauli alitiwa roho mbaya. Daudi alijazwa ushawishi na Mungu ili awahesabu wana wa Israeli.
Fundisho:- Hapa tunaona anayewaweka kwenye vishawishi huwa ni Mungu mwenyewe.

SHETANI NI NANI!?
Ukifuatilia kwa makini sana kwenye biblia utagundua, Shetani ni kati ya watumishi waaminifu wa Mungu. Kwamba shetani kazi yake ni kupeleka taarifa negative za mtu kwa Mungu. Yaani shetani ni mtumishi wa Mungu kwa kazi maalum. Yaani ni watu wasiojulikana wa Mungu.

Nawasilisha.
Mpingeni shetani naye atawakimbia (Yak 4:7-10). Huyu sio mtumishi mwaminifu wa Mungu!
 
Nawasalimia wote JF.

Nimeamua kuandika jumbe mbalimbali kwa lengo la kufundisha na kuwafumbua macho waliotayari.

Leo hii nitaongelea suala la huyu anayeitwa shetani. Imetokea kuogopwa sana na kuonekana ni kiumbe hatari sana (Kiumbe wa kusadikika).

Kwa kuwa nililelewa katika dini ya kikristo nimekuwa nikikaa na kuyatafakari maandiko matakatifu.

Nikiri kwamba biblia imejaa uvuvio wa roho. Ndani ya hiyo biblia kuna mambo ukiyafanya na kuyachukulia serious unafanikiwa sana.

Katika kuyasoma maandiko nimekuja kugundua kwamba:-

1. Aliye laaniwa katika bustani ya edeni siyo shetani bali ni nyoka.
Mwanzo 3 inaeleza yote kwa Nyoka alikuwa "mwelevu" kuliko wanyama wote wa mwituni. Maana yake Nyoka alikuwa na akili. Alikuwa anajua mambo mengi. Na ikumbukwe wanyama waliumbwa kabla ya watu.

Na kwa jinsi ninavyotafakari kwa kina. Mungu alipowaumba wanyama, ilipita muda, kwamba hao wanyama walipewa mafundisho mbalimbali na Mungu. Ikatokea Nyoka akawa na akili kuliko wengine. Lakini Mungu akaona aumbe mtu kwa mfano wao.

Hapa tunaona kabisa aliyeenda kuongea na Hawa ni Nyoka. Na hapa ukisoma issue Hawa ndiye aliyeongea uongo. Yeye nyoka alimuuliza Swali linaloanzia na "eti" Mungu kawakataza kula matunda ya miti yote!?

Hawa aliongezea umbea kwa mti wa kati wamekatazwa hata kuugusa.

Sehemu ya pili ni pale Mungu anatoa laana. Utakuta yule aliyelaaniwa ni Nyoka na siyo Shetani.

Mfundisho:- Yule atakayeweza kuwasiliana na Nyoka huenda akajuwa mambo mengi sana, kwa sababu yeye ni mwelevu.

2. Ayubu alikuwa akimtumikia YAHWEH kwa uelekevu. Ukisoma Ayubu Sura ya 2. Utaona wana wa Mungu walipoenda kujihudhurisha Mbele ya Yahweh Shetani naye alikuwepo.

Hapa tunaona kabisa kuwa Shetani na wana wa Yahweh hawana ugomvi wowote. Maana yake na yeye ni sehemu ya hao. Ukiendelea kusoma Yahweh alimuuliza Shetani kuwa ametoka wapi!? Na akamuuliza kuwa amemuona Ayubu, maana shetani alikuwa akipeleka taarifa kwa Mungu kuhusu Ayubu.

Kwa kukatisha Maelezo Shetani alikuwa akiripoti mara kwa mara kwa Yahweh.

Fundisho:- Shetani ni kati ya watumishi wa Yahweh.

3. Yesu alipokuwa akiwafundisha wanafunzi wake namna ya kusali. Alisema salini hivi:-

Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako kitukuzwe, ufalme wako uje, mapenzi yako tatimizwa hapa duniani kama huko mbinguni, usitutie majaribuni (Katika vishawishi)......

Sasa hapa tunaona wazi kabisa kumbe Baba aliye mbinguni ndiye anayetutia sisi katika vishawishi. Wala siyo shetani. Na ukiangalia sehemu nyingi katika Maandiko utaona namna Mungu alivyokuwa akiwatia kwenye vishawishi. Wengine alikuwa akiwatia moyo mgumu.

Mfano Farao alitiwa moyo mgumu na Mungu mwenyewe. Sauli alitiwa roho mbaya. Daudi alijazwa ushawishi na Mungu ili awahesabu wana wa Israeli.
Fundisho:- Hapa tunaona anayewaweka kwenye vishawishi huwa ni Mungu mwenyewe.

