Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza mungu alisema tuiombee izraeli au waizraeli mbona, watu hamuelewi kwahiyo tuiombee palestina sio baadhi kama nilitaka kukuelewa hivi lakini kamilisha utafiti kwausahihi alafu ndio utuletee sawa ongera kwa kuufikirisha ubongo wako
Hii habari imekaa kiitikadi zaidi. Leo ningeulizwa upande wenye nafuu ningesema Israel kuliko Palestine, kwa sababu gani? Kwa mtazamo wangu wote wanao tetea Israel they are not aggressive, na wauaji, ila ukiona au kusikia wanaopenda itikadi zinazofanana na wapelestina na hasa kiini, they are too dangarous, very demanding for nothing even in our country some are like that! Hata leo ukifuatilia duniani hutashangaa kuwa wameua! Sasa kama wao ndiyo wayahudi kweli na ni matajiri wa ROHO hii ROHO ya kuua wanadamu ni ya kimungu? Kuonewa au uwepo wa wayahudi fake ni kibali cha kuua watu pote walipo duniani? Kiukweli hata mwandishi wa habari hii....???
Israel ni mwanangu Mimi,mzaliwa wangu Wa kwanza mpe ruhusa aende jangwani akanitolee sadaka.ni maneno ya Mungu kwa farao katika kinywa cha musa akimanisha Wana wa yakobo, hivyo waisrael ni watoto wa yakobo isaka Ibrahim.na pale alipowapeleka kaanan ndiyo mipaka ya hilo taifa.kumbuka kulikuwa na watu wakiishi hapo na waisrael waliamriwa kuwaua lakini si kwa maramoja bali taratibu,na kuimiliki miji yao.
Nijuavyo hiyo ndiyo Israel na mipaka yake iko well defined lakini si kama ilivyo leo.Hii haiondoi uhuru wa kuibariki au kuilaani,kwani imeandikwa atakaye ibariki atabarikiwa na atakayeilani atalaaniwa.hivyo yote ni maamuzi ya mtu.
Sent from my TECNO 7C using JamiiForums mobile app
Israel taifa sio watu waoishi israel!!!!!
Kwahiyo wewe unae jua mungu alisema tuwaombee waizraeli au israeli natupe maandiko
Netanyahu ni Mrumi, sio muisrael, jiulize kwanini historia tunayosoma darasani inaanza baada ya kuja wakoloni. Sisi ni waisrael halisi, hao wakina netanyahu ni masinagogi ya shetani na wote ni Freemasons, sisi ni taifa teule la Mungu, wana wa YudaNetanyahu ?
Noooo
Netanyahu ni Mrumi, sio muisrael, jiulize kwanini historia tunayosoma darasani inaanza baada ya kuja wakoloni. Sisi ni waisrael halisi, hao wakina netanyahu ni masinagogi ya shetani na wote ni Freemasons, sisi ni taifa teule la Mungu, wana wa Yuda
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Netanyahu ?
Noooo
Wewe ni mpotoshaji mkubwa,kamwe hutanipoteza kwa ushawishi wako wenye mavuvio ya kipepo,na hutaweza kuyajua mambo haya kwa sababu fungu lako ni la kupotea hata nafsi yako inakushuhudia ukimaliza kazi yako hii usisahau kutubu mana Mungu hatachukuliana na wapumbavu.Nimecheka sana nilipoona hii post yako,ndio nyie mnaoamini wayahudi wataingia mbinguni hata wakiwa na dhambi! ndio nyie mnao amini wayahudi wataingia mbinguni hata pasipo kumfuata Yesu kisa eti tu ni wateule wa Mungu!,Kwako sijaona utayari wako wa kujifunza zaidi ya ushabiki wa mapokeo uliyoaminishwa na ndio upo tayari kuyatetea hatakama yanapingana na maandiko ya Biblia,ningependa kukwambia soma upya nilichoposti pamoja na viambatanishi vyake kwenye biblia then prove me wrong with biblical facts sio hivyo vitisho ambavyo hata wewe mwenyewe huelewi maana yake
Kwa ufupi mi nikisoma au kuhadithiwa mambo ya dini nakua confused kabisa,
Kwanza Yesu na Mungu ni kitu kimoja au tofauti mana vinatumika interchangeably.
Pili kwa nini huu ukristo unawatukuza wayahudi while wao hawana hata mpango na ukristo
Mwisho akina Abraham, Isaac, Joseph na wengine walikuwepo miaka mingi huko nyuma kabla ya kuzaliwa Yesu, lakini vitabu vinaandika historia ya ukristo imeanza kwa Yesu while at some point Yesu anabariki mafunzo ya hawa waliomtangulia, sasa wao walikua dini gani