Uhalisia wa taifa la Israeli

Uhalisia wa taifa la Israeli

Kwanza mungu alisema tuiombee izraeli au waizraeli mbona, watu hamuelewi kwahiyo tuiombee palestina sio baadhi kama nilitaka kukuelewa hivi lakini kamilisha utafiti kwausahihi alafu ndio utuletee sawa ongera kwa kuufikirisha ubongo wako
 
Kwanza mungu alisema tuiombee izraeli au waizraeli mbona, watu hamuelewi kwahiyo tuiombee palestina sio baadhi kama nilitaka kukuelewa hivi lakini kamilisha utafiti kwausahihi alafu ndio utuletee sawa ongera kwa kuufikirisha ubongo wako

Sawa Israel ikowapi sasa ambayo Mungu alisema tuiombee? Nionyeshe hiyo israel ambayo tunatakiwa tuiombee
 
Kwa ufupi mi nikisoma au kuhadithiwa mambo ya dini nakua confused kabisa,

Kwanza Yesu na Mungu ni kitu kimoja au tofauti mana vinatumika interchangeably.

Pili kwa nini huu ukristo unawatukuza wayahudi while wao hawana hata mpango na ukristo

Mwisho akina Abraham, Isaac, Joseph na wengine walikuwepo miaka mingi huko nyuma kabla ya kuzaliwa Yesu, lakini vitabu vinaandika historia ya ukristo imeanza kwa Yesu while at some point Yesu anabariki mafunzo ya hawa waliomtangulia, sasa wao walikua dini gani
 
Hii habari imekaa kiitikadi zaidi. Leo ningeulizwa upande wenye nafuu ningesema Israel kuliko Palestine, kwa sababu gani? Kwa mtazamo wangu wote wanao tetea Israel they are not aggressive, na wauaji, ila ukiona au kusikia wanaopenda itikadi zinazofanana na wapelestina na hasa kiini, they are too dangarous, very demanding for nothing even in our country some are like that! Hata leo ukifuatilia duniani hutashangaa kuwa wameua! Sasa kama wao ndiyo wayahudi kweli na ni matajiri wa ROHO hii ROHO ya kuua wanadamu ni ya kimungu? Kuonewa au uwepo wa wayahudi fake ni kibali cha kuua watu pote walipo duniani? Kiukweli hata mwandishi wa habari hii....???

Mkuu mainstreem media kubwa zote za wazayuni, they blindfold us. Ugaidi wa izrael ni mbaya sana na wala hautangazwi.

90% ya makundi ya kigaidi regardless ya majina kujinasibisha na dini nyengine yapo ktk payroll ya wayahudi. Juzi tu imebainika waliofanya arab upraising mpaka tukaona mapinduzi ktk nchi za kiarabu ni wayahudi.

Pia imeshajulikana Abouvakar Albaghdad kiongozi wa ISIS ni myahudi. Kuna shida sana mkuu
 
Israel ni mwanangu Mimi,mzaliwa wangu Wa kwanza mpe ruhusa aende jangwani akanitolee sadaka.ni maneno ya Mungu kwa farao katika kinywa cha musa akimanisha Wana wa yakobo, hivyo waisrael ni watoto wa yakobo isaka Ibrahim.na pale alipowapeleka kaanan ndiyo mipaka ya hilo taifa.kumbuka kulikuwa na watu wakiishi hapo na waisrael waliamriwa kuwaua lakini si kwa maramoja bali taratibu,na kuimiliki miji yao.
Nijuavyo hiyo ndiyo Israel na mipaka yake iko well defined lakini si kama ilivyo leo.Hii haiondoi uhuru wa kuibariki au kuilaani,kwani imeandikwa atakaye ibariki atabarikiwa na atakayeilani atalaaniwa.hivyo yote ni maamuzi ya mtu.

Sent from my TECNO 7C using JamiiForums mobile app

Mkuu tuwe makini Bibble yenyewe imeandikwa 364 years after Christ!
 