SHETANI NI NANI!?
Ukifuatilia kwa makini sana kwenye biblia utagundua, Shetani ni kati ya watumishi waaminifu wa Mungu. Kwamba shetani kazi yake ni kupeleka taarifa negative za mtu kwa Mungu. Yaani shetani ni mtumishi wa Mungu kwa kazi maalum. Yaani ni watu wasiojulikana wa Mungu.

Nawasilisha.

Shetan alikua malaika wa sifa! (Chawa wa Mungu) baada ya kupata sifa zikazidi kichwa na kuamua kujifanya kuwa Mungu ndipo akalaaniwa!
Ila kweli shetan ni mtiifu wa Mungu
 
Nawasalimia wote JF.

Nimeamua kuandika jumbe mbalimbali kwa lengo la kufundisha na kuwafumbua macho waliotayari.

Leo hii nitaongelea suala la huyu anayeitwa shetani. Imetokea kuogopwa sana na kuonekana ni kiumbe hatari sana (Kiumbe wa kusadikika).

Kwa kuwa nililelewa katika dini ya kikristo nimekuwa nikikaa na kuyatafakari maandiko matakatifu.

Nikiri kwamba biblia imejaa uvuvio wa roho. Ndani ya hiyo biblia kuna mambo ukiyafanya na kuyachukulia serious unafanikiwa sana.

Katika kuyasoma maandiko nimekuja kugundua kwamba:-

1. Aliye laaniwa katika bustani ya edeni siyo shetani bali ni nyoka.
Mwanzo 3 inaeleza yote kwa Nyoka alikuwa "mwelevu" kuliko wanyama wote wa mwituni. Maana yake Nyoka alikuwa na akili. Alikuwa anajua mambo mengi. Na ikumbukwe wanyama waliumbwa kabla ya watu.

Na kwa jinsi ninavyotafakari kwa kina. Mungu alipowaumba wanyama, ilipita muda, kwamba hao wanyama walipewa mafundisho mbalimbali na Mungu. Ikatokea Nyoka akawa na akili kuliko wengine. Lakini Mungu akaona aumbe mtu kwa mfano wao.

Hapa tunaona kabisa aliyeenda kuongea na Hawa ni Nyoka. Na hapa ukisoma issue Hawa ndiye aliyeongea uongo. Yeye nyoka alimuuliza Swali linaloanzia na "eti" Mungu kawakataza kula matunda ya miti yote!?

Hawa aliongezea umbea kwa mti wa kati wamekatazwa hata kuugusa.

Sehemu ya pili ni pale Mungu anatoa laana. Utakuta yule aliyelaaniwa ni Nyoka na siyo Shetani.

Mfundisho:- Yule atakayeweza kuwasiliana na Nyoka huenda akajuwa mambo mengi sana, kwa sababu yeye ni mwelevu.

2. Ayubu alikuwa akimtumikia YAHWEH kwa uelekevu. Ukisoma Ayubu Sura ya 2. Utaona wana wa Mungu walipoenda kujihudhurisha Mbele ya Yahweh Shetani naye alikuwepo.

Hapa tunaona kabisa kuwa Shetani na wana wa Yahweh hawana ugomvi wowote. Maana yake na yeye ni sehemu ya hao. Ukiendelea kusoma Yahweh alimuuliza Shetani kuwa ametoka wapi!? Na akamuuliza kuwa amemuona Ayubu, maana shetani alikuwa akipeleka taarifa kwa Mungu kuhusu Ayubu.

Kwa kukatisha Maelezo Shetani alikuwa akiripoti mara kwa mara kwa Yahweh.

Fundisho:- Shetani ni kati ya watumishi wa Yahweh.

3. Yesu alipokuwa akiwafundisha wanafunzi wake namna ya kusali. Alisema salini hivi:-

Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako kitukuzwe, ufalme wako uje, mapenzi yako tatimizwa hapa duniani kama huko mbinguni, usitutie majaribuni (Katika vishawishi)......

Sasa hapa tunaona wazi kabisa kumbe Baba aliye mbinguni ndiye anayetutia sisi katika vishawishi. Wala siyo shetani. Na ukiangalia sehemu nyingi katika Maandiko utaona namna Mungu alivyokuwa akiwatia kwenye vishawishi. Wengine alikuwa akiwatia moyo mgumu.

Mfano Farao alitiwa moyo mgumu na Mungu mwenyewe. Sauli alitiwa roho mbaya. Daudi alijazwa ushawishi na Mungu ili awahesabu wana wa Israeli.
Fundisho:- Hapa tunaona anayewaweka kwenye vishawishi huwa ni Mungu mwenyewe.

