Uhalisia wa taifa la Israeli

Uhalisia wa taifa la Israeli

Haionyeshi kama walichukua watu wengine njian au lah,,,Na tukumbuke jina Israel alipewa Jacob baada ya kumshinda malaika so kama sio uzao huo sidhan km kuna Israel nyingine
Israel ni mwanangu Mimi,mzaliwa wangu Wa kwanza mpe ruhusa aende jangwani akanitolee sadaka.ni maneno ya Mungu kwa farao katika kinywa cha musa akimanisha Wana wa yakobo, hivyo waisrael ni watoto wa yakobo isaka Ibrahim.na pale alipowapeleka kaanan ndiyo mipaka ya hilo taifa.kumbuka kulikuwa na watu wakiishi hapo na waisrael waliamriwa kuwaua lakini si kwa maramoja bali taratibu,na kuimiliki miji yao.
Nijuavyo hiyo ndiyo Israel na mipaka yake iko well defined lakini si kama ilivyo leo.Hii haiondoi uhuru wa kuibariki au kuilaani,kwani imeandikwa atakaye ibariki atabarikiwa na atakayeilani atalaaniwa.hivyo yote ni maamuzi ya mtu.

Sent from my TECNO 7C using JamiiForums mobile app
 
Israel ni mwanangu Mimi,mzaliwa wangu Wa kwanza mpe ruhusa aende jangwani akanitolee sadaka.ni maneno ya Mungu kwa farao katika kinywa cha musa akimanisha Wana wa yakobo, hivyo waisrael ni watoto wa yakobo isaka Ibrahim.na pale alipowapeleka kaanan ndiyo mipaka ya hilo taifa.kumbuka kulikuwa na watu wakiishi hapo na waisrael waliamriwa kuwaua lakini si kwa maramoja bali taratibu,na kuimiliki miji yao.
Nijuavyo hiyo ndiyo Israel na mipaka yake iko well defined lakini si kama ilivyo leo.Hii haiondoi uhuru wa kuibariki au kuilaani,kwani imeandikwa atakaye ibariki atabarikiwa na atakayeilani atalaaniwa.hivyo yote ni maamuzi ya mtu.

Sent from my TECNO 7C using JamiiForums mobile app
Mkuu kwa nilivomuelewa mtoa maada hana shida na Israel kama taifa, hana shida na kuibariki nchi ya Israel shida ni kuwa hawa waisrael wasasa hawatoki katika bloodline ya jacob. Labda tujikite hapo
 
Mbona hujibu maswali yetu? Nilikuuliza je hata wale ethiopian Jews waliotoroshwa Ethiopia kurudi Israel mwaka 1991, na wao ni wayahudi fake? Lakini pia hao wayahudi halisi wako utumwani nchi gani? Halafu je unafikiri neno WAYAHUDI kwenye UFUNUO 2:9 lina maana ya wayahudi wa kiroho au wayahudi wa rangi kama ulivyolielezea hapo juu, maana UFUNUO ni kitabu cha Unabii, hatahivyo UFUNUO 2 inaelezea historia ya makanisa saba yaliyowahi kuwepo kwa vipindi tofauti hapa duniani.
 
I can't buy this.
Wakati Mungu anawapigania wana wa israel na kuwauwa maadui wao walikuwa hawafi ?? Au Mungu hakuwa na huruma ??
Wakati Mungu anawateketeza Farao na majeshi yake kwenye Maji hawakufa ???
Leo wee unahurumia sana watu kufa wakati yeye Mungu mwenyewe aliwaua. !!!!
 
Umejitahidi kueleza kwa kirefu lakini umeacha maswali mengi kuliko majibu uliyojaribu kujibu kwenye Akili za walio wengi.
Nijibu maswali yangu machache nikijibiwa nitarudi tena,

(1) wayahudi wa kweli mpaka sasa wako wapi?na nchi gani?

(2) Ni ushahidi gani unauotoa kudhihirisha kwamba wale wajakazi wa wake wa yakobo ambao Yakobo alizaa nao ni weusi kutoka kushi?

(3)biblia inaonyesha baada ya Yesu kupaa wanafunzi wake walikimbia uyahudi kuogopa kuuwawa na kukimbilia maeneo mbalimbali kama korintho,efeso, filipi,na maeneo mengi.
Na siku ya sabato walikuwa wakiingia kwenye masinagogi ya wayahudi kuhubiri habari za Yesu.
Je huko waliokuwa wayahudi ktk maeneo niliyotaja ndiyo huko ethiopia?

