THK DJAYZZ
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 2,166
- 175
Checking...20%
Searching...0%
Network loading !
Near by Soweto Mbeya.
Searching...0%
Network loading !
Near by Soweto Mbeya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Checking...100%Mi nawazia hiyo laan unayoiongela wewe ya kumkataa Yesu,
Je Yesu hakusema baba wasamehe maana hawakui walietendalo? Je hakusema Imeisha, nini ilikua maana ya maneno hao,
Wakristo tuaminivyo baada ya Yesu kufa kila kitu kilifutwa na mambo yakaanza upya, ina maana hiyo laana yao haikuwa kwenye hesabu ya huo msamaha.
Pia hebu nisaidie hao wayahud unaowaongela wapo utumwani wapo nchi gan?
Mengine umeandika vizuri lakini kusema kwamba waMisri ni weusi nimeshindwa kukuelewa. Unaweza kuwa na point lkn ukiandika kiushabiki na umbumbumbu taarifa inakosa maana na hatima yake ni kukataliwa. Unataka niwaonee huruma wapalestina!!! nitafaidika nini? si heri niwatambue wayahudi hata kama sio sahihi maana angalau kuna maendeleo naweza faidika kuliko kuhubiri ugaidi wakati wote.
hongera mkuukuhusu weusi,ukifuata history itakwambia kuna kipindi Cush empire ilijipanua mpaka misri hadi caanan,
wacush ni weusi,that is why,damu zikaingiliana.
Kuhusu huwezi faidika na kitu ukiwaunga mkono wapalestina,kwani kwa hawa wazungu wa israel unafaidika nini mkuu?,
netanyau kaja africa juzi hajaacha hata kitu cha kuonyesha atawafaidisha nini.
Heri wapalestina kipindi cha mapambano ya makaburu walikuwa na mchango wa katika mapambano.
Ukiona wayahudi wanakuletea msaada ujue kuna interest zao hapo zimejificha.
Kama sikosei kwa mjibu wa bible alieambiwa ,atakaekulaani nami nitamlaani,ni Abraham.
Abraham ni baba wa mataifa mengi sio israel pekee,
abrahamu hakuwa myahudi,
wayahudi ni watu cunning,wakayageuza maandiko,na kuiba baraka za Mungu kwa abrahamu ili ionekane wao ndo walibarikiwa.
Yaani kama yakobo alivyomtapeli babake isaka na kupora baraka za Esau,wana wa jacobo,yaani waisrael wakajiporea baraka zoooote za Mungu kwa abrahamu ziwe zao pekee,
wakayaspin maandiko na kujianzishia mungu wa taifa lao pekee,Hao ndio wayahudi wamejaa hila kuliko binadamu yeyote.
Wanatukuza kipande cha ardhi kuliko wanavyomtukuza mungu,kwasababu mungu wao anahusianishwa na mambo ya ardhi
umeongea point kubwasanaYaani waafrika akili zetu zipo kwenye mikundu yetu. Hao wayahudi wanavyowadhalilisha wapelestina kwa kuwaua na kupora ardhi zao ambayo ni sawa na wale makaburu au wakoloni walivyotufanyia waafrika. Lakini leo hii anaepigania haki yake kama wapelestina wanaitwa magaidi hata ANC ya Afrika kusini wakati walipokuwa wanatafuta haki walikuwa branded na mataifa ya magharibi kama magaidi. Na wapigania uhuru wote walikuwa wanaitwa magaidi. Someni mjue.
Tafuta waosia wa mwisho wa Musa kwa Yuda ni uone ndio maana jamaa yupo hivyo alivyo kushinda kabila nyingine 11!Huwezi kutofautisha Kati ya myahudi na muisrael maana Wayahudi ni moja ya makabila 12 ya Israel ambalo ni kabila la Yuda alikotoka Yesu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Pumba bin Bashite, unaijuwa Population ya Wachina tu peke yake wako wangapi? Umewahi kumuona Black chinese?
Yani unaangaika hawaelewagi hawa jamaa wakikariri wamekaririHivi unajuwa chanzo cha mujahedeen ni Urusi kuivamia Afghanstan? Je unajuwa kwamba first mission ya Osama bin Laden ni Afghanistan alikwenda kujiunga na mujaheeden kupambana na majeshj ya uvamizi ya warusi?
Kwa lugha nyingine kama si Urusi kuivamia Afghanistan huenda basi hata Al qaeda isingeanzishwa na Osama asingekuwa gaidi.
Dini yako inakusisitiza iqraa-soma.
Israel ni taifaKwa mwenye taarifa sahihi kuhusu Israel ni taifa au Dini anieleweshe
Hizi tribes ukisoma historia vizuri baada ya mfalme Suleiman zilipasuka yani wakajitenga into two nationsHuwezi kutofautisha Kati ya myahudi na muisrael maana Wayahudi ni moja ya makabila 12 ya Israel ambalo ni kabila la Yuda alikotoka Yesu
Israel ni Yakobo yakobo alikuwa na watoto 12 so hao na uzao wao ndio umebeba jina la israelKwa mwenye taarifa sahihi kuhusu Israel ni taifa au Dini anieleweshe
Kabila ya yuda aka juda ndio Negro wa sasa wale waliouzwa kwenye trans saharan trade trouth west africa to usaHuwezi kutofautisha Kati ya myahudi na muisrael maana Wayahudi ni moja ya makabila 12 ya Israel ambalo ni kabila la Yuda alikotoka Yesu