Uhamiaji acheni siasa, mnafeli wapi?


Ndio umejua leo mkuu? Tukisema hapa nyie sio ndio mnao tokwa na povu?
 

Halafu mkuu hizi passport wanazishusha hadhi kabisa, yaani sasa hivi unapokwenda unaambiwa nida lete

Hata ukiwa na passport ya kidigital hawaitaki, kwa maana hizi passport ni bogas au vipi?

Nchi za wenzetu passport ina nguvu pamoja na driving licences, ukiwa na driving licence inajitosheleza peke yake ikiwa bank au popote pale kwenye huduma
 
Inasikitisha,ilitakiwa uwe na ID tu ili kuomba passport mpya,sio takataka zingine(elewa huwezi pata ID kama huna viambatanishi vilivyopo kwenye passport)kabla ya nchi kuwekeza zaidi kwenye ID ambazo zimo ndani ya central data systems ya nchi sisi tunafanya siasa na mihemko.na kichekesho zaidi hizi ID zina ukomo!!ilitakiwa hii ID inakoma pale unapokuwa umekufa ndio maana wenzetu wanaziita ni Life book(card),unazaliwa nayo,unakua nayo,unasoma nayo,unafanya kazi nayo,unaishi nayo na unakufa nayo!!!.
 
Elewa hiyo driving licence ina ID number yako that why inajitosheleza,unapokwenda hospitalini na kutoa driving licence kama ndio utambulisho wako,wakiingiza ile ID number informations zako zote zinajitokeza,hapa kwetu bado sana.
 
Well said mkuu. Umenena vema kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…