Yaani Filipi,korintho efeso ,Rumi na kwingineko ndio huko Ethiopia na misiri kwa waafirica wenzao?[/QUOTE/punainen/sokoro waito]
Nakujibu kama ifuatavyo
(1) wayahudi wa kweli mpaka sasa wako wapi?na nchi gani?
Wayahudi wa kweli % chache sana haizidi hata 1 ya hao waliopo hapo israel wapo israel sasahivi to the point unaweza sema hawapo kabisa,hiyo 1% ndio wale wayahudi wa ethiophia ambao ni weusi kabisa kama mimi na wewe HIYO 99% ya wayahudi halisi iliyobakia imetawanywa duniani kote kama neno la Mungu lilivyosema katika luka 21:20-24 Yesu alikuwa anawatabiria wayahudi kuhusu yatakayowapata baada ya kukataa neno lake mwishoni mstari wa 24 unasema "watachukuliwa mateka(utumwani) na mataifa yoote na mataifa (hawa wayahudi fake sasa wakipindi hiki) wataukalia Yerusalemu,hata majira ya mataifa yatakapo timia (mpaka Yesu atakapo rudi mara ya pili)"na sababu ya hiyo 1% ya wayahudi wa ethiophia kutangulia pale israel leo nikuwa wao hawakutawanywa kwenda utumwani kama hilo andiko la Luka linavyosemwa sababu hawakuwepo kipindi Yesu amekuja so ile laana ya kumkataa wao haipo juu yao ndiomaana leo wametangulizwa pale,
Sasa kama kifungu cha Luka 21 hakitakata kiu yako,naanza tangia mwanzo taifa la israel linatoka Misri kwenda Kaanani,
Musa na Haroon hawakuingia kaanan sababu hawakumwamini Mungu,walikuwa na mashaka-mashaka Hesabu 20:12! ndiomaana iliwachukua miaka 40 safari ya siku 3 tu Mungu alisubiri hadi watoto wao ambao walikuja kumwamini waingie kaanani ndiomaana waliotoka Misri na kuingia kaanan ni joshua na caleb tu kati ya wanaume laki 6 walioianza safari kutokea misri! Hesabu 32:11-13.
>Mara ya kwanza wana wa israeli kumkosea Mungu wakiwa Kaanani (Uasi wa Kwanza) baada ya kifo cha Joshua na Kaleb "Waamuzi 2:11-14,walimuacha Bwana wakamtumikia Baali(wakavunja lile agano Mungu alilomuapia Abraham na Yakobo) Mungu akawatia mikononi mwa maadui zao kila mahali! waamuzi 2:18 baada ya kumrudia Mungu,akawainulia waamuzi,mwamuzi huyo akawaokoa kwenye mikono ya maadui zao, ukiendelea kusoma mstari wa 19 hadi mwisho wa hicho kitabu choote cha Waamuzi then ukaendelea vitabu vyoote vya agano la kale kuanzia kitabu cha kutoka hadi Malaki (sina haja yakukupa vifungu vyoote) kila mara wana wa Israel walipokuwa wakifanya uasi,wakivunja yale maagano ambayo Mungu aliwaapia Baba zao Mungu alikuwa anawapatiliza(anawalipiza,anawaadhibu) kwa kuwaweka kwenye mikono ya maadui zao huko watateswa nakufanywa watumwa mpaka wanamkumbuka Mungu wao na kutubu dhambi zao Mungu ni Mungu wa Rehema anakumbuka yale Maagano aliyowaahidi baba zao na kisha anawasamehe then kitu cha kwanza (KUWA MAKINI HAPA) Mungu anawainulia Mwamuzi au Nabii kati yao ambaye roho wa bwana atakaa ndani yake ili awatoe huko waliko kuwarudisha kwenye nchi yao kaanani,Ukisoma biblia yoote hakuna mahala wana wa Israeli walijirudisha wenyewe! miongoni mwa hao waamuzi,na manabii ukiwatoa Mussa,Haruni,Joshua na Kalebu wanaopatikana kitabu cha waamuzi ni Shamgani (Waamuzi 3:31),Tola (waamuzi 10:1),Jair (10:3-5),Ibzan (12:8-10) Abdoni (12:13-15) na listi inaendelea hadiwatakuja akina Samsoni hapo na wengine weengi sana Mungu aliowainua.
Sasa nikirudi kwenye swali lako kuhusu waliko wayahudi halisi, jibu nikwamba Wametawanywa Duniani koote wapo katika kipindi cha Mapatilizo kama Yesu alivyowaambia kwenye kitabu cha Luka 21:20-25 baada ya kumkataa na kulikataa neno lake!,kama tu vipindi vyoote vile walivyokuwa wakiliasi neno la Mungu anawakabidhi kwenye mikono ya maadui zao! neno lake ni amini na kweli na halibadiriki ndugu yangu ni lile lile tangu enzi za Musa mpaka sasa,hawa waliopelekwa pale israeli kwa msaada wa Marekani na uingereza na wakaanzisha taifa lao 1948 wakajiita wao ni wayahudi,Mungu alilijua hili ndiomaana Yohana aliambiwa aseme hilo katika ufunuo 2:9 Kuwa hao wanaojiita yakuwa ni wayahudi na sio ni sinagogi la shetani! shetani kashawapeleka wale Fake pale kusudi wajiandae kumpokea Huyo masihi wao wanaemsubiri ambaye atakuwa ni mpinga kristo! wale original hawajarudi bado,ukisema hao waliopo hapo ndio wale wa zamani nabii nani kawarudisha pale?,lini walitubu ile dhambi yao ya Uasi wa kukataa neno la Mungu (Yesu)? okay kama Mungu ndio kawarudisha pale mbona hawakai kwa amani (vita kila siku) kama ilivyokuwa zamani akiwarudisha wanakaa kwa amani?
ukijiuliza hayo maswali utagundua nnachokimaanisha.