SHETANI NI NANI!?
Ukifuatilia kwa makini sana kwenye biblia utagundua, Shetani ni kati ya watumishi waaminifu wa Mungu. Kwamba shetani kazi yake ni kupeleka taarifa negative za mtu kwa Mungu. Yaani shetani ni mtumishi wa Mungu kwa kazi maalum. Yaani ni watu wasiojulikana wa Mungu.

Nawasilisha.
Shetani kimsingi ni wewe na wengine wanaoamini katika. ngonjera hizi.
 
Nawasalimia wote JF.

Nimeamua kuandika jumbe mbalimbali kwa lengo la kufundisha na kuwafumbua macho waliotayari.

Leo hii nitaongelea suala la huyu anayeitwa shetani. Imetokea kuogopwa sana na kuonekana ni kiumbe hatari sana (Kiumbe wa kusadikika).

Kwa kuwa nililelewa katika dini ya kikristo nimekuwa nikikaa na kuyatafakari maandiko matakatifu.

Nikiri kwamba biblia imejaa uvuvio wa roho. Ndani ya hiyo biblia kuna mambo ukiyafanya na kuyachukulia serious unafanikiwa sana.

Katika kuyasoma maandiko nimekuja kugundua kwamba:-

1. Aliye laaniwa katika bustani ya edeni siyo shetani bali ni nyoka.
Mwanzo 3 inaeleza yote kwa Nyoka alikuwa "mwelevu" kuliko wanyama wote wa mwituni. Maana yake Nyoka alikuwa na akili. Alikuwa anajua mambo mengi. Na ikumbukwe wanyama waliumbwa kabla ya watu.

Na kwa jinsi ninavyotafakari kwa kina. Mungu alipowaumba wanyama, ilipita muda, kwamba hao wanyama walipewa mafundisho mbalimbali na Mungu. Ikatokea Nyoka akawa na akili kuliko wengine. Lakini Mungu akaona aumbe mtu kwa mfano wao.

Hapa tunaona kabisa aliyeenda kuongea na Hawa ni Nyoka. Na hapa ukisoma issue Hawa ndiye aliyeongea uongo. Yeye nyoka alimuuliza Swali linaloanzia na "eti" Mungu kawakataza kula matunda ya miti yote!?

Hawa aliongezea umbea kwa mti wa kati wamekatazwa hata kuugusa.

Sehemu ya pili ni pale Mungu anatoa laana. Utakuta yule aliyelaaniwa ni Nyoka na siyo Shetani.

Mfundisho:- Yule atakayeweza kuwasiliana na Nyoka huenda akajuwa mambo mengi sana, kwa sababu yeye ni mwelevu.

2. Ayubu alikuwa akimtumikia YAHWEH kwa uelekevu. Ukisoma Ayubu Sura ya 2. Utaona wana wa Mungu walipoenda kujihudhurisha Mbele ya Yahweh Shetani naye alikuwepo.

Hapa tunaona kabisa kuwa Shetani na wana wa Yahweh hawana ugomvi wowote. Maana yake na yeye ni sehemu ya hao. Ukiendelea kusoma Yahweh alimuuliza Shetani kuwa ametoka wapi!? Na akamuuliza kuwa amemuona Ayubu, maana shetani alikuwa akipeleka taarifa kwa Mungu kuhusu Ayubu.

Kwa kukatisha Maelezo Shetani alikuwa akiripoti mara kwa mara kwa Yahweh.

Fundisho:- Shetani ni kati ya watumishi wa Yahweh.

3. Yesu alipokuwa akiwafundisha wanafunzi wake namna ya kusali. Alisema salini hivi:-

Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako kitukuzwe, ufalme wako uje, mapenzi yako tatimizwa hapa duniani kama huko mbinguni, usitutie majaribuni (Katika vishawishi)......

Sasa hapa tunaona wazi kabisa kumbe Baba aliye mbinguni ndiye anayetutia sisi katika vishawishi. Wala siyo shetani. Na ukiangalia sehemu nyingi katika Maandiko utaona namna Mungu alivyokuwa akiwatia kwenye vishawishi. Wengine alikuwa akiwatia moyo mgumu.

Mfano Farao alitiwa moyo mgumu na Mungu mwenyewe. Sauli alitiwa roho mbaya. Daudi alijazwa ushawishi na Mungu ili awahesabu wana wa Israeli.
Fundisho:- Hapa tunaona anayewaweka kwenye vishawishi huwa ni Mungu mwenyewe.

SHETANI NI NANI!?
Ukifuatilia kwa makini sana kwenye biblia utagundua, Shetani ni kati ya watumishi waaminifu wa Mungu. Kwamba shetani kazi yake ni kupeleka taarifa negative za mtu kwa Mungu. Yaani shetani ni mtumishi wa Mungu kwa kazi maalum. Yaani ni watu wasiojulikana wa Mungu.

Nawasilisha.

Story ya yakobo!
 
Back
Top Bottom