Uhalisia wa taifa la Israeli

Uhalisia wa taifa la Israeli

Mie nataka kujua jambo moja: wale waisrael waliouawa na Hitler walikuwa weupe?
 
Weka kifungu Cha Biblia kinacho buck up haya maneno yako
ukumbukee pia maandiko mengi ya kujustify rangi ya ulichoandika umenukuu maandiko ambayo huo weusi unaoongelewa umetokana na dhiki/mateso ambayo yamepelekea kuwepo huo weusi hasa hayo maandiko ya Kitabu Cha Maombolezo na wala si rangi halisi...kaangalie tena!
nitarudi!!!!
 
ukumbukee pia maandiko mengi ya kujustify rangi ya ulichoandika umenukuu maandiko ambayo huo weusi unaoongelewa umetokana na dhiki/mateso ambayo yamepelekea kuwepo huo weusi hasa hayo maandiko ya Kitabu Cha Maombolezo na wala si rangi halisi...kaangalie tena!
nitarudi!!!!
mzungu akiingia katika mateso/taabu na umaskini anakuwa mweusi? ni mtu mweusi tu akiingia katika mateso anaongezeka weusi wake anafubaa zaidi sio mweupe!
 
mzungu akiingia katika mateso/taabu na umaskini anakuwa mweusi? ni mtu mweusi tu akiingia katika mateso anaongezeka weusi wake anafubaa zaidi sio mweupe!
Nimekuomba ukasome tena hiyo mistari...ujiridhishe kama kweli ilimaanisha ulichokiandika! ujue huku kupotosha ni rahisi tu kwa kuwa wengine hawasomi hata Biblia hata kama wanazo nyumbani. Je, ilimaanisha weusi wa rangi au weusi sababu ya shida????
Bado sijarudi lakini!!
 
Wamisri ni dark kabisaa..... Baada ya kuingiliana na waarabu ndo wamekuwa weupe by some extent, ila mpaka sasa majority yao kuna dark wengibsana.... Wamisri hawajawahi kuwa weupe ilo lipo wazi kabisa.
Mkuu muulize farao alikuwa mweusi au mweupe!!??
 
Mtoa mada hii ni mbumbumbu wa historia ya waisrael hasa baada ya Yesu hadi leo.

Kwa kukusaidia mdogo wangu jifunze mambo yafuatayo.

1.Kwa nn 80% ya Israelites ni Ashkenazi. Ni kwa mini wajiite Ashkenazi.


2. Rudi kutafuta kusoma kwenye bible soma vitabu vya Kutoka na Mwanzo. Waliotolewa Misri sio Waisraeli Bali ni Waebrania.

Unaweza tofautisha kati Waebrania na Waisraeli
Wewe ndie mbumbumbu usielewa kitu kabisa
Kama ingekuwa mtihani ungepeta -12
 
Nimekuomba ukasome tena hiyo mistari...ujiridhishe kama kweli ilimaanisha ulichokiandika! ujue huku kupotosha ni rahisi tu kwa kuwa wengine hawasomi hata Biblia hata kama wanazo nyumbani. Je, ilimaanisha weusi wa rangi au weusi sababu ya shida????
Bado sijarudi lakini!!
Na vip kuhusu Suleiman aliposema yeye ni mweusi!??
Au na yeye alikuwa na dhiki!?.
 
Mimi ni mfuatiliaji wa israeli kuliko unavyodhani...jamani kuwepo kwa waisraeli feki au original inamuingiza mtu mbinguni?
 
Mimi ni mfuatiliaji wa israeli kuliko unavyodhani...jamani kuwepo kwa waisraeli feki au original inamuingiza mtu mbinguni?

Haikupeliki Mbinguni kujua nani fake na nani original na pia kuibariki wala kuto kuibariki haikupeleki mbinguni isipokuwa ni miongoni mwa hatua za kukujenga katika safari ya mbinguni ipo hv, Hosea 4:6 inasema "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa", Yohana 8:32 "wataijua kweli na kweli itawaweka huru" hivi sasa wakristo weengi sana wamekuwa watumwa wa hili taifa la israel siwalaumu bado hawajaijua kweli siku wakijua watakuwa huru kutokana na hilo taifa wanaloshinda kila siku kuliombea,kulisaidia nk wengine wamebandika hadi mabendera ya israel kwenye magari yao ni utumwa tu wakuto kujua maandiko na ukijua sio ndio tiketi ya kuingia mbinguni hapana na sio kila andiko unalolijua litakuingiza mbinguni hapana ila linakusaidia kukujenga kiroho,kiimani na kimwili pia! Njia ni moja tu yakukuingiza mbinguni nayo ni kumfuata Yesu kristo
 
kwataarifa yako hata kitabu cha torati hawakitumii wametunga kitabu chao kinaitwa Tarmud! humu kuna makufuru na machukizo yoote ya dhidi ya Mungu!
Nani amekudanganya hawakitumii ni sawa useme wakristo hawatumii agano la kale .Mpaka hiyo talmud naifahamu ambayo ni mchanganyiko wa mawazo na mafundisho ya rabbis .Mfano halakha nyingi wamezichukua kwenye Torah .
 
Back
Top Bottom