(2) Ni ushahidi gani unauotoa kudhihirisha kwamba wale wajakazi wa wake wa yakobo ambao Yakobo alizaa nao ni weusi kutoka kushi?

Ni simple assumption wayahudi hawakuwa wanachukuana vijakazi,i mean myahudi kuwa na kijakazi wa kiyahudi vijakazi wakipindi hicho walikuwa watu wa nje ya uyahudi wengi walikuwa wakush,Musa alioa mkushi hesabu 12:1,ukisoma hiyo thread yangu utagundua wayahudi wakipindikile walikuwa "people of colour" yaani watu wenye rangi nyeusi na Mungu aliweka ukoma juu yao namna ya kuutambua na namna ya kuutibu,hawakuwa wazungu,

(3) Biblia inaonyesha baada ya Yesu kupaa wanafunzi wake walikimbia uyahudi kuogopa kuuwawa na kukimbilia maeneo mbalimbali kama korintho,efeso, filipi,na maeneo mengi.
Na siku ya sabato walikuwa wakiingia kwenye masinagogi ya wayahudi kuhubiri habari za Yesu.
Je huko waliokuwa wayahudi ktk maeneo niliyotaja ndiyo huko ethiopia?


Ethiophia ni habari nyingine kabisa wale wayahudi wa ethiophia walikuwepo kule tangia enzi za Suleiman! kabla Yesu hajaja kufanya huduma duniani na hadi kaja wao walikuwepo kule kule ethiophia,yesu alivyopaa kwenda mbinguni wanafunzi wake walifanya huduma kwa muda wa miaka 40 hv sehemu mbalimbali za dunia ni mtume mmoja tu ndio alibaki kuhubiri Yerusalem wengine walitawanyika sehem mbali mbali za dunia,na baada ya yesu kuwajaza Roho mtakatifu wale mitume walipata sana ujasiri wa kulihubiri neno la Bwana kila kona wengi waliteswa na kuuawa kwaajiri ya jina lake kama Yesu alivyokuwa amewajulisha kabla.so walihubiri injili kila kona ya dunia sio tu hayo maeneo uliyoyataja hapo juu
 
Mbona hujibu maswali yetu? Nilikuuliza je hata wale ethiopian Jews waliotoroshwa Ethiopia kurudi Israel mwaka 1991, na wao ni wayahudi fake? Lakini pia hao wayahudi halisi wako utumwani nchi gani? Halafu je unafikiri neno WAYAHUDI kwenye UFUNUO 2:9 lina maana ya wayahudi wa kiroho au wayahudi wa rangi kama ulivyolielezea hapo juu, maana UFUNUO ni kitabu cha Unabii, hatahivyo UFUNUO 2 inaelezea historia ya makanisa saba yaliyowahi kuwepo kwa vipindi tofauti hapa duniani.
Nimemjibu "nyamnini" hapo juu na majibu yako yapo hapo hapo
 
Mtoa mada hii ni mbumbumbu wa historia ya waisrael hasa baada ya Yesu hadi leo.