Kwahiyo wewe unae jua mungu alisema tuwaombee waizraeli au israeli natupe maandiko

Mungu alisema tuombee wana wa israel kwenye andiko gani unalolijua wewe nipe kwanza hilo andiko ndio tuanzie hapo
 
Mungu anajua jinsi gani sisi tunaabudu vitu kuliko Yeye Mungu na SHETANI analijua hili na ndio maana kaweka puppets wake pale kwenye kile kipande cha ardhi ili kila Mtu awaamini wale jamaa.
Nawakumbusha tena Masihi wa kwanza Anti Christ atatokea pale pale na kwa jinsi tulivyo manyumbu wa kuamini watu/vitu/ardhi tunapotea kama upepo
Watu wangu wanapotea kwa kukosa maarifa"
Just Imagine kama yule mnigeria TB Joshua angekuwa katokea pale Israel watu si wangemlamba miguu!???
 
Netanyahu ?
Noooo
Netanyahu ni Mrumi, sio muisrael, jiulize kwanini historia tunayosoma darasani inaanza baada ya kuja wakoloni. Sisi ni waisrael halisi, hao wakina netanyahu ni masinagogi ya shetani na wote ni Freemasons, sisi ni taifa teule la Mungu, wana wa Yuda
 
Netanyahu ni Mrumi, sio muisrael, jiulize kwanini historia tunayosoma darasani inaanza baada ya kuja wakoloni. Sisi ni waisrael halisi, hao wakina netanyahu ni masinagogi ya shetani na wote ni Freemasons, sisi ni taifa teule la Mungu, wana wa Yuda

Sisi akina nani?
 
Nimependa na historia iko sahihi kabisa coz nmesoma vitabu vingi vya kihistoria mfano Plato alipotembelea misri kabla ya yesu kuzaliwa alikutana na watu weus katika andiko lake
 
Nimecheka sana nilipoona hii post yako,ndio nyie mnaoamini wayahudi wataingia mbinguni hata wakiwa na dhambi! ndio nyie mnao amini wayahudi wataingia mbinguni hata pasipo kumfuata Yesu kisa eti tu ni wateule wa Mungu!,Kwako sijaona utayari wako wa kujifunza zaidi ya ushabiki wa mapokeo uliyoaminishwa na ndio upo tayari kuyatetea hatakama yanapingana na maandiko ya Biblia,ningependa kukwambia soma upya nilichoposti pamoja na viambatanishi vyake kwenye biblia then prove me wrong with biblical facts sio hivyo vitisho ambavyo hata wewe mwenyewe huelewi maana yake
Wewe ni mpotoshaji mkubwa,kamwe hutanipoteza kwa ushawishi wako wenye mavuvio ya kipepo,na hutaweza kuyajua mambo haya kwa sababu fungu lako ni la kupotea hata nafsi yako inakushuhudia ukimaliza kazi yako hii usisahau kutubu mana Mungu hatachukuliana na wapumbavu.
 
Kwa ufupi mi nikisoma au kuhadithiwa mambo ya dini nakua confused kabisa,

Kwanza Yesu na Mungu ni kitu kimoja au tofauti mana vinatumika interchangeably.

Pili kwa nini huu ukristo unawatukuza wayahudi while wao hawana hata mpango na ukristo

Mwisho akina Abraham, Isaac, Joseph na wengine walikuwepo miaka mingi huko nyuma kabla ya kuzaliwa Yesu, lakini vitabu vinaandika historia ya ukristo imeanza kwa Yesu while at some point Yesu anabariki mafunzo ya hawa waliomtangulia, sasa wao walikua dini gani

