Uhamasishaji wa Haji Manara ni wa kizamani sana, hakuna hata msanii mmoja mwenye ushawishi

Uhamasishaji wa Haji Manara ni wa kizamani sana, hakuna hata msanii mmoja mwenye ushawishi

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Nimecheka kweli, Bw Manara kaita wasanii ambao hawana influence yoyote hapa nchini na kuwasihi watumie platform zao kuhamasisha watu kujaa uwanjani, hivi kweli jaman washabiki wa mpira wanaweza kwa mfano kushawishiwa na Diamond t ambaye ana influence kubwa kwenda kuiona timu yao ikisambaza Gusa Achia Twende Kwao?

Hao wasanii ndio kesho uwanja ujae halafu utudanganye wewe ndio umejaza uwanja? Yaan utoke kwenu uende jangwani ukaongee na wasanii ndio utuambie umefanya hamasa na ushawishi kweli, ama kweli wanadamu wanaangamia kwa kukosa maarifa
 
Anajiita mtt wa mujinii,hapo kashachukua chake Kwa GSM ,mashabiki mje msijeee mtajua nyinyi na timu yenuu ...
Kwanza yy mnyama damuuuu😂
 
Wasanii ndio wanafaidika zaidi kujitangaza kupitia hizi timu, wakati wa tff ya Rage alikuwa analeta Hadi Twanga pepeta lakini uwanja haujai na wakati huo Twanga walikuwa moto
 
Nimecheka kweli, Bw Manara kaita wasanii ambao hawana influence yoyote hapa nchini na kuwasihi watumie platform zao kuhamasisha watu kujaa uwanjani, hivi kweli jaman washabiki wa mpira wanaweza kwa mfano kushawishiwa na Diamond t ambaye ana influence kubwa kwenda kuiona timu yao ikisambaza Gusa Achia Twende Kwao?

Hao wasanii ndio kesho uwanja ujae halafu utudanganye wewe ndio umejaza uwanja? Yaan utoke kwenu uende jangwani ukaongee na wasanii ndio utuambie umefanya hamasa na ushawishi kweli, ama kweli wanadamu wanaangamia kwa kukosa maarifa
Ni lazima Mashabiki wahamasishwe ndio waingie uwanjani?;
 
Back
Top Bottom