Uhalisia wa taifa la Israeli

Dah hongera sn.. umenifungua sn ni moja kati ya mambo yaliyokuwa yakinipa kufikiria sn
 
Hujaelewa maada labda kwakukusaidia nikueleweshe kwa kifupi tu,taifa halisi la israeli lilisambaratika kutoka lilipokuwa takribani miaka 2000 iliyopita! Sasa May 14,1948 kuna watu wakakusanyana wakarudi pale ilipokuwa israeli zamani wakasema wao ndio wana wa israeli (wayahudi) sasa utata unakuja vp?! hao waliorudi pale MUONEKANO WAO,MATENDO YAO,DINI YAO,TABIA ZAO ni tofauti na wale wana wa israeli ambao tumekuwa tukisoma habari zao katika biblia kuanzia kitabu cha mwanzo mpaka ufunuo wa yohana!, kurudi kwao hakukuandikwa kwenye biblia kwa namna hiyo waliyorudi,kurudi kwao kupo tofauti na namna wana wa israeli walivyokuwa wanarudi hapo awali,maandiko yoote yaliyotabiri kurudi kwa taifa la israeli hayaendani na hawa wana israeli waliorudi pale na pia hata tukijifanya kusema wao ndio wenyewe mbona hawana laana ile ya Kumbukumbu la Torati 28 yakumkataa Yesu kama masihi? kinyume chake ndiowatu waliofanikiwa na matajiri wakubwa kwenye uso wa dunia? au lile andiko la kumbukumbu la torati 28 la "ikiwa hutatii maagizo ya Bwana Mungu wako utafanywa mkia na sio kichwa na utalaaniwa kila sehemu" HALIFANYI KAZI SIKU HZ?,AU LIME EXPIRE? so kama tunakubaliana woote kuwa wayahudi walimkataa Yesu na kile kitabu cha kumbukumbu la torati 28 kipo sahihi mbona hawaa hawafit kwenye hayo maandiko??
Hii ndio ilikuwa hoja yangu mkuu.
 
Wamisri wa zamani ni weusi. Waarabu walivamia Afrika ya Kaskazini ikiwemo Misri na kuhamia pale karne 6 baada ya Kristo. Hivyo, hao weamisri unaowaona siyo Wale Mafarao waliojenga Pyramids na kuwatumikisha Wana wa Israel miaka ile ya Musa. Wale wa Enzi za Musa ni Weusi.
 
Yesu aliwaambaia wanafunzi wake hakuna jiwe litasalia juu ya jiwe na waombe dhiki hilo isitokee wakati wa baridi na ole wajawazito na wanyeshao kipindi hicho maana hiyo dhiki haijakuwako kabla. Unabii huo umetimizwa mwaka 70 baada ya Kristo baada ya majeshi ya Rumi chini ya Jenerali Tito walipovamia Yesusalemu na kuitia moto Hekalu la Wayahudi (la Sulemani). Yesu alisema yametia kuashiria kuwa sasa shetani amenyang'anywa mamlaka na wote wenye wenye kuuhitaji ufalme wa Mungu wataupata.
 
Wako utumwani kwa mataifa,soma mbona andishi lake limejibu,hao fake ni wazungu wapuuzi waliobadili historia nyingi duniani,
 
" I CANNOT RESPECT THE SO CALLED JEWS BECAUSE THE LEFT ISRAEL AS BLACK AND RETURNED WHITE"! Hapa ndio nimependa labda walijipaka kijiko wakabadili rangi ya ngozi huwezi jua ila hata mie huwa siamini kuhusu hawa wana wa israel naona ni kama mpango wa kumfumba macho fala wa kiafrika ambae anaamini kila kitu. Bro big up japo wengine wanakupondo hiyo ndio sign ya open minded.
 
NIMEKUELEWA SANAA..
UJUMBE UMEFIKA...
KM SIO MSOMAJI WA BIBLIA HUWEZ ELEWA....
MDHAHA ULETA DHAMBI
 
Shetani anawatesa watu kweliiii. Unapouliza utumwani wap ?? lengo lako uambiwe CANADA au MONGOLIA..huo n utoto someni maandiko SIO KUJIRAHISISHA KIMAWAZO KISA MZUNGU KAKUPA CM UNAMUAMIN
 
Kwa jinsi wale wana wa Israel wa enzi ya Biblia walivyokua....
Nikikumbuka kipindi wanamsema Musa nakumwambia bora uturudishe ulikotutoa Misri, nikikumbuka vile Mungu alivuokua anawasaidia toka Enzi ya Daudi...
Na kwa Tabia za Waafrica tulivyo, inawezekana Jews walikua Black kama sisi, manake Waaftica hatuna Shukrani.
 
Eti kweli Netanyahu anamjua Mungu??

Kuonea wenzake kazi,
 
MAKOSHNELI sijui kama watu watauelewa kabisa.
Kwa kifupi watu ni lazima wajue vitu muhimu vifuatavyo: Waebrania ndiyo Kabila na zile kumi na mbili ni koo.
Ukichambua toka nyuma kwa undani utakuja kuona ambavyo Waebrania walikuwa ni watu wa rangi mchanganyiko.
Kuna mengi ambayo yamefichika yatakuja kufichuka na wazungu wakiongozwa na Kanisa Katoliki watakuja jutia.
 
Mkuu, una uelewa mdogo mno wa Biblia. Unazungumzia kuhusu wao kumkataa Yesu na baadae unazungumzia kuhusu Nabii wa kuwarudisha nyumbani kwamba hajatokea? Hivi ulitaka Mungu afanye mambo kiagano la kale ilihali sasa tupo kwenye agano jipya!? Remember Wayahudi (waisraeli) walimkataa Yesu kwamba sio Masihi kwa vigezo kama 2 hivi; kwanza walisema hakuna kitu cha maana kitatoka Nazarethi na pia walimkataa Yesu kwakua maandiko yanasema kabla masihi hajaja lazima Elia aje kwanza but je Mungu alipingana na ahadi zake? La hasha, Yesu aliitwa Mnazarethi si kwasababu alikua mzaliwa wa kule bali alikulia tu huko, yeye alizaliwa Bethrehem kama ahadi ya Mungu ilivyo kua kwao but chenga ya mwili kwao Wayahudi ilitokana kule kuondoka mji huo wa Daudi hadi Misri na aliporudi from Misri alienda huko Nazareth na kuhusu Elia, Mungu aliweka roho ya Elia kwa Yohana mbatizaji; kwa vigezo hivyo viwili na of course kingine cha tatu ile kitendo cha kua sometimes anaonekana ana vunja sana SABATO basi waka confirm kwamba huyu sio masihi then wakamkataa; naziona dalili hizo kwako as well. Kihistoria taifa ambalo bado linawashikiria Wayahudi kwa wingi wao hadi sasa is only America, mataifa yalio mengi ukiondoa mataifa ya Uarabuni wengi wa Wayahudi wamerudi kwao, hivi hata ile escape from Sobibo hujaiona!?
Kipindi ambacho Wayahudi waliwahi chukuliwa utumwani sio wote walirudi nyumbani baada ya muda wa utumwa kwisha, refer ile safari ya utumwani Babel (sasa Iraq), watu kama kina Daniel bado waliendelea kua huko huko Babeli na hadi mauti pia yalimkutia huko huko ili hali ni miongoni mwa watu walio OMBA sana kwa Mungu wake kwa habari ya wao kurudi nyumbani. Mungu angekua msanii (kwa maana ya mbunifu) basi ana historia ya kuto rudia rudia alicho kifanya, hua anafanya mambo kiupya upya.
 
Ok kwa kutujuza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…