Kwa kukusaidia mdogo wangu jifunze mambo yafuatayo.

1.Kwa nn 80% ya Israelites ni Ashkenazi. Ni kwa mini wajiite Ashkenazi.


2. Rudi kutafuta kusoma kwenye bible soma vitabu vya Kutoka na Mwanzo. Waliotolewa Misri sio Waisraeli Bali ni Waebrania.

Unaweza tofautisha kati Waebrania na Waisraeli
 
I can't buy this.
Wakati Mungu anawapigania wana wa israel na kuwauwa maadui wao walikuwa hawafi ?? Au Mungu hakuwa na huruma ??
Wakati Mungu anawateketeza Farao na majeshi yake kwenye Maji hawakufa ???
Leo wee unahurumia sana watu kufa wakati yeye Mungu mwenyewe aliwaua. !!!!
Hilo ndiyo tatizo la watu kudhani wameshirikishwa na Mungu katika kuamua na kuhukumu.siyo kweli kwamba eti ni tatizo kwa Mungu watu kufa lakini ah hatutaki kusikia mwarabu akifa nahisi hilo ndiyo tatizo. Ikumbukwe Mungu alinambia musa nitamrehemu nimrehemuye na nitamwadhibu nimwadhibuye.kwa hiyo watu kufa watakufa tu na haowayahudi si kama ni watakatifu la.ila wakihesabiwa haki na Mungu sisi hatutaki?bado nasisitiza njia si kama zetu.

Sent from my TECNO 7C using JamiiForums mobile app
 
Mtoa mada hii ni mbumbumbu wa historia ya waisrael hasa baada ya Yesu hadi leo.

Kwa kukusaidia mdogo wangu jifunze mambo yafuatayo.

1.Kwa nn 80% ya Israelites ni Ashkenazi. Ni kwa mini wajiite Ashkenazi.


2. Rudi kutafuta kusoma kwenye bible soma vitabu vya Kutoka na Mwanzo. Waliotolewa Misri sio Waisraeli Bali ni Waebrania.

Unaweza tofautisha kati Waebrania na Waisraeli

1.Siwezi ku base kwa hiyo historia ya jina Ashkenazi sababu ukisoma biblia yoote hakuna kabila la ashkenazi isipokuwa yale makabila 12 ya watoto wa yakobo nje ya hapo ni Historia tu ambayo hata wewe unaweza andika yako ukajiita utakavyo as long as kama unamiundombinu yakutosha na as a christian natakiwa niwe na sababu ambazo ni biblical based na sio nje ya hapo!
2. Hii ungeweka kifungu basi cha biblia ulichosoma wewe hapa ili kiendane na unachozungumza,ila ukisoma Mwanzo 32:28 Mungu alimbadirisha jina Yakobo kuwa Israel sasa kama wale watoto zake 12 walikuwa wanaitwa wana wa Yakobo basi jina lazma libadirike na kuwa Wana wa Israel kwa kiswahili cha leo tungesema watoto wa mzee israel,Mwanzo 32:32 biblia imewaita "wana wa israel" kabla hata hawajaenda Misri sasa wewe unachozungumza ni tofauti na maandiko kimsingi unaongea yakwako sijui umetoa kwenye ukurasa upi wa biblia?
 
You deserve a Xmas gift. This is what we call "Beautiful Mind".

Tokea tuuingie hapa JF, kwa kipindi cha siku zote hizi, leo ndio tumepata the right dose. Umesafisha kutu kwenye nyuzi za fikra zetu.
f1c451d282c01d365ec5cef007dd030a.jpg


For sure BDS would love to invite you. ANC, MK veterans, Makanisa ya Afrika ya Kusini yatakuwekea zulia jekundu.

BDS SOUTH AFRICA

Hongera Mwanapinduzi
 
Back
Top Bottom