Uhamiaji marekani ndo basi tena?

Sidhani kama Trump kasema atabadiri SERA za USA. Kama nimemuelewa vizuri ( na hi sio mara yake ya kwanza kua na msimamo huo ) kasema ata deal na rais 11M wanaoishi USA bila vibali; I'm sure hili jambo lipo kisheria and mtangulizi wake alilala hapo: same as here in our country, why huaga tuna question uraia WA watu ambao wapo kinyume na gavo tu? Hasa watu wanaotokea mkoa wa Kigoma na Kagera; kwanini huaga hatu tilii maanani while we have all the information?
 
Mwenyewe nilikuwa naenda USA enzi za Trump utadhani naenda Kibaha,hakukuwa na shida yoyote baadae ikaingia Corona ndio nikaacha kwenda, panapo uhai mwakani natia tena timu USA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…