Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Andiko tafadhali!Ikumbukwe kuna Israel ya kiroho na kimwili
kwataarifa yako hata kitabu cha torati hawakitumii wametunga kitabu chao kinaitwa Tarmud! humu kuna makufuru na machukizo yoote ya dhidi ya Mungu!Ndugu ukimzungumzia myahudi unazungumzia -Tora. Na asilimia kubwa ya wayahudi hawatumii biblia .
Hii wavivu hawawezi nimetumia zaidi ya saa 3 kusoma huku naisoma huku nasoma bibliaNa tulivyo wavivu kusoma, sijui wataisoma wangapi hii
ukumbukee pia maandiko mengi ya kujustify rangi ya ulichoandika umenukuu maandiko ambayo huo weusi unaoongelewa umetokana na dhiki/mateso ambayo yamepelekea kuwepo huo weusi hasa hayo maandiko ya Kitabu Cha Maombolezo na wala si rangi halisi...kaangalie tena!Weka kifungu Cha Biblia kinacho buck up haya maneno yako
mzungu akiingia katika mateso/taabu na umaskini anakuwa mweusi? ni mtu mweusi tu akiingia katika mateso anaongezeka weusi wake anafubaa zaidi sio mweupe!ukumbukee pia maandiko mengi ya kujustify rangi ya ulichoandika umenukuu maandiko ambayo huo weusi unaoongelewa umetokana na dhiki/mateso ambayo yamepelekea kuwepo huo weusi hasa hayo maandiko ya Kitabu Cha Maombolezo na wala si rangi halisi...kaangalie tena!
nitarudi!!!!
Huyu bwana ameandika aisee nimeona kumalizia article yoteNa tulivyo wavivu kusoma, sijui wataisoma wangapi hii
Nimekuomba ukasome tena hiyo mistari...ujiridhishe kama kweli ilimaanisha ulichokiandika! ujue huku kupotosha ni rahisi tu kwa kuwa wengine hawasomi hata Biblia hata kama wanazo nyumbani. Je, ilimaanisha weusi wa rangi au weusi sababu ya shida????mzungu akiingia katika mateso/taabu na umaskini anakuwa mweusi? ni mtu mweusi tu akiingia katika mateso anaongezeka weusi wake anafubaa zaidi sio mweupe!
Mkuu muulize farao alikuwa mweusi au mweupe!!??Wamisri ni dark kabisaa..... Baada ya kuingiliana na waarabu ndo wamekuwa weupe by some extent, ila mpaka sasa majority yao kuna dark wengibsana.... Wamisri hawajawahi kuwa weupe ilo lipo wazi kabisa.
Bora wewe umeelewa hili maana naona wengine wanasoma hawaelewi.Mkuu kwa nilivomuelewa mtoa maada hana shida na Israel kama taifa, hana shida na kuibariki nchi ya Israel shida ni kuwa hawa waisrael wasasa hawatoki katika bloodline ya jacob. Labda tujikite hapo
Wewe ndie mbumbumbu usielewa kitu kabisaMtoa mada hii ni mbumbumbu wa historia ya waisrael hasa baada ya Yesu hadi leo.
Kwa kukusaidia mdogo wangu jifunze mambo yafuatayo.
1.Kwa nn 80% ya Israelites ni Ashkenazi. Ni kwa mini wajiite Ashkenazi.
2. Rudi kutafuta kusoma kwenye bible soma vitabu vya Kutoka na Mwanzo. Waliotolewa Misri sio Waisraeli Bali ni Waebrania.
Unaweza tofautisha kati Waebrania na Waisraeli
Na vip kuhusu Suleiman aliposema yeye ni mweusi!??Nimekuomba ukasome tena hiyo mistari...ujiridhishe kama kweli ilimaanisha ulichokiandika! ujue huku kupotosha ni rahisi tu kwa kuwa wengine hawasomi hata Biblia hata kama wanazo nyumbani. Je, ilimaanisha weusi wa rangi au weusi sababu ya shida????
Bado sijarudi lakini!!
Mimi ni mfuatiliaji wa israeli kuliko unavyodhani...jamani kuwepo kwa waisraeli feki au original inamuingiza mtu mbinguni?
Nani amekudanganya hawakitumii ni sawa useme wakristo hawatumii agano la kale .Mpaka hiyo talmud naifahamu ambayo ni mchanganyiko wa mawazo na mafundisho ya rabbis .Mfano halakha nyingi wamezichukua kwenye Torah .kwataarifa yako hata kitabu cha torati hawakitumii wametunga kitabu chao kinaitwa Tarmud! humu kuna makufuru na machukizo yoote ya dhidi ya Mungu!