1.Huwezi kumjua Mungu na Yesu Bila kujijua wewe mwenyewe bwana John Q upoje! kwasababu Biblia imesema wazi Mwanzo 1:26,Mungu alikuwa anasemezana na kitu kingine na kukubaliana "na TUMFANYE mtu kwa mfano Wetu"! angekuwa pekeyake asingesema "Tumfanye" angesema "nifanye" hapo katumia wingi na sio umoja! sasa kujua Mungu alikuwa anasema na nani inatakiwa tumjue huyo mtu aliyeumbwa na Mungu kwa mfano wake ndio tutapata picha ya huyo aliyekuwa anasema naye hapo awali namna ya kumuumba mtu kwa mfano wao!
Namna Mtu alivyo, hapa nitatumia mfano wako mwenyewe, Wewe kama John i mean mtu John upo katika sehem tatu,Una Roho (binadamu woote wana Roho),una Mwili na pia una Nafsi soma Warumi 8:23 Na 2 Wakorintho 7:1, sasa Roho Hukaa ndani ya Nafsi (matendo 20:28,waebrania 4:12) na kwapamoja nafsi na roho hukaa ndani ya mwili ndio unakuwa wewe bwana John-Q,sasa wewe John Q una vitu vitatu una mwili ndio huo unao uona na ndani yako una roho na nafsi na ukitizama kwa makini huwa wakati mwingine mnabishana na hivyo viwili vilivyopo ndani yako,mwili wako unaweza ukawa unatamani kufanya jambo fulani lakini roho haipo tayari! au kinyume chake,mwili ni dhaifu siku zoote lakini sio roho (soma Mathayo 26:41) sasa tunaposema mtu kafariki ni pale Nafsi na roho vinauacha Mwili vinatengana ule mwili unabaki pekeyake hapa Duniani ukirudi mavumbini roho ndio inatangulia huko mbele kwenda kwenye hukumu,ndiomaana Biblia inasema tusijitaabishe na vya mwilini! mwisho wa siku tutaviacha!
Kwahiyo binadamu aliyeumbwa kwa mfano wa Mungu ana hivyo vitu vitatu Roho,Nafsi na Mwili so na Mungu naye pia ana hivyo Vitu vitatu!
1.Mungu ana "NAFSI" (Mwanzo 22:16,1Samweli 2:27),ndio Mungu Baba huyo
2.Mungu ana "ROHO" ndio Roho mtakatifu,Roho wa Bwana (Mwanzo 6:3,waamuzi 3:10 Hapa kuna maandiko Mengi sana yanayo elezea Roho wa Mungu)
3.Mungu ana MWILI,hapa ndipo penye utata! mwili wa Mungu ndio Yesu kristo!,Biblia imesema wazi kabisa kabla Mungu hajaumba chochote kile aliuumba mwili wake,alimuumba Yesu kristo ,Wakolosai 1:15-16 "Ni mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyoooote" ndiomaana Mungu alimwita Yesu kama Mwanawe wa pekee "Yohana 3:16",Yesu alikuwepo tangia zamani(Yohana 8:58),Yesu ni Mungu katika mwili "1Timotheo 3:16!,Yesu ni Mungu kati yetu "Mathayo 1:23,Yesu ni Neno na neno ni Mungu!,Yohana 1:1-3,Mwanzo 1:1,Yesu alimtokea Ibrahimu wakati Mungu anataka kuangamiza Sodoma na Gomora "Mwanzo 18,Yohana 8:56,Yesu alionekana pamoja na Shadraka,Abednego na Meshaki katika tanuru la Moto" Daniel 3:23-25, kuna vifungu viingi vinavyoongelea U-Mungu wa Yesu ni wewe mwenyewe kusoma na kuamini katika biblia.

2.Jibu la swali lako la pili.,
Wakristo wengi wamekuwa kama Nyumbu hawasomi maandiko na kuyachunguza wanapokea kile wanachoambiwa na wachungaji wao kama kilivyo,kumbuka sio kila wachungaji unaowasikia na kuwaona ni watumishi wa Mungu,wachungaji wengi sana sikuhz ni mapandikizi ya shetani wanapewa na kuambiwa cha kufanya na kuhubiri kutoka chini,mithali 14:15 "mjinga huamini kila neno bali mwerevu hayachunguza" sio kila unaloambiwa kanisani lipo sawa nenda kalichunguze kabla ya kuliamini tunaishi nyakati za mwisho hizi Uongo ni mwingi makanisani,


3.Jibu la swali lako la tatu
Lengo la kuja Yesu ni kuikomboa dunia yoote kutoka kwenye utumwa wa dhambi na sio wayahudi tu,na ukisoma kabla ya kuja Yesu ilikuwa ni kuhusu taifa moja tu la israel na sio mengine ilikuwa ukombozi kwa wana wa israeli tuna sio wana wa mataifa yoote,mafundisho ya agano la kale kipindi kile yalikuwa kwa ajili ya wale wana wa israel na mafundisho ya agano jupya baada ya yesu kuja plus na yale ya agano la kale ni kwaajili ya kila mtu kujifunza ndiomaana Yesu aliwaagiza wanafunzi waki wakaihubiri injili mataifa Yooote na sio wayahudi tu! maagano yoote la kale na jipya yoote ni neno la Mungu lile lile linafaa kwa mafundisho,yesu alisema hakuja kuitengua torati bali kuitimiliza Mathayo 5:17
 
Back
Top